Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hee leo nimeona maajabu ya bunge baada ya mh waziri kushindwa kujibu swali la mh Lissu kwa madai eti ni SWALI jipya, kumbe serikali inataka maswali ya zamani tu. Hili lilikuwa swali la nyongeza...
6 Reactions
62 Replies
10K Views
Baada ya mbunge aliyechakachuliwa, mwenyekiti wa chadema mkoa wa shy na mjumbe wa kamati kuu ya chadema taifa, marehemu shelembi kufariki dunia, leo amepatikana mrithi wake. Mrithi wake ni ndugu...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Malumbano yanayoendelea ndani ya Bunge letu tukufu, serikalini na wananchi juu ya posho za vikao si jambo la kufumbia macho, wabunge, serikali na wananchi kwa pamoja wanahitaji kutolea uvivu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau kwa wiki tatu hivi nimekuwa nafutilia kisa cha watu waliokuw wanashambulia mitandao na tovuti ya FBI wakaiba data za kampuni za sony. Kwa jina la kitaalam wanaitwa hackers...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwandishi Wetu Dodoma 22 Jun 2011 Toleo na 191 CCM yataka kubadili aliyoanzisha Samuel Sitta CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kupitia kwa Katibu Mkuu wake, Wilson Mukama, kimeanza...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
CUF, UDP na TLP wanataka pesa za Dowans. Kwanini Wananchi hawakuachagua Wabunge wengi toka hivi vyama? (Chadema viti = 70) Wananchi walishashtuka na kambi za kupandikiza za CCM na kujiita...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
In some of my writings I have alluded to one of the most fiery, provocative and incredibly poignant speech by Nyerere to the Tanzanian educated youth. It is one of the few speeches that remains...
14 Reactions
147 Replies
11K Views
UWEZO WA MAKINDA KULIONGOZA BUNGE NI DOGO SANA NA KWA TAARIFA ZA NDANI INASEMEKANA ALIITWA NA KUPIGWA MKWARA MZITO NA WAKUU WA MAGAMBA NA SASA KUNA TAARIFA KUWA HUENDA WAKAMTOA KITINI SIKU SIO...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
Wakati Spika anafunga kikao cha Bunge jioni 22/06/11 amesikika akiwatarifu wabunge wote kuwa wamealikwa kwenye sherehe za kuadhimisha siku ya Taifa la Canada hapo kesho. Kwa maelezo ya Spika ni...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Nyerere alipokuwa kazini ni kazini yaani anapiga kazi kama mzalendo na mwenye uchu wa kuleta mabadiliko , Kikwete yeye ni mtanashati zaidi siwezi kumuita sharobaro maana yeye ni raisi lakini...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani leo kumejiri nini Bungeni kuhusu mswali ya papo kwa papo kwa PM? Ameyamudu maswali ama yule Mama kamuondoa kwenye ndoano?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Huku ni kwa wale wanaoitetea na kuisapoti ccm tu(kama wanaweza kujitokeza hadharanii!!!). Ni kichaa tu,au anayejifanya chizi anaweza kuchangia huku. Tunahitaji wachangiaji ambao WANATETEA MAMBO...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeurudia kuutazama tena ule mkanda wa "Letter to my Fathers" ili kutafuta nukuu ya alichokisema January Makamba kuhusu "sitting allowance" tarehe 6 Februari, 2011... "Today we had orientation...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/zitto-kabwe-awasha-moto
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Chadema kama ilivyo vyama vingine vya Siasa inaamini katika maamuzi ya wananchi walio wanyonge kwa maslahi ya wanyonge, kwa hili napenda nikipongeze chama cha Chadema.Japo si kila maamuzi ni...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Niko mbele ya Luninga, namsikia Ndugu Tundulisu akichangia juu ya misamaha ya kodi kwa wawekezaji,nikamuelewa vizuri sana juu ya hoja zake.Akasimama mbunge wangu Ndugu H.A Kigwangala(Said Bagaire)...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Nimesikitishwa na jinsi serikali yetu inavyowababaikia wawekezaji kiasi cha kufikia kuwaua raia wake ili kuwafurahisha wawekezaji wa kigeni. Leo kweny gazeti la Mwananchi kuna habari kuwa...
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Bungeni muda huu kuna mvutano mkali kati ya serikali na kamati ya fedha kuhusu kuongeza muda wa uhai wa Consolidated Holding Corporation. Kamati na kambi ya upinzani wanataka CHC wapewe muda mrefu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo Mh. Mbowe ameonyesha njia kwa kuwachapa viongozi wetu bakora kumi alizozituo wakati wa kuchangia mjadala wa bajeti ya fedha na uchumi ya mwaka 2011/2012. bakora hizo alizito kwa nyakati...
6 Reactions
153 Replies
13K Views
kwa mwezi yanazalishwa matofali 38 au 40. kila tofali lina uzito wa kilo 26. kulipa mishahara ya wafanyakazi na kodi zote linatumika tofali 1. barric wanaongoza kwa uzalishaji Afrika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom