Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wana maakuli kwema? Moja kwa moja kwenye mada, mazee kila mtu ana msosi anaopenda ambao akiukuta kwenye sherehe mambo yanakuwa byee. Nikianza na mimi, bwana sherehe bila pilau nyama na...
0 Reactions
63 Replies
3K Views
Mahitaji: mchele, maji, chumvi,mafuta bila kusahau moto wako wa gesi, mkaa,au kuni etc.hatua ya kwanza washa moto wako, kisha injika sufuria lako jikoni,unapoinjika tu akikisha mchele wako nao upo...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau habari? Naomba kujua namna nzuri ya kuandaa UYOGA maan ni kitu ninachotamani sana kujua maandalizi yake ya upishi hasa uyoga ambao umechumwa kutoka shambani sio wa kukaushwa. Mwenye kuweza...
1 Reactions
3 Replies
570 Views
Mahitaji ya uji kwa watu 2-4 1. ngano ambayo haijakobolewa kikombe kimoja kikubwa cha chai(mug) 2. Maji vikombe viwili vikubwa vya chai 3. Maziwa ya chai kikombe kimoja kikubwa cha chai 4...
2 Reactions
68 Replies
31K Views
Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena? Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za...
50 Reactions
1K Replies
129K Views
Huwa najiuliza hii nyama ya nguruwe aka PIG au kwa yule pori, Ngiri.. ilikuaje ikapata jina, Kitimoto! Ni moja kati ya majina yake maarufu. [emoji6]mkishajibu mnifundishe kupka makange yake..
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Za asubuhi wakuu, No offense to my muslim folks, naomba kuuliza kama kuna mtu ameshawahi kukuta sehemu wanauza supu ya mdudu. Kiukweli Mimi kuzunguka kwangu kote nlibahatisha sehemu kuna supu ya...
11 Reactions
69 Replies
12K Views
Nani ajuaye atupe maarifa kwanini chakula cha Biriani kinapendwa kwa Ijumaa kuliko siku zingine zote? Kina mahusiano na ibada? Kila mgahawa unaopika Biriani lazima usisitize neno Ijumaa.
1 Reactions
2 Replies
584 Views
Mkopoa! Mahitaji mayai,karoti,hoho,chumvi,kitunguu maji, mkate Na mafuta ya kupikia (mimi nimetumia hoho na kitunguu kidogo sana)viungo inategemea na mapenz Yako Jinsi ya kupika vunja mayai...
10 Reactions
44 Replies
2K Views
Tanzania ina wapishi wengi wazuri, lakini wachache tu wameweza kufikia kiwango cha juu cha ubora na umaarufu. Hapa kuna wapishi watatu bora nchini Tanzania: David Mwamtoa David Mwamtoa ni mpishi...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimepanga kuwa vegetarian kutokana na sababu za kiafya na nataka kuona kama nina nidhamu ya kuweza kuwa vegetarian. Naombeni maoni, elimu, ushauri na uzoefu wenu kwenye eneo hili maana sijui...
1 Reactions
9 Replies
615 Views
Natumain wazima na weekend inaenda vizuri Niwaletee recipe ya kupika makange ya samaki Mahitaji Samaki aliekaangwa Kitunguu maji na kitunguu swaumu nyanya za.kawaida(saga) na nyanya ya...
31 Reactions
191 Replies
6K Views
Wali nyama ya kuku wa kienyeji alierostiwa. Nahitaji pia nyama ya Mbuzi aliochomwa, ndizi za kisamunyu za kupikwa. Maziwa fresh, na pia maharage yasikosekane. Anaeweza andaa na kuhakikisha...
1 Reactions
3 Replies
479 Views
Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni.. Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu? Je nimsindikize na ndizi ama kaugali...
20 Reactions
95 Replies
7K Views
Wapishi nawasalimia Naomba msaada wa haraka nimepata tenda. Ila wanataka niwe certified na w/ya temeke na mimi ni mpishi mdogo tu ndio kwanza nieanza anza kwa yeyote anayeweza nisaidia hata...
1 Reactions
7 Replies
876 Views
Nafikiri mkopoa kabisa Naomba ku share na nyie recipe nzuri ya kupika ndizi mzuzu Kwa wale wasiopenda rost na wengine wanaopenda kula chakula Cha tofauti na hakichukui mda kuandaa Mahitaji Ndizi...
34 Reactions
402 Replies
14K Views
Jamani samaki wa salmon anaitwaje kwa kiswahili
1 Reactions
25 Replies
59K Views
Wakuu! Hii kitu inayoitwa halua ambayo inasifika sana hasa maeneo ya Pwani na Zanzibar kiukweli imekuwa overrated kwani nimeijaribu na nimeshangaa kuiona ina ladha mbaya ukichanganya na...
2 Reactions
40 Replies
8K Views
Habari wakuu, kwa wale wadau wa hii nyama yetu pendwa, ngoja leo nikupe mbinu. 1. Nunua nyama yako, ni vizuri kama atakukatia katia pale. 2. Weka nyama kwenye sufuria, weka na maji, halafu anza...
20 Reactions
138 Replies
7K Views
Back
Top Bottom