Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Safisha dagaa na uwaweke pembeni. Baada ya hapo kaanga vitunguu vikianza kuwa vya brown tia dagaa wakaange kidogo kisha tia chumvi, pilipili, curry powder, turmeric, na nyanya chungu, koroga...
4 Reactions
4 Replies
463 Views
Mimi napenda sana kupika kwa njia mbalimbali,isipokuwa kuni na mkaa wa kawaida situmii kabisa,sasa natafuta mkaa mbadala ntaupata wapi.?Kama kuna mdau humu anajua ntaupata wapi na kwa bei gani...
2 Reactions
2 Replies
267 Views
Unakwenda hotelini unaagiza labda makange nyama unaambiwa eti 15000 wakati pale nyama labda nusu tu na makange yenyewe hakuna cha ziada zaidi tu yamekaangiwa karoti hoho nyanya yaani viungo...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Naomba kujua kwa undani maana naona bei ya Nido imechangamka kuliko Almudhish, je utofauti wake ni upi?
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari ya mchana watu wangu wa nguvu, nimewamiss yooo😉😘😘😘 Haya twende kwenye uzi wakuu, naombeni kujuzwa sehemu wanapouza hizi mboga mboga kwa maeneo ya Kigamboni. Thank youuu😘
2 Reactions
9 Replies
544 Views
Habari wakuu, Nimefanya utafiti nimegundua chips yai za kupika nyumbani ladha yake tofautii na wanazouza kwenye vibanda zinakua tamu sana je wanatia viongo gani kunogesha?
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Jinsi ya kupika nimejaribu kuangalia youtube videos kuna kitu sijaelewa hivi zile kunde zenyewe unazisaga kwenye mashine ,unazikoboa au unazisaga kwenye breander?
1 Reactions
3 Replies
335 Views
C2 INAWAHUSU Vidokezo vya Nyumbani na Jikoni 👉Kuchoma pete ya kitunguu kutafukuza nzi jikoni Kwa kitani cha kitanda na mito kunukia vizuri weka poda ya mtoto inasaidia. 👉Unapochuma mboga...
4 Reactions
8 Replies
683 Views
Ni siku nyingine natumaini mnaendelea vyema na mapumziko Nimeona niweze kushare na nyie jinsi ya kupika wali huu mtamu na unaonukia vizuri Mahitaji Hoho,karoti,iriki iliyosagwa au hata...
26 Reactions
80 Replies
2K Views
Vyakula visivyo vya wanga vinaweza kukupunguzia maisha kwa miaka minne Maelezo ya picha,Vyakula vyenye kiwango kidogo cha wanga vina mafuta na protini nyingi Lishe yenye kiwango kidogo cha wanga...
2 Reactions
3 Replies
470 Views
Wali nyama ni chakula kitamu Sana kina protein na wanga.
4 Reactions
2 Replies
361 Views
Pika kande lako liive vizuri ,nunua maarage mazuri (mapya) ambayo hayajakaa dukani sana ambayo ni ya zamani yana rangi ya kahawi hayatakupa matokeo mazuri Ukishayapika yakiiva unga kawaida weka...
2 Reactions
13 Replies
741 Views
Dagaa nimechanganya bamia, nyanya chungu,nimeweka hoho/carrot/soy sauce/ kitunguu maji na peanut butter.
64 Reactions
684 Replies
7K Views
Karibuni akina kaka na akina dada. Kila mtu anaweza kutoa uzoefu wake. Ni mchanganyiko gani wa matunda huleta juice yenye ladha nzuri ambayo kila mtu anaweza kuikubali? Sio kwa matumizi ya...
8 Reactions
170 Replies
116K Views
Wadau naomba kufahamu kama kuna anaejua chips zile zinatengenezwaje sio kwa utamu ule. Nataka kukaangaa mithili ya KFC ili niuze sana uswahilini Shukran
20 Reactions
139 Replies
4K Views
PAGE I Chakula ukikizingatia unaweza kuenjoy sana maisha siyo kula kula tu. Ila jua nini wewe roho yako inapenda na unataka uleje na kipikweje. Wapo watu wengi wana hela ila hawaenjoy kabisa...
10 Reactions
93 Replies
3K Views
Jamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
19 Reactions
313 Replies
6K Views
WAkuu habari za usiku huu? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeneza juisi aina ya milkshake, vitu vinavyowekwa humo mpaka inakamilika kwa ajili ya kunywewa...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Kuna matunda ya asili mengine yanapatikana kwenye maeneo fulani tu, unakuta umekua ukiyala na baada ya kuondoka hapo kwenda sehemu nyingine huyaoni tena. Leo nimekaa nimeyakumbuka matunda ya...
6 Reactions
84 Replies
4K Views
Habarii zenu, Okay so leo naomba tushee vitu tunavyokula ule muda baada ya lunch na kabla ya chakula cha jioni...almaaruf evening tea/ snack Huwa unatumia nini? Kwa upande wangu leo ntatumia...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom