Safari ya Majaribio ya Treni ya SGR na Viongozi wa Dini kutoka Dar es Salaam - Dodoma kwenye Dua na Maombi ya Kitaifa
#60yaMuunganoTz
Nami nasafiri na SGR nitakuwepo kwenye Dua/Sala Aprili 22...
Tlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu...
Watanganyika wanapenda siasa zilizopooza Watu wa Swaga kama akina Makonda, Lisu, Jussa na Lema huonekana kama wakorofi
Dunia inaenda Kasi Sana ndio Sababu CCM inapata Ugumu inatakaga kubadili...
TAARIFA YA MH. MBUNGE FREEMAN AIKAEL MBOWE MBUNGE WA JIMBO LA HAI KUHUSU UTENDAJI WA KAZI ZA KIBUNGE KWA KIPINDI CHA 2010 HADI TAREHE 30/06/2014.
JIMBO: HAI
MAHALI: MKUTANO MKUU WA WILAYA...
Zaytun Swai, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha; Serikali ina mpango gani wa kuunga mkono juhudi za Wananchi kwenye Umaliziaji ujenzi wa Zahanati!
"Wananchi wa Kitongoji cha El'gong'we Wilayani...
Nimeshangzwa sana na kugawanya Kwa halmashauri ya mtwara vijijini Kwa kuwepo halmashaur ya nanyamba yenye tarafa moja, baada ya kugundua ni ndogo wakaiongezea kata tano ambazo pia inadaiwa ni...
Tunapoelekea uchaguzi Mkuu kuna mambo mengi yameanza kujitokeza na yatajitokeza zaidi kadri muda unavyozidi kwenda kwenye mchakato mzima mpaka siku ya kupiga kura na hata wakati wa matokeo na...
Kuna katabia ka watanzania kuwaonea wivu wazawa na kuwakumbatia wageni. Uwekezaji wa Dangote mtwara unanipa maswali mengi hasa kiasi cha ardhi aliyomilikiwshwa hekari 700 kujenga kiwanda na 2500...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakaatuhu
Baada ya kumshukuru Mwenye ezi Mungu na Kumtakia rehma na amani kiongozi wetu Bwana Mtume Muhammad S.A.W.
Tunapenda...
Nasikitika sana kwa aina ya maswali wanahabari wetu kuyauliza pindi wanapokutana na viongozi wa kuu wa taifa letu.
Mara nyingi huuliza maswali dhaifu, mepesi na pengine wanayo majibu ama...
Farhia Middle katika kipindi cha Dakika 45 ITV alikuwa anamuhoji Warioba kuhusu miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Katika mahojiano hayo Farhia alijitahidi sana kumuondoa katika hoja...
Zipo tetesi zinazagaa kuwa baada ya Rais kuona upotevu mkubwa wa mapato kuna uwezekano mkubwa wizara ya fedha akaikamata mwenyewe.
Pamoja na hayo yapo niliyojiuliza kwa tetesi hizi,Je,Kama ikawa...
TUNAWEZA kuifananisha hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli [JPM], ya kufungua rasmi Bunge jipya la Jamhuri ya Muungano mjini Dodoma, 20 Novemba mwaka...
SERIKALI ya Ujerumani imetangaza kuongeza kiwango cha ufadhili kwa Wakimbizi wa Burundi wanaoendelea kuingia nchini kwa kasi, kutokana na mkwamo wa kisiasa uliopo nchini humo.
Ujerumani...
Dr Slaa alisema kumkaribisha Lowassa Ukawa ni sawa na kuchukua "kinyesi" ukapeleka chumbani! Bila shaka pamoja na hasira za kukosa urais alitaka kuwaaminisha watanzania jinsi gani anauchukia...
Mfumo unaundwa na watu,mfumo ukikomaa huwafanya watu wale waliouunda mfumo ule kuishi kwa kadiri mfumo unavyotaka.Kuubadili mfumo huo inahitaji watu tofauti kabisa ya wale waliounda mfumo wa...
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amewataka wanasiasa kukoma mara moja kugombania kuhusu nani atamarithi.
Rais huyo mwenye umri wa miaka 91, amesema hayo katika kongamano la kila mwaka la chama...
Magufuli angekuwa maarufu ndani ya muda mfupi, angekuwa nuru ya Africa, na angetambulika duniani kwa sifa njema.
Wananchi bila kujali itikadi walimpenda, na wangempenda zaidi na zaidi...
"Je, ni lini Serikali itapeleka fedha za kutosha kukamilisha kituo cha Afya cha Ngimu katika Jimbo la Singida Kaskazini" - Mhe. Aysharose Mattembe, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.