Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Ugali ni chakula cha kushangaza ambacho hupendwa sana na watu wengi Africa Mashariki, kati na magharibi. Tatizo la ugali ni kwamba hauna ladha, hauliki wenyewe bila chakula cha ziada. Wazungu...
18 Reactions
83 Replies
3K Views
VIUNGO VYENYEWE NI HIVI Bay leaf Cinnamon Stick Star Anise Black peppercorn Turmeric Powder Cilantro
1 Reactions
10 Replies
71K Views
Mambo yasiwe mengi napenda zaidi mchicha wa mafuta wenye mchuzi maana yake nyanya inahusika, naomba kujuzwa formular nataka kutowa kitu na ugali. Mahitaji ni nini na nini na kiwango chake.
1 Reactions
6 Replies
901 Views
wadau naomba kujuzwa kama kuna njia ya kuchoma nyama bila kuwasha mikaa wala kuni, make jiko ninalotumia ni la gas mambo ya wali natumia rice cooker, gheto langu ni kali mno, la kibabe linang'aa...
2 Reactions
29 Replies
18K Views
Kesho nipo home siku nzima, Nataka nipike Pishi zuuri ili nile na familia yangu. Ni kitu gani kizuri simple naweza kupika? Nataka nimsuprise wife na nimuweke na housegirl pembeni. Kesho nashangaza...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Makande chakula pendwa hasa kwa wapare ni nadra sana kukipata kwenye Hotel au Migahawa. Unapewa menu nzima haina makande, ukiuliza vyakula vilivyopo huwezi kutajiwa makande. Kuadimika kwake ni...
2 Reactions
2 Replies
275 Views
Katika kula kwangu mikate nchi hii sijawahi kuona Mikate iliyo bora zaidi ya Supa Loaf, Sunkist na ile ya Iringa inayouzwa kwenye magari. Hii mikate inahitaji heshima nchi hii kwa sababu ina hadhi...
19 Reactions
100 Replies
3K Views
Inabidi week yako moja uamue tu hakuna kula ugali wala wali ni mwendo wa ndizi, choroko, soya, pweza, papai, tango, Viazi, maziwa, maji, karanga.
4 Reactions
10 Replies
693 Views
Hivi kuna ulazima chapati iwe ya mviringo na kuanza kuwanyanyapaa wasioweza kuduarisha chapati? Ni kweli chapati ya mviringo inatoshea vyema sana kwenye kikaangio cha mviringo, lakini umviringo...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo. Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
18 Reactions
481 Replies
13K Views
Naomba msaada kwa mtu mjuzi, jinsi ya kubandua karatasi za chapati redi medi, kila napobandua, naweza upande mmoja, napojaribu kubandua upande wa pili shepu ya chapati inaharibika, wajuzi...
0 Reactions
3 Replies
381 Views
Wakuu habarini za weekend niende Moja Kwa Moja kwenye mada tajwa naomba kujuzwa vipimo vya kutengeneza kashata yaan kuanzia karanga nusu na kuendelea kuanzia sukar na maji kias gan asanten sana na...
1 Reactions
2 Replies
948 Views
Habari. hivi mmewahi jiuliza kwanini wachina, wazungu, waarabu kwanini hawali ugali? Marekani inalima mahind sana ila hawali ugali ni chakula cha ngombe. Kuna uhusiano wa chakula alacho mtu na...
0 Reactions
2 Replies
428 Views
Kuhifadhi viungo vya chakula ni muhimu ili viweze kudumu kwa muda mrefu na kudumisha ladha na harufu yake. hizi ni njia kadhaa za kuhifadhi viungo vya chakula: 1. Hifadhi Katika Vyombo Vizuri...
3 Reactions
4 Replies
942 Views
Natumaini wazima Kuna wakat tunakuwa na ndiz zimeiva sana kias umeamua huwez kuila pika hivi Kwa kutumia ndizi Mahitaji 1)Ndizi za kuiva mbili 2) nganovijiko vya chakula vitatu 3)mayai...
22 Reactions
34 Replies
3K Views
Wapishi wa nyama katika migahawa, Bar, hotel, sherehe na hata majumbani hakikisheni nyama zinaiva vizuri na kuwa laini kabisa. Iwe nyama ya kuchemsha, kuchoma au kukaanga nyama inatakiwa iwe...
20 Reactions
88 Replies
4K Views
Wanajukwaa habari zenu! Hivi umewahi kujiuliza, Kwa nini Mboga ni za lazima au muhimu unapokula ugali? Je, umewahi kula ugali bila mboga yoyote ile? Inawezekana? Haiwezekani? Kuna makundi makuu ya...
3 Reactions
57 Replies
2K Views
Wakuu, Mimi nakumbuka nilijaribu kupika wali. Nikaandaa kila kitu freshi, weka mchele wangu safiii 😂😂😂. Wakuu nilitoa bokoboko si la nchi hii, jina likabadilishwa fasta nikaanza kuitwa...
12 Reactions
108 Replies
6K Views
Ugali wa udaga ni moja kati ya vyakula vinavyopewa heshima ya namna yake kwenye jamii ya Wasukuma nchini Tanzania ukitaka kuamini hayo muulize hata SHIMBA YA BUYENZE au ngosha wa mwanza Udaga ni...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom