Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Salaam Wakuu, Kwa wale mnaomfahamu Mhando, aliyekuwa mhasibu mkuu wa Mkoa Dar Es Salaam (chief accountant) amefariki Dunia Hospitali ya Mloganzila. Mhando amestaafu na kuagwa na Wafanyakazi...
11 Reactions
72 Replies
16K Views
Masache Kasaka amethibitisha kifo cha Baba Yake kwa kusema amefariki dunia kutokana na tatizo la moyo lililokuwa linamsumbua. “Wakati anaedelea na matibabu katika hospitali akapata mshituko wa...
15 Reactions
99 Replies
15K Views
  • Closed
Wakuu, Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Busanda kupitia CHADEMA bwana Alphonce Mawazo afariki dunia leo.Chanzo cha kifo chake ni kutokana na kipigo kikali kutoka kwa kundi la vijana...
1 Reactions
961 Replies
160K Views
Aliyekuwa mbunge wa Mbozi Magharibi na baadaye jimbo hilo kubadilishwa na kuitwa Momba Miaka ya 1995-2005 Eliakim Simpasa amefariki majira ya saa 7 mchana leo hii katika hospitali ya Mkoa wa...
3 Reactions
36 Replies
6K Views
Aliwayewahi kuwa Mbunge wa Ubungo na Mbunge wa kuteuliwa na Rais, Dkt. Masumbuko Lamwai amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Mei 05, 2020. Dkt. Lamwai atakumbukwa kama Mwanasiasa machachari...
13 Reactions
248 Replies
48K Views
TANZIA Ndugu yangu wa karibu Dr. KINABO anayemiliki Dispensary za Avenue hapa Dodoma, amefariki leo asubuhi. Nikiwa mwanafamilia naendelea kuisihi Serikali iwe serious na changamoto inayolikabili...
14 Reactions
142 Replies
34K Views
Katibu wa Jumuiya ya wazazi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro ndugu Lugano Mwafongo amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya rufaa ya KCMC mkoani Kilimanjaro alipokimbizwa kwa matibabu...
9 Reactions
88 Replies
18K Views
#TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Vunjo Kilimanjaro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) , Aloyce Kimaro amefariki dunia.
1 Reactions
35 Replies
10K Views
Jaji Augustino Ramadhani amefariki dunia leo majira ya saa mbili asubuhi katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu ==== Majukumu mbalimbali ya uongozi...
24 Reactions
385 Replies
65K Views
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Advocate Evord Herman Mmanda, afariki Dunia alfajiri ya leo. Aliwahi kulazwa Muhimbili miezi 4 iliyopita kwa presha akaruhusiwa. Mauti imemkuta akiwa kalazwa Hospitali...
12 Reactions
267 Replies
47K Views
Imethibitishwa Abass Kandoro hatunaye tena. Source inasema alihamishiwa Hospitali ya Muhimbili mapema leo baada ya hali yake kubadilika katika Hospitali Benjamin Mkapa ya Dodoma. Kandoro amewahi...
12 Reactions
317 Replies
54K Views
Waziri wa zamani nchini Tanzania, Omary Nundu amefariki dunia na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), imethibitisha. Omari R Nundu, alikuwa mwanachama wa JamiiForums tangu Novemba 2007...
13 Reactions
109 Replies
16K Views
Aliyewahi kuwa mbunge wa Kigoma mjini Dkt. Amani Walid Kabourou, ametangulia mbele ya haki. Alikuwa kalazwa Hospitali ya Muhimbili. Mazishi yanafanyika Kigamboni Dar Es Salaam. Mola ailaze roho...
13 Reactions
141 Replies
29K Views
Patrick Gululi Mbozu Tanzia: Patrick Mbozu Diwani wa Isanzu (CCM), afariki Dunia Mzee Patrick ametutoka usiku wa leo. Alikuwa anasumbiwa na Maradhi kwa mda mrefu, alilazwa Hospitali ya Bugando...
2 Reactions
48 Replies
9K Views
Nasikitika kuwaarifu kuwa Mhe Jaji Upendo Msuya,(rtd) amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Kairuki. Hakika sisi sote ni wa Mungu na kwake yeye tutarejea. ======= Aliyekuwa Jaji wa...
7 Reactions
121 Replies
19K Views
Nikiwa njiani kuelekea Tarime, naomba kutoa rambi rambi kwa kifo cha Wakili Ndyanabo. Namkumbuka marehemu kama mmoja wa wakazi wa jimbo la Ubungo aliyekuwa mstari wa mbele kutetea demokrasia...
1 Reactions
63 Replies
12K Views
Back
Top Bottom