Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
MBUNGE WA CUF MAGDALENA SAKAYA, WAJUMBE WA BARAZA KUU CUF, OFISA WA HAKI ZA BINADAMU NA SHERIA NA VIONGOZI WAANDAMIZI WA WILAYA NA KATA WANYIMWA DHAMANA BAADA YA KUPEWA MASHARTI MAGUMU. Katika...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Karl Lyimo 5 June 2011 opinion Nearly two decades after the second president of Tanzania, Al-Haj Ali Hassan 'Ruksa' Mwinyi (1985-95), pledged to eradicate corruption root and branch, the...
0 Reactions
1 Replies
679 Views
KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni imetangaza vipaumbele na mwelekeo wa bajeti ijayo ya mwaka 2011/12 ambapo na fkutangaza kuunda kitengo maalum cha kushughulikia mafisadi wkubwa anaolalamikiwa na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mara baada ya kufutwa kwa hati ya kukamatwa kwake na kuachiwa kwa dhamana,Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa,Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni,Mh.Freeman Aikaeli Mbowe alibebwa...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
TUNAKWENDA WAPI? - VIONGOZI TUNAOWATAKA > > Naeleza baadhi ya matatizo ambayo viongozi tutakaowachagua tuwe na hakika > iwapo wanayaona hivi kama sisi tunavyoyaona. Yanawauma kama sisi >...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katizo la umeme mara kwa mara limetuingiza gharama kama wananchi binafsi na kama uchumi wa nchi .Sasa Mh.Mbunge wa Bumbuli waraka wako ulioutoa kwa Bunge na Raisi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF nimelazimika kuomba msaada kutokana na ufahamu mdogo wa kisheria juu ya kinga waliyonayo wabunge pindi wanapotuhumiwa kufanya makosa ya jinai au mengineneyo yatayowalazimu kufikishwa katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nashindwa kuambatanisha hivi vitu kwa wakati mmoja na kwa mda mfupi kama ni uwajibikaji wa polisi,Nasema hivyo kwa Sababu tangu kutolewa agizo la kumkamata Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,na Mhe...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Freedom... Huyu kijana ni wa kesho; lazima mabadiliko kumuenzi kijana huyu... LIVE FREE OR DIE... We want a society where people are free to make choices, to make mistakes, to be generous and...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katibu wa chama cha Demokrasia Chaema bwana Willbrodi Slaa amesema wabunge wa Chadema hawataingia ktk vikao vya Bunge Kama Serikali haitomwachia mwenyekiti wa Chadema bwana Freeman Aikaeli Mbowe...
4 Reactions
94 Replies
9K Views
Shamrashamra za kumpokea aliyekuwa Diwani wa Chadema kata ya Urughu, ndugu Simon Tyosela, katika viwanja Ulemo jimbo la Iramba Magharibi. Kiongozi huyo aliambatana na wanachama wengine wa Chadema...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Jamani CCM Ni nani aliyewadanganya kwamba 9 x 0 = 90?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Namsikiliza kiongozi wa CCM Nape, anaongea Clouds FM kuhusu posho za vikao kufutwa kaongea vizuri lakini tatizo ni pale alipokuwa anafunga maelezo yake " amani ya nchi tumeijenga kwa miaka 50 kwa...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
The statement by Kova shows vividly that efforts are being made to arrest the surge of democracy in Tanzania. He should be able to distinguish between demonstrating and rioting. Demonstrating is...
0 Reactions
2 Replies
798 Views
WAKATI Rais Jakaya Kikwete alipoomba kura ili awe rais wa awamu ya nne mwaka 2005, alibuni kaulimbiu ya ”Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania” akiahidi kutimiza ahadi zake kwa ”Ari mpya, Nguvu mpya na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
I HAVE AN IDEA FOR THOSE WHO DARE THINK AND REFLECT!! DO A MENTAL RITUAL THAT WILL GET YOU TO SPARE A MOMENT TO ACTIVELY REFLECT ON THE FIFITY (50) YEARS OF UHURU. ANSWER THE QUESTION...
0 Reactions
0 Replies
774 Views
Hii ni kabla ya kesi na wakati kesi inaendelea...Mtanisamehe nimepiga picha kwa simu yangu ya mchina...
30 Reactions
163 Replies
38K Views
Kwa yeyote anayehitaji kushonewa VAZI RASMI la CDM awasiliane na fundi mashuhuri wa kuyashona Magwanda ya CDM anapatikana TUNDUMA .Namba yake ya simu ni +255 754 649 025 Karibuni wote
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wee mzee tuambie kazi yako ni nini kama sio kutafuta hela zitoke wapi,,kwani siku unaajiriwa pale ikulu hukupewa majukumu yako???ancha hizo wee mzee
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HIVI TBC WANAFAHAMU UMUHIMU WA KARIBU TRAVEL AND TOURISM FAIR KWELI? Juzi tarehe 05/06/2011 ilikuwa siku ya mwisho ya maonesho ya Karibu Travel and Tourism Fair (KTTF) yaliyofanyika kwa siku tatu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom