Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Manyoni Bwana Jumanne Makhanga analalamikiwa na wananchi ambao ni wanachama hai wa CCM Wilaya ya Manyoni kwa kuchangisha pesa zisizo na tija. Mwenyekiti huyo kwa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimeona Taarifa Ya Utenguzi wa Mkurugenzi wa Mafia. Kiukweli Nimefarijika sana na Nimeona Kweli haki imetendeka na Imeonekana Ikitendeka.. Ni wazi kuwa Nchi imepata Viongozi waadilifu Na hasa...
15 Reactions
79 Replies
6K Views
Kutokana na katuni hii umeelewa nini Mdau?
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Hakuna cha majina ya wasaliti wala hakuna cha walipa posho kwa watu wa mitandao, bali hiyo ni mbinu ya Makonda kuwaweka kwenye kona mbaya mawaziri wamuogope kuwa ukimfuata fuata anaweza kukusemea...
4 Reactions
14 Replies
961 Views
Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi...
18 Reactions
163 Replies
8K Views
Wanabodi, Kwanza naomba kukiri kuunga mkono kwa dhati, juhudi zote na hatua zote zinazochukuliwa na rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano katika vita dhidi ya rushwa, ufisadi...
111 Reactions
386 Replies
46K Views
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali...
9 Reactions
115 Replies
6K Views
Wananchi wa Mkoa wa Njombe na Ruvuma tunakukaribisha Sana Nyumbani,Katibu wetu wa Chama Cha Mapinduzi kwani Mcheza kwao hutunzwa!! Nadhani umepita kwa Njia ya barabara kutoka Mkoani Njombe...
1 Reactions
2 Replies
399 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba ile wiki ya Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA yatakayofanyika Dunia nzima , kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania pamoja na Sheria mbovu na...
5 Reactions
21 Replies
957 Views
Jambo jambo? Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC. Jamaa amewapa makavu kuwa...
39 Reactions
147 Replies
11K Views
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika. Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma. Hakuna anayependa kula matapishi. Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch...
4 Reactions
81 Replies
4K Views
Ni kama wiki hivi tumekuwa tukifurahia umeme hata kipindi hiki cha mvua zinazoambatana na upepo. Nikasema, hapa sasa serikali imemaliza hii kero ya kukatika umeme. Nikapanga jumapili hii basi...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Juzi hapa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii alikutana na wafanyakazi wa wizara hiyo katika kujadili masuala ya utalii na changamoto zake alikiri kuwa zaidi ya 80% ya watalii wanaotembelea Tanzania...
13 Reactions
183 Replies
22K Views
Anaegawa hizo tisheti za chawa wa mama akumbuke kuwapatia viatu vizuri pia hawa chawa tafadhali
0 Reactions
5 Replies
760 Views
CHATANDA ASHIRIKI HAFLA YA KUMBUKIZI YA MIAKA 90 YA DKT JOHN SAMWEL MALECELA Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) ameshiriki hafla ya kumbukizi ya Miaka 90...
1 Reactions
3 Replies
622 Views
Hivi ni halali kwa Wazanzibari kuajiriwa Tanganyika kama waalimu bila ya kuwa na vibali vya kufanya kazi? Ni halali Wazanzibari kuajiriwa kama watendaji wa mitaa na Kata? Ni halali kwa...
52 Reactions
457 Replies
20K Views
"Hospitali za Serikali kuacha jukumu lake la msingi na kuanza kufanya kazi za anasa kama kuongeza ukubwa wa makalio badala ya kujishughulisha kikamilifu kutibu maradhi yanayosumbua wananchi, tunao...
1 Reactions
4 Replies
865 Views
Fao la Kujitoa Laondolewa Katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Kwa Sababu Halina Sifa Za Kuitwa Fao Hifadhi ya Jamii (Social Security) ni sera au programu zilizoanzishwa kwa lengo la kusaidia kulinda...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Ni takriban wiki 2 sasa tangu nilipoiona habari ya mafuriko ya Rufiji dam. Habari ilieleza kuwa sio chini ya kaya 1000 zimeathiriwa na maji ya mafuriko yaliyotokana na maji kujaa kwenye dam...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
sayansi katika siasa hutumiwa na vyama vya siasa na wanasiasa kwa namna nyingi. ambazo, ni pamoja na kueneza itikadi, sera, mipango na mikakati yake kwa wananchi, kwa njia mbalimbali ikiwa ni...
1 Reactions
7 Replies
430 Views
Back
Top Bottom