Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Mambo vipi WanaJf? Tatizo ni nini hadi MTURA kupotea kwenye Baa nyingi mjini? Wapishi hakuna? Nilikua Kahama miezi mitatu iliyopita pale Choma Zone Mtura ulikuwepo lakini ghafla mpishi akatoweka...
2 Reactions
46 Replies
6K Views
Jamani kuna sehemu ukienda kula mpaka una enjyoy test ya chakula hususan nyama ukienda migahawa ya wazanzibar wanakuwa ni michuzi mitamu sana. Hivi wanatumia viungo gani vinavyofanya test iwe...
2 Reactions
7 Replies
879 Views
Naendeleza somo langu la mbinu za mapishi na masotojo ya kijanja. Nimegundua jamii ya watanzania wapo nyuma sana kwenye mapishi. Last time nilikuja na kigongo cho rosti la kitimoto Mbinu za...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama wewe ni mlevi wa pombe kali au mvivu wa kula pata supu ya mkia hasa shinani maana una nyama nyingi na tamu bei pia si mbaya waweza kula kongolo au ulimi lakini havishibishi kama mkia...
2 Reactions
12 Replies
8K Views
Supu ya nyama ina nini cha ziada Mimi naona kama ni maji tu,unakuta mtu anakunywa mapombe too much akiamini supu yenye kakipande kamoja cha nyama inasaidia kutibu madhara ya pombe alizokunywa. At...
4 Reactions
10 Replies
784 Views
Hivi sio vyakula bali ni vichocheo vya kula nyama zaidi. KICHURI Kichuri kinatengenezwa na kutokana chakula ambacho hakijameng'enywa ndani ya tumbo la mnyama kinachanganywa na ndimu au limao...
4 Reactions
9 Replies
918 Views
Habari wakuu. Natamani nifanye jiko la nyumbani kwangu liwe la tofauti kidogo na nimeona Kuna hizi sufuria za non stick ambazo zimekuwa maarufu sana. Naomba mwenye kuzijua vizuri anielezee sifa...
3 Reactions
59 Replies
7K Views
Matayatisho Iliki ,tangawizi ya kusaga ,majani ya chai , maziwa na maji na sukati Jinsi ya kuitengeneza Ni rahisi sana ufundi ni kidogo Chemsha maji yachemke kabisa kama robo lita hivi ongeza...
13 Reactions
59 Replies
10K Views
Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano 😋😋😋
27 Reactions
124 Replies
7K Views
Mahitaji 1. utumbo 1kg 2. Mchicha fungu 2 3. kitunguu 1 4. karoti 1 5. pilipili hoho 1 6. currypowder 7. chumvi 8. Tangawizi 9. Limao 10. Nazi / karanga MAANDALIZI 1. Bandika utumbo wako jikoni...
7 Reactions
18 Replies
24K Views
MABUNDA ni aina ya chakula cha asili cha Afrika ambacho ni rahisi kukiandaa. Pia kinajulikana kama MKATE WA NDIZI Kwa lugha nyingine.Ni chakula kilicho katika mfumo wa mkate ila hiki upikwa na...
5 Reactions
15 Replies
15K Views
Wazee wa maakuli, leo tunauanza mwaka mwaka mpya, naamini uko mzima wa afya. Tumeuanza mwaka na msosi gani leo? Mimi nimepiga ndizi bukoba na dagaahapa safii, utamu unafika hadi kisogoni.
3 Reactions
45 Replies
1K Views
Wakuu...kwa sisi mabachela hapa tunapata pilau safi kabisa..nimekula kwa Mara ya kwanza nikaongeza sahani ya pili imebidi niifunge maana nilijiaona sijashiba kabisa..halafu so kula sahani mbili...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Tembea uone, Nimeenda huko kunakosifiwa kwa mapenzi na mapishi, nimekutan na mboga ya ajabu sana sijawahi kuiona. Inaotwa hombo za/ja Mungu, yani ni kama vile hina, au majani ya chai...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Wazee wa madikodiko kwema? Xmas hiyo inakuja, umejipanga kutoka na sotojo gani? Kwa upande wangu najua pilau na juice moja matata havitakosa kwenye menu yangu, vingine hivyo vitakuwa vya ziada...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari wakuu Naomba kujua Curry powder ipi ni bora zaidi kwa sasa ambayo inaweza fanya mboga yangu ya bamia na nyanyachungu zitaste kama nyama roast.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jinsi ya kutengeneza juice nzuri ya embe, anayejua tafadhari. Mtaani maembe kibao.
1 Reactions
9 Replies
22K Views
Sikuwa nakifahamu! Lakini miaka michache baada ya kusikia kikielezewa, nilifanikiwa kukila. Mara yangu ya kwanza kuila ilikuwa ni Jumatatu, 28/06/2021, Zanzibar, kwenye mghahawa uitwao ZANZI BBQ...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Ndg zangu. Kipindi hiki ni wiki moja watoto wakiwa wameanza likizo napenda sana kuwafundusha mapishi mbalimbali. Tukiwa jikoni yaani ni kama hotelier vile. Sasa sijui wife anawaza nini ndoa...
4 Reactions
20 Replies
972 Views
Wana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
2 Reactions
109 Replies
7K Views
Back
Top Bottom