Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wasalaam, tunapoelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani naona viongozi wa CCM na WABUNGE wake wameanza kulamba chakula walichokula wakavibiwa Kisha kukitabika. WABUNGE na...
6 Reactions
8 Replies
969 Views
Akiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili...
11 Reactions
44 Replies
4K Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Prince Said Ibrahim uliopo Moroni nchini Comoro tarehe 25 Mei, 2024...
1 Reactions
8 Replies
474 Views
Salaam, Shalom!! Wakati tukiendelea na maigizo ya kijana wa chama Fulani, Wananchi makini, wazalendo tusiokubali KUCHUKULIWA na upepo wa maigizo tumeendelea kuangalia Kwa makini ISSUES nyeti...
13 Reactions
80 Replies
3K Views
Nilifuatilia vita dhidi ya matapeli wa ardhi Morogoro, nikagundua wote wana hati za ofisi za ardhi Morogoro, Jerry, fumua hiyo ofisi ya ardhi Mkoa na Manispaa ya Morogoro, bila kuibomoa hiyo...
0 Reactions
2 Replies
309 Views
Nadhani Chadema kuna tatizo, katika mawakili wa bei mbaya nchi nzima alikuwa Tundu Antipas Lissu, alikuwa bilionea. Tangu ajiunge Chadema, amefilisika kabisa, hana kitu, mpaka anaomba omba hela...
5 Reactions
24 Replies
991 Views
Hiyo ndio hali halisi hadi sasa Wananchi 2000 tu wamechanga takribani tsh million 25 Heri Kutoa kuliko Kupokea, Milango iko wazi kwa wale wote wenye mioyo ya unyenyekevu Ahsanteni 😄 Credit...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA ni chama cha ajabu sana,ni chama kinachotia aibu sana,ni chama kinacholeta fedheha kubwa sana,ni chama kinachoendeshwa na kwenda utafikiri mtu aliyepofuka macho,ni...
7 Reactions
68 Replies
2K Views
COMRADE KINANA AIPONGEZA UWT KWA KUWAJENGEA UWEZO WANAWAKE NCHINI Makamu Mwenyekiti wa CCM BARA COMRADE Abdulrahman Kinana ameipongeza Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutoa mafunzo ya...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
Wakati zimebaki takribani siku 12 kuuaga mwaka 2020 waafrika na hususan watanzania wanayo mengi ya kujivuania kutokana na uongozi wa Rais John Magufuli wa miaka mitano iliyopita. Japokuwa makala...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tayari DP World wameshachukua udhibiti wa bandari ambayo ni urithi wetu kutoka kwa Mungu. 1. Mpaka sasa Rais hajaweka wazi Tanzania itapata Tsh. ngapi kwa mwezi kupitia mapato ya bandari ambayo...
15 Reactions
101 Replies
4K Views
HUU NI UCHAGUZI WA VIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA VICTORIA, UCHAGUZI HUO UMEFANYIKA USIKU WA TAREHE 24.05.2024, WAMEPIGANA KWA KUTUHUMIANA KWA VITENDO VYA RUSHWA. WAMEANZA KUPIGANA WAO KWA...
1 Reactions
8 Replies
890 Views
MTATIRO ABOMOA KARAVATI LILILOCHAKACHULIWA Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro amesimamia ubomoaji wa karavati moja kati ya sita, lililokuwa linaendelea kujengwa, katika mradi wa...
0 Reactions
4 Replies
559 Views
Binafsi nachukulia vurugu na ndondi zinazoendelea kwenye Chaguzi za Ndani za Chadema kama Ukomavu wa Demokrasia ya Watu kukataa kuburuzwa Na hiyo ni dalili njema kwa chama cha Upinzani Duniani...
1 Reactions
6 Replies
375 Views
Jamaa ametulia sana kwenye nafasi yake. Anakabaka na kupiga mipira yote mbele ili kupeleka mashambulizi. Kweli wapinzani nao wajipange.
3 Reactions
7 Replies
356 Views
Nipo kwenye mdahalo wa kitaifa wa vijana kuhusu miaka mitatu ya Raisi Samia Hassan na utekelezaji wa ajenda za vijana ......huu mdahalo umeandaliwa na Huyu Mbunge wa viti maalum Nusrat Hanje,mgeni...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Baraza la Ardhi na nyumba wilaya ya Mbulu liko eneo la Dongobesh. Huyu bwana ni mla rushwa, mbaguzi, katili asiye na utu. Anashirikiana na wenye hela ktk eneo husika kuwadhulumu wanyonge...
2 Reactions
2 Replies
354 Views
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news. Lakini Cha ajabu...
5 Reactions
196 Replies
3K Views
Zimekuwapo tabia mbovu mbovu za wakaazi wa Dar kuwaita wakaazi wa sehemu tofauti na Dar eti wanatoka Mikoani. Arusha huwezi kuifananisha na Mikoa kama Njombe,Pwani,Mtwara au Songea. Arusha ni...
5 Reactions
91 Replies
4K Views
Kwa mara ya kwanza katika historia ya tokea Rais Samia awe Rais wa nchi hii, takribani miaka 3 iliyopita, sijawahi kumshuhudia Rais Samia, akihudhuria shughuli yoyote Ile, iwe ni Kwenye mkutano wa...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Back
Top Bottom