Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wanajf, juzi uliwekwa uzi hapa kuwa Necta wamefunga usajili kabla ya muda. Habari nzuri ni kwamba usajili umefunguliwa tena mpaka 30/04/2017. Mkajisajili msingoje mpaka mwishoni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni koz zipi kwa ngazi ya cheti zinazotolewa katika vyuo hivyo kwa mwanafunz aliyesoma masomo ya business?
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Waungwana naomba anayeweza kunisaidia prospectus ya UDOM, maana nmetafuta sana kenye website yao sijaiona. Natanguliza shukrani
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba nilete ombi langu humu kwa matumaini ujumbe wangu utawafikia wawakilishi wetu,naomba wabunge wetu mtusaidie kuikumbusha serikiari sisi wahitimu wa vyuo hususana kada ya elimu tupo shidani...
2 Reactions
2 Replies
762 Views
mi naona kama umuhimu wa physics kwenye udaktari umekuzwa sana. pia watu wa hizo comb huwa madaktari wazuri wa wanyama nini kitawazuia kuwa madaktari wazuri wa watu? nchi inamadaktari wachache...
2 Reactions
84 Replies
20K Views
Waliosoma kozi za mazingira tukutane hapa
0 Reactions
5 Replies
826 Views
True Ink Associates would like to announce that CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes is scheduled to commence on Monday 20/03/2017, Dar Es Salaam City Center, For those who...
0 Reactions
3 Replies
781 Views
UKITOA TOA BILA KUKUMBUKA Neno KUTOA lina herufi tano ambazo ni chache sana kuliko milioni, utajiri, na kufanikiwa lakini neno hilo ndilo linatengenezea watu maneno yote hayo yenye faida...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanachuo wote wa cheti na stashahada tufahamiane hapa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mambo wapendwa, Napenda kujua chuo kikuu chenye masomo ya jioni ngazi ya degree. Kiwe Dar-es-salaam au Pwani. Ingawa sina uhakika kama Pwani kuna vyuo vya degree. Ila kisiwe Huria. Mwenye...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Hapo zamani za kale Abunuwasi alimuendea mfalme akamwambia anaweza kumshonea suti ya thamani sana ambayo wenye dhambi watakuwa hawaioni na wasio na dhambi tu ndio watakuwa wanaiona. Mfalme akampa...
1 Reactions
1 Replies
542 Views
Nacte imetangaza majna ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo mwezi March /April kazi kwenu
3 Reactions
8 Replies
4K Views
Huwa napend kujua vitu vidogo vidogo kwanza kabla ya kuzama kuchimba na kugundua yale makubwa. Wadau Naombeni kujuzwa mwisho wa namba ni ngapi?. Kuna Mamoja,makumi,mamia, Maelfu n.k je Namba...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Ndgu zangu, ninaomba kuunganishwa na taasisi yeyote unayohusiana na kilichoandokwa juu ili nipate maelekezo. Nina miaka 3 tangu nimalize shahada yangu ya kwanza ktk chuo kikuu cha DSM, Nina kiu...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Naomba kuuliza kuhusu utaratibu wa kufatwa ktk mchakato wa kuunganisha cheti.Elimu ya sekondar nilimaliza 2011 nkapass baadh ya masomo nkarudia 2016 sasa nauliza jinsi ya kuunganisha hivyo vyet...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Habari zenu wanajukwaa Naomba kujuzwa namna ya kupata scholarship kwa nchi za africa ili ikiwezekana nikasomee huko mfano SOUTH AFRICAN COUNTRY EAST AFRICAN COUNTRY
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada. Ningependa kujua wapi wanafundisha course za A+ na N+ hapa dar es salaam?
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Kusoma si tabia nyepesi kuijenga katika mazingira ambayo masimulizi na mazungumzo ni vyanzo vikuu vya maarifa kuliko maandishi. Tumelelewa katika utamaduni usiosisitiza sana umuhimu wa kusoma...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Oldinary Diploma in Animal Health and Production Agriculture in General Computer Science???
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari wakuu kwa walio maliza Elimu ya secondary kuanzia mwaka 2013 katika matokeo ipo E ambayo uanzia 20-38 wakati F ni 0-20 ukiangalia vizuri E hiyo ni sawa na D ya kawaida katika mfumo wa...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Back
Top Bottom