Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
"Rais wa Tanzania tumemwajiri sisi Katiba ni barua ya ajira ambayo sisi ndiyo tunaopaswa kumuandikia siyo yeye atuandikie halafu atuambie nimeandaa Katiba ili niwatawale, huwa tunaingia kwenye...
9 Reactions
27 Replies
1K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yaliyoletwa na Mungu, ya kupinga Dhiki, Ufukara, Ugumu wa Maisha, Bei kubwa ya bidhaa zote ikiwemo Vyakula, pamoja na kupinga miswada mibovu...
10 Reactions
45 Replies
3K Views
Umeme tutapigwa danadana hadi hapo tutakapo sahau Sisi wenyewe na kuchukulia swala Hilo kuwa la kawaida! Maji katika bwawa la Nyerere yamejaa kwa asilimia 99% shida iliyopo pale kutopata umeme NI...
10 Reactions
56 Replies
4K Views
Salaam, Shalom!! Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha, Ningependa kujua nini maana ya dharura? Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea...
21 Reactions
96 Replies
5K Views
Binafsi Siamini kama Wizara ya Afya, ambayo kwa maoni yangu ni Wizara nyeti kabisa inahitaji kuwa na Waziri, ama viongozi wenye makeke, ama makelele yasiyo na tija. Kwanza uzoefu unatuonesha...
80 Reactions
142 Replies
22K Views
Heshima sana wanajamvi, Inafahamika Jumanne yatakuwepo maandamano hapa Jijini Arusha. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha imekuwa katika harakati kubwa za kutaka kuyazuia maandamano hayo kwa kutumia...
1 Reactions
6 Replies
651 Views
Nini mtazamo wako kuhusu hali hii Mdau?
1 Reactions
2 Replies
322 Views
Ndugu zangu Watanzania, Dkt Tulia Acksoni Mwansasu amefanya wananchi katika mitaa mbalimbali ya jiji la mbeya kububujikwa na kutokwa na machozi utafikiri watu waliowekewa vitunguu machoni. Hii ni...
9 Reactions
143 Replies
5K Views
Ujumbe mzuri sana huu, huku ndiko kuiva kisiasa. "Nawatakia heri CHADEMA kwenye maandamano kesho Arusha. Naamini kwenye siasa za ushindani wa hoja. Nitasikiliza hoja zao zenye mashiko...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Kama mada inavyosema Mimi ni mtanzania niliyezaliwa, Kijiji Cha Nakatuba kata ya Chitengule Jimbo la MWIBARA. Nimeamua nigombee UBUNGE jimbo la Mwibara 2025. Nimeamua kuonesha nia ya kuligombania...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Waziri Mkuu mstaafu bingwa wa kulia hovyo hovyo alishiriki misa takatifu St Theresa Jijini kwa heshima ya wadhifa aliwahi kushika Paroko akampatia nafasi ya kusalimia waumini. Badala ya kusalimia...
10 Reactions
34 Replies
2K Views
Waziri wa fedha Mwigullu Nchemba amesema Watanzania wasiogope Nchi inakopa kwa Sababu ina Uwezo wa kulipa Source: Mwananchi Sabato njema 😄
6 Reactions
74 Replies
2K Views
Ukweli mchungu utabaki kuwa Magufuli alikuwa shujaa na Rais bora kuwahi kutokea Tanzania na Afrika. Historia vizazi na vizazi vitazidi kumkumbuka huyu shujaa kutokea Chato. Haitokaa ije kutokea...
12 Reactions
107 Replies
5K Views
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema maji ni moja ya shida kubwa zinazowakabili wananchi wengi wa ukanda wa ziwa Victoria. Tathmini kutoka mikutano ya...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Kila Kona ya nchi Sasa ni mtetemo na mtikisiko ikienda sambamba na tabasamu la kumalizika Kwa miradi iliyoanzishwa wakati wa utawala wa Hayati Magufuli. Ni juzi tumeambiwa mtambo namba 8 wa...
4 Reactions
6 Replies
718 Views
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amepatwa na nini? Mbona Bashe wa kabla ya kuteuliwa kuwa waziri alikuwa machachari sana kuliko huyu wa sasa? Mazao yote makubwa chini yake yameanguka bei ,pamba...
11 Reactions
80 Replies
5K Views
Hakuna umeme hata dar es salaam, viwanda, majumbani na kwenye biashara hakuna umeme, ni shida na hasara ya matrilion inapatikana: Mvua zinanyesha nchi nzima, mabwawa yamejaa na mafuriko kila kona...
10 Reactions
55 Replies
3K Views
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar. Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu...
11 Reactions
84 Replies
6K Views
Kweli kabisa nasema ukweli, kila wizara alikowekwa hayati Magufuli alifanya wandazi. Leo umeme shida kila kona ya nchi mpaka hospitali zinakatiwa umeme, mwingine akasema eti winchi ya kunyanyua...
7 Reactions
36 Replies
2K Views
Leo nimeona tujadiri wapi bunge letu limekosea/linakosea. Awali tunajua kuwa mbunge wa Jimbo anapochaguliwa anawakilisha wana-Jimbo wote. Sasa mbona wanawake wanataka mwakilishi wao, mbona...
0 Reactions
1 Replies
347 Views
Back
Top Bottom