Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Julius Mtatiro ni jembe kwelikweli hili halina ubishi hata John Mnyika anafahamu ukweli huu, ila mpaka leo nashindwa kuelewa kwanini mpambanaji huyu hakujiunga na CHADEMA badala yake akatimkia CUF?
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Tanzania's top politicians linked to money-laundering deals p It is now appearing that the long dreaded money laundering crime is a big business in Dar es Salaam, with its connections...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
WanaJF leo saa 2 usiku kwenye taarifa ya habari TBC1 nimeshangazwa na Mbunge mmoja viti maalum alipokua shuhuda wa tukio la Mbunge wa viti maalum aliyeugua ghafla bungeni mapema leo asbh...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu. Naomba mwenye data kuhusu vile vijisenti vya chenge maana inawezekana a taarifa "official " zilizotoka zikuzipata vizuri au zote Inasemekana Chenge alisema vile vijisenti ni vya NGO...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kutokana na kuwa na safari nyingi haieleweki kwa sasa ''Rais'' yupo nchini au la....ningependa kujua aliko nimfuate
1 Reactions
31 Replies
3K Views
mhe Mrema yuko live bungeni anaponda maandamano
0 Reactions
76 Replies
7K Views
Ombi Langu kwa wabunge wa chama changu, si kila jambo kulipinga swala la Posho (sitting allowance) hakuna sababu ya kulivalia njuga na kulazimisha kulipata,wabunge wanapata Mshahara,posho ya kuwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jibu ni rahisi, Nchi yetu ni mskini kutokana na Viongozi wasio na upeo wakufikiria jinsi ya kutumia rasilimali tulizopewa na Mungu. Mungu ametujaalia kila aina ya resource lakini tumekuwa maskini...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
TBC 1. Nimemshuhudia waziri wa Tamisemi Mh Mkuchika akisifia shule za kata kwamba zinatoa elimu bora kuliko shule nyingine kwani ktk matokeo ya kidato cha 4 mwaka jana zimeongoza kutoa wanafunz...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mbunge wa simanjiro kupitia chama cha ccm bwana ole sendeka ametahadharisha baadhi ya watu wanaomwita mwl Nyerere kuwa ni dikteta kwamba serikari itaweka mkakati wa kuwafuatilia pia amehusisha na...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Mbowe asita kususia posho Send to a friend Thursday, 23 June 2011 21:54 0diggsdigg Kizitto Noya, Dodoma KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema licha ya kurejesha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Great Thinkers naomba tujadili maendeleo CCM iliyotuletea toka ichukue madaraka. Ivi kuna kitu CCM imefanya 'beyond the ordinary'? Ni sera gani CCM imeweza kusimamia kwa nguvu zake zote...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naangalia mjadala wa Bunge na kuna Mbunge ameomba mwongozo wa spika kuhusu uchangiaji akisema kwamba yeye ni wa 16 kwenye orodha lakini ameitwa mchangiaji wa 20 yeye hajaitwa!! Mwenyekiti ameseema...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Inasikitisha kusikia kauli ya Waziri mwenye dhamana katika mawasiliano, Sayansi na technologia, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa kueleza kuwa Tanzania haina watafiti wenye sifa. Taarifa hii aliitoa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Jana barabaa ya mwenge pale ITV ulipita msafara wa Makamu wa Rais Bilal...cha kushangaza kulikuwa na matrafik wakizuia magari ili kuupisha msafara na magari yote yalikaa kando. Pikipiki ya ya...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hawa jamaa walikuwa wanagawa chumvi ili washinde uchaguzi kupitia chama cha magamba.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ubaguzi Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sehemu ya tatu kwenye haki na usawa; kifungu cha 13(2) kinasema: “Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Na imekuwa kawaida kuwasikia wabunge wa CCM bungeni au nje ya bunge wakisema "tunaishukuru sana serikali yetu sikivu" pale inapotimiza wajibu wake.Pia tunaiomba serikali yetu sikivu ifanye hivi na...
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Katika nyakati ninazozifurahia sana kuzitazama ua kuzisikiliza, ni wakati anapoongea mtu aliyesahaulika au mtu anayesubiriwa sana na wengi ili anukuliwe kauli zake, wengi hutegemea zitakuwa na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tanzania delegation visits London in pursuit of payment decreed by UK fraud office from BAE over radar equipment sale. The country had earmarked the money to improve education Tanzania still...
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Back
Top Bottom