Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Friday, June 24, 2011, 7:24 Habari kuu, The african BY SYLVESTER JOSEPH IN DODOMA THE Parliament is set to debate on the steps taken by the Government to recover the swindled USD 40 million (about...
1 Reactions
0 Replies
939 Views
Ombi Langu kwa wabunge wa chama changu, si kila jambo kulipinga swala la Posho (sitting allowance) hakuna sababu ya kulivalia njuga na kulazimisha kulipata,wabunge wanapata Mshahara,posho ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Written by Hassan10 // 24/06/2011 // Habari // No comments hali ngumu ya maisha na mzigo mzito wa Muungano. Hivi sasa mziko waliotubebesha Serekali ya Smz umekuwa mzito na siku hadi siku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Once the guy will be out today to resign hope so
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Tumoena jana Warizi wa mambo ya nje Mh B.Membe anavyotetea na kupinga kwa nguvu zote kwamba serikali ya tz haiko tayari kukubali pesa za rada zilipwe kupitia NGO za uingereza.Najaribu kujiuliza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi wana baraza ( JF ). Mimi kwa sasa si mwanachama wa chama chochote ingawa ni shabiki chama chenye uthubutu wa kumwambia mfalme "mkuu umetoka uchi leo". Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu hotuba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
umma unapaswa kulindwa kwa heshima na wabunge wa nchi yetu kama walivofanya kulitetea shirika la chd jana bungeni..hongereni sana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nchi yetu inaelekea pabaya. Mtu mmoja tena msomi na mwana ccm kama hivi iwapo ccm 2015 itamteua Mwislam au Mzanzibar basi hataichagua ccm bali atachagua chama kingine ambacho mgombea wake ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali hii imekuwa ikiwatumia wabunge wa chama chake ambao ndio wengi bungeni kutetea hata mambo ambayo hayatuingii akilini. Wabunge hawa wanafumbia macho ukweli kwa vile wanafaidika na mfumo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jana wakati wabunge wa Chadema wakisusia kikao kilichokuwa na nia ya kutoa tafsiri ya kambi rasmi ya upinzania bungeni, sikutaka kuamini kile nilichokuwa nakisikia kutoka kwa wabunge waliobaki (...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Kama tutaenda namna hii, wabunge wanapitisha maamuzi kwa ushabiki wa vyama, sijui nani sasa anatafuta kuleta vurugu nchi hii tuipendayo mno?. Kweli mwekezaji afanye biashara zake kwa miaka kumi...
0 Reactions
1 Replies
881 Views
YouTube - ‪ZITTO AWASHA MOTO BUNGENI LEO‬‏
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukute pombe yenyewe ni gongo, mtu akipiga kibuyu na kumwaga pombe ako atakuwa amekuokoa maisha yako.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tiba ya mchungaji wa Kainsa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Ambikile Mwasapile, imeingia dosari baada ya kuanza kupoteza umaarufu na idadi ya watu wanaokwenda kupata kikombe hicho kuanza...
0 Reactions
73 Replies
7K Views
Wakuu, kwa mjibu wa spika wa bunge letu, mzee JS Malecela kafanyiwa operation kubwa(moyo). Hali hii imesababisha mama Anne Kilango kutokuwepo mjengoni tangu awali. Tumwombee mzee wetu afya njema.
1 Reactions
163 Replies
14K Views
Written by Hassan10 // 24/06/2011 // Habari // No comments Mh kikwete akaguwa mtambo wao mpya wa Gus asilia. Smz (Wz,bar) tusubiri imani na izini kutoka kwa Mh kikwete na Bunge lake la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii natumaini serikali imewakumbusha mbali kwa kweli mh mbowe aliitoa hii majuzi wakati akilalama posho za serikali na kusema inasikitisha kuona jamani kila halmashauri unakokwenda unaambiwa ati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima wakuu! naandika nikiwa na kumbukumbu ya senema ya mchanganyiko wa vionjo vya kibongo na kichina (kichibong) ambapo mhusika mkuu akiwa waziri mdogo wa viwanda na biashara ...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwandishi Maalum 1 Jun 2011 Toleo na 188 Ni ‘usanii' wa kusafisha njia kwa anayemtaka 2015 Anayemtaka ni Asha-Rose Migiro? NI vigumu kuamini kwamba rais wa nchi anaweza kuhusika na...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Kwanini viongozi wa serikali na ccm hutumia lugha ya kiingereza pale wanapotaka kuwadanganya au kuwaficha ukweli walalahoi na lugha ya kiswahili pale wanapotaka kupata sifa au kujikosha kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom