Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Kama unapenda kufahamu kuhusu vyakula mbalimbali na hujui namna ya kuviandaa njoo kwenye uzi huu uliza nitakujuza kwa wakati.
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Kuna hii mishikaki inauzwa Mida ya jioni 200 jamani ni mitamu sijui wanatiaga viungo gani nyie na ile pilipili yake 😋😌😂 Kuhusu suala la nyama me selewi ni nyama ya nini kuna watu wanasema ni ya...
11 Reactions
42 Replies
4K Views
Mambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini...
15 Reactions
634 Replies
62K Views
Wasalaam, Mwenye ujuzi juu ya utengenezaji wa ubuyu wa vipande naomba dondoo, nimepitia Youtube kila nikijaribu holaa!! Tutafute namna ya kuongeza kipato [emoji120]
0 Reactions
0 Replies
757 Views
GET A JOB SPELL Are you one of those people that are struggling to take care of themselves and their families? Have you been looking for a job and you don’t find one? Are you thinking that you’re...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu, natumai mpo salama. Mara ya mwisho nilitengeneza white sauce na leo napika bagia za dengu. Ukitaka kuangalia video ya haya mapishi unaweza kuangalia hapo chini. Ukipenda unaweza...
8 Reactions
21 Replies
5K Views
Mahitaji Maini ya kuku 1/2 kilo Vitunguu vikubwa 2 Hoho 1 Pilipil 1 Limao 1/2 Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chai Curry powder 1/2 kijiko cha chai Mafuta ya kupikia Matayarisho Safisha maini weka...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Vipimo Kuku - 3 Lb Mayai - 6 Baking Powder - 1 kijiko cha chai Pilipili boga - Robo kipande Kitunguu maji - 1 kidogo Pilipili manga ya unga - 1 kijiko cha chai Kitunguu saumu(thomu) na...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mahitaji Unga wa ngano kilo 1 Amira vijiko 2 vya chai Sukari vikombe viwili vya kahawa Vanila ya unga nusu kijiko cha chai Chumvi nusu kijiko cha chai Nazi 1 tui zito Mafuta lita 2 Maelekezo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Choroko ni moja kati ya nafaka zenye kiwango kikubwa cha protini, madini ya phosphorus na calcium. Ukiachilia mbali faida nyingine, virutubisho hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa afya ya ubongo...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Chefs, Juzi kati hapa nilipigwa na Homa moja matata sana hadi kupelekea kulazwa Hospitali. Ashukuriwe Mwenyezi Mungu na Madaktari kwa sasa homa imeisha. Hii homa ilipelekea kupungua sana kwa...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Uzi wa mapishi umedoda jamani watu sijui tupo kwenye mifungo mikavu, rudini kundini tuanzae madigo diko mapya. Mtag mwana mapishi wako pendwa umualike arudi uzini tushee mapishi mapya na...
1 Reactions
4 Replies
471 Views
Ni wapi wanachinja yule mdudu mtamu namaanisha kitimoto kwa maeneo ya Sinza na Kijitonyama? Msaada wa haraka unahitajika wakuu mdomo unawasha sana weekend hii. Nawasilisha.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, natumai mnaendelea vizuri. Jumamosi iliyopita niliwaletea mapishi ya wali, samaki wa nazi na mboga. Wiki hii nitapika Biskuti za Tangawizi. Biskuti hizi zinaweza kuliwa na...
20 Reactions
33 Replies
6K Views
Katika pita zangu humu duniani na kwenye mtandaoni nimejifunza mengi na kustaajabu mengi zaidi. Lile chakula unachokidharau au usiyo weza kuila kamwe, kwa mwingine kitoweo chake cha kila siku...
2 Reactions
23 Replies
9K Views
Jamii mapishi, Juzi nilipika chapati za maji aka kumimina but nikaweka vitunguu maji na saumu wa wakati mmoja pamoja na tangawizi nilikula mbili nikasikia kama nimekunywa K vanT kubwa. Je, kuna...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Asili ya kinywaji hiki kilitengenezs mwa kwanza Manchester Uingereza miaka ya 1800+. Ni mchanganyiko wa berries na zabibu zilizosagwa pamoja na viasilia vingine. Kinywaji hiki kilitumiwa sana na...
10 Reactions
44 Replies
5K Views
Mwenzenu kila nikiwaza mboga ya kula siku hiyo napata tabu sana, yaani natumia muda mrefu sana kuwaza mboga na wakati mwingine nakosa najikuta kila nayowaza nimekula siku za karibu. Yaani kujua...
4 Reactions
74 Replies
4K Views
Tembea ujionee, kwenye jamii kuna vyakula vya aina tofauti tofauti, kuna vingine vya unaona kabisa ni vya ajabu ila jamii husika inakula na kuvifuhia kabisa. Nimewahi kwenda kijiji fulani...
8 Reactions
128 Replies
8K Views
Back
Top Bottom