Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Baada ya kukutana na vidamu kwenye kuku wa KFC na bado bei kubwa mno nikaona msela sishindwi kitu nikaingia jikoni matokea hayo hapo mzigo upo safi kabisa
10 Reactions
12 Replies
714 Views
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au...
12 Reactions
108 Replies
2K Views
Salam kwenu. Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje ! 1. Changu 2. Sato 3. Kibua 4. Sangara 5. Kambare 6. Perege 7. Migebuka 8. Pweza 9...
4 Reactions
281 Replies
57K Views
Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni. Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna. Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili...
19 Reactions
48 Replies
5K Views
Kwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati? Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
26 Reactions
120 Replies
3K Views
Kuna style ya ulaji wali kwangu ni mpya. Mdau anatengeneza Tonge la wali na kuchovya kwenye mchuzi kama ugali halafu linapelekwa mdomoni. Ulaji huu unasambaa sana kanda ya ziwa. Kama hujazoea ni...
1 Reactions
4 Replies
448 Views
Ni majira ya saa tano Bibi Isabella Martinez miaka 60 anaingia jioni kuandaa chakula kwa ajili ya familia, pembeni anasaidiwa na Mjukuu wake wa kike wa miaka 20, Maria. Bibi Isabella Martinez...
1 Reactions
1 Replies
282 Views
Miaka ya 90 Kijijini Sengerema tulikuwa na kawaida ya kwenda kuwasalimia na kuwapa hai wazee, tukifunga shule basi kesho yake asubuhi ni safari kwenda kijijini kusalimia, na kuishi kidogo na Babu...
2 Reactions
3 Replies
452 Views
Samaki, dagaa na maharage vikiwekwa nazi huwa vyakula vizuri vinavyovyutia kula na ladha ya kueleweka. Nazi kwenye vyakula vingine vingi huwa naona overrated sana. Sijui ni nini hasa huwa...
5 Reactions
89 Replies
2K Views
Kuna restaurant nimeingia nikaona wameandika kuna mtori ... dah... Ile kuagiza mtori si ndo nikagundua wana saga na blender ndizi zilizochemshwa wanachanganya na nyama ndo wanasema mtori ...
14 Reactions
55 Replies
4K Views
I hope mko poa Wale wasiotumia nyama nyekundu na wapenz wa samaki pitien hapa Sikunyingine tujifunze kupika pilau la samaki 😀😀 Mahitaji Samaki Mchele Unga wa pilau/pilau masala Binzari...
21 Reactions
62 Replies
2K Views
Sijui kama mshaligundua hilo siku hizi jirani akipika wali huwezi kujua, sio kama miaka ya 90 huko mtu akikorofisha madiko diko basi watoto hatulali.. Tukija kwenye Ngunga ishu ni ile ile...
4 Reactions
5 Replies
317 Views
Salam kwa jina la misosi, Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo, kiasi nna ka uvivu ka kula, naweza kununua kitu nikasema ntapika au nile napitiwa hadi nije kushtuka kimeshaharibika...
7 Reactions
57 Replies
2K Views
Natumaini wazima. Leo nawaletea recipe ya kupika samaki wa Nazi chukuchuku,wengine wanasema mchuzi ambao hauna mambo mengi MAHITAJI Samaki wabichi unaweza tumia pia wakavu. Nazi, karoti...
16 Reactions
45 Replies
2K Views
Chakula ni kipengele muhimu cha maisha ya binadamu, ni bidhaa ambayo wakati mwingi huwa ni matokeo ya jitihada, riziki na starehe. Hata hivyo, linapokuja suala la uchaguzi wa mapishi, mapendekezo...
2 Reactions
9 Replies
978 Views
Kichwa cha habari hapo kimejitosheleza Linaitwa Dragon fruit au Pitaya au Pitahaya Kuna kijana alikuwa ananiletea ofisini ila sasa hivi haniletei anadai hakuna
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakuu vyakula vya Marekani sio vyepesi sana kujisosomola maana mimi nishazoea ugali mgumu sasa huku ni mwendo wa madude fulani ya ajabu ajabu. Ila nikasikia wanasifia sana Taco nikaona ngoja nilo...
14 Reactions
47 Replies
2K Views
Mahitaji Mayai 2 Unga wa ngano au Bread crumbs Kijiko kimoja cha tangawizi chumvi Mixed spice au Viungo vya Pilau oil simba mbili au cubes Maelezo Weka nyama ya kusaga kweye chombo na jikoni...
7 Reactions
1 Replies
1K Views
Natumaini mko salama Leo naomba niwaletee recipe ya maandazi matamu laini na yanayoweza kukaa hata wiki yakiwa Bado laini na matamu Mahitaji Ngano kilo moja Sukari robo (utaigawa mara mbili)...
17 Reactions
164 Replies
4K Views
Wakati Shughuli nyingine za Kitaifa na Kimataifa zikiendelea tujitahidi kula vizuri ili tupate Nguvu zaidi ya kusikiliza na kutoa maoni katika baadhi ya mambo. Lakini pia hata kama una madeni...
13 Reactions
88 Replies
4K Views
Back
Top Bottom