Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Natafuta brashi za kuosha machupa ya water dispenser, maana uoshaji wake ni changamoto
0 Reactions
1 Replies
489 Views
Wakuu nataka kuanza kupika mwenyewe sasa nikiangalia sina kitu hata kimoja jikoni. Nataka niwe na jiko la kawaida tu. Naombeni wenye majiko mnipe essentials zote na gharama zake roughly..
3 Reactions
18 Replies
927 Views
Tunatarajia kufanya hitma. Makadirio ni watu 200. Nafikiria kuwa na vyakula vifuatavyo Pilau Nyama Ndizi Salad Tunda Maji Wazoefu wa matukio, bajeti yake hapa itakuwaje?
0 Reactions
6 Replies
794 Views
Wakuu, Ni kifaa kipi kati ya hivyo kinafaa kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula? Nahitaji kifaa kimoja cha kufanya kazi hizo zote kwa ubora mzuri, nichukue...
3 Reactions
44 Replies
5K Views
Wadau hamjamboni nyote? Nimeona niwape tahadhari kabla ya kuwatakia usiku mwema Ni kwa wale Ndugu zangu wanaopenda kunywa uji wa ulezi kama mimi hapa. Huu ni utafiti usio na chembe ya uongo...
5 Reactions
46 Replies
2K Views
Wanawake wa siku hizi sijui mmekuja kuwaje kwenye suala la mapishi ya jikoni. Ivi mnajua kwanini mwanaume akioa waswahili tunasema Kavuta Jiko? Unakuta kijana umeopoa dem au mchumba wako kabisa...
28 Reactions
274 Replies
7K Views
Nimepita bar fulani ina mgahawa, nimeulisa nyama choma wakasema kipande 6,000, nikasema anifungie. Sasa nyama imechomwa, imefungwa kwenye kile kifuko cha karatasi cha khaki, ndani kuna foil...
10 Reactions
62 Replies
2K Views
Heshima kwenu brothers and sisters Msaada wa vifaa muhimu vinavyorahisisha kupika kama Rice cooker kwenye wali, pressure cooker kwenye maharage na nyama etc kama kuna vingine mnavijua vimwageni...
5 Reactions
115 Replies
23K Views
Nauliza wajuzi, hiki ni kinaitwaje na kina kazi gani, kwenye mapishi ya chakula masna nimekikuta kwenye seti ya vifaa vya mapishi niliyonunua
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nawasalim kwa jina la TZ. Naomba kufahamishwa jinsi ya kuipika,ama kuiandaa kwa ajili ya kula nyama ya kopo. Ninapoenda supermarket hua naiona sana nyama hii ya kopo,natamani kuinunua,lkn sijui...
0 Reactions
4 Replies
699 Views
Mie napenda kujaribu vitu vipya jikoni, mfano pishi jipya au hata viungo vipya au mchanganyo mpya wa viungo na pishi. Japo kuna nyakati mara chache siyo mara nyingi huwa nikijaribu mchanganyo...
2 Reactions
11 Replies
507 Views
Wana jamvi habari. Naomba kujua kampuni inayotoa majiko ya kupikia yenye oven ambayo yanasehemu ya kupikia kwa gas na plate moja ya kupika kwa umeme.
1 Reactions
6 Replies
557 Views
Hi all Naomba kufahamu namna ya kujua sufuria bora za non stick maan saiv kila kona non stick. Haya wataalamu na wazoefu wa vyombo hivi tiririkeni. Natanguliza shukrani CL
1 Reactions
1 Replies
513 Views
Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike. Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo...
13 Reactions
228 Replies
58K Views
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink Nimeambiwa nijiandae...
12 Reactions
56 Replies
2K Views
Habari wanajamii naitwa Samwel Mayala ninatafuta kazi za upishi ninauzoefu wa miaka 19 katika tansinia ya hotel ninaishi Dar es salaam NInapika chakula Cha aina mbali mbali kama vile chakula...
0 Reactions
1 Replies
558 Views
Wadau hamjamboni nyote Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli! Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo...
13 Reactions
50 Replies
2K Views
Habari zenu wapenzi Karibuni tena tujifunze jinsi ya kupika tambi za mayai.✍🏻 Ni rahisi sana wala hutumii muda mrefu, niiingi moja kwa moja kwenye mada Owky. Mahitaji. Tambi chumvi maji...
10 Reactions
22 Replies
4K Views
Inakuwa na mchanganyiko wa Soseji Mayai mawili ya kukaanga Uyoga Viazi vilivyokaangwa vikakauka vizuri ama chips Nyanya kipande unaila ikiwa mbichi Maharage yasiyokaangwa steak ndogo ya...
0 Reactions
2 Replies
474 Views
Nimeandaa matunda parachich, Tango,Ndizi,passion,mchaichai Na tangawizi Ni juisi yangu pendwa Sana Huu mchanganyiko . Nikasema niandae zangu baadae nikae nawatch movie huku nashushia juisi...
20 Reactions
189 Replies
4K Views
Back
Top Bottom