Mbunge, meya wamvimbishia msuli mganga mkuu
na Sitta Tumma, Mwanza
MBUNGE wa Ilelema Highness Kiwia na Meya wa Jiji la Mwanza Josephat Manyerere wamemtunishia msuli Mganga Mkuu wa...
Nape Mnauye ni mategemeo yangu ya kwamba sababu kubwa ya kuteuliwa kwako na viongozi wapya katika kamati kuu ni uamuzi uliofikiwa na CCM baada ya kubaini mapungufu katika chama na moja kati ya...
Wadau,nasikiliza redio hapa, taarifa ya saa 12 jioni hii, kwamba Dovutwa- mwenyekiti wa UDPD ameitisha press confernce na kutetea hatua ya Ridhiwani kutaka kuwapeleka court Dr Slaa na Mch...
kijana mwenzetu Nape anashindwa kusema mikakati yao ambayo wanatarajia kuwakomboa watanzania amekaria kusifia chama na kujibu hoja atajibu mpaka lini, kwa maana wamegundua kuwa chama chao kilikiwa...
"MAMEYA WATATU WAMVAA MAGUFULI"
Wa kwanza kuponda kauli ya Magufuli ni Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa, ambaye alimtaka Magufuli kuacha ubabe na asikilize maagizo ya bosi wake, Rais Jakaya...
Maandamano yanayoendelea mikoa ya Kusini yamekosa mvuto na msisimko na kile kinachoelezwa kupuuzwa na vyombo vya habari magazeti na Television. Ni gazeni moja tu la Tanzania Daima ndio limekua...
Wana JF mimi ni mmoja wa wanJF lakini pia ni mfuatiliaji sana wa habari za siasa hasa siasa za upinzani na zaidi sana habari za chadema!! Kwanza ningependa kuwajuza kuwa mimi ni Mwanachama na sio...
Ufisadi katika nchi hii unaonekana zaidi miongoni mwa wanaojifanya ni wapenda haki huku wakiwa ni wafanyabiashara wakuu. Tazama kinachoitafuna CCM! Biashara+Siasa!
Swali moja dogo, ni lini...
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Taifa na mbunge wa Manyoni Mashariki John Chiligati
Thursday, 12 May 2011 19:11 newsroom
* Mwakani mwisho wa mafisadi dagaa
* Asema CCM itabaki na waadilifu tu
NA...
Jamani nimesikiliza taarifa ya Habari ya TBC1 wakimnukuu Katibu Mkuu wa CCM akisema kuwa hakukuwa na maazimio ya kuwatosa mafisadi baada ya siku tisini. Au sikusikia vizuri!! Mbona Nnauye anasema...
Ndugu zangu JF,
Nimefuatilia mjadala wa Kauli yangu juu ya kifo cha Osama bin Laden katika jukwaa hili na hata nje yake na kugundua mambo kadhaa ambayo nastahili kuyaweka wazi yakaeleweka vema...
Juzi waandamaji huko Uganda walikumbana na washawasha la pink. Nimesoma kuwa hii style ilikuwa inatumika sana kipindi cha ubaguzi wa rangi Afrika Kusini. Washawasha la pink alikutumia Tunisia...
Kwa sala na dua, ninaomba Tanzania tumpate Rais mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe katili kwa waongo, wapenda rushwa, wezi, mafisadi na wazembe kazini
2. Asiwe tajiri wala masikini
3. Awe na kisomo...
Wapenzi na wanachama wa Chadema:
Kutokana na vita hii kali ya maneno kati ya CDM na CCM, naona imefika wakati muafaka kwa CDM kuweka hadharani ufisadi wote wa EPA -- jinsi CCM ilivyonufaika na...
RAIS Jakaya Kikwete, anaelezwa kukwamisha vita dhidi ya ufisadi ndani na nje ya chama chake, Chama cha Mapinduzi (CCM), baada ya kuamua kumteua mtuhumiwa wa kashfa ya Richomond, Bashir Mrindoko...
According to Wikipedia Sources Kigoda as a leader behind many financial scams Tanzania has ever seen. Under former President Benjamin Mkapa, Kigoda as a member of inner sanctum made a lot of money...
* Tatizo ni kuwa chama tawala bado kina Mamlaka kwenye Vyombo Vya Usalama; Bado Ofisa Mwandamizi wa Polisi anachaguliwa na Rais; This must stop to have a fair and balance rule.
Thursday, 12...
Wakuu najua mnahasira na huu mchezo unaofanywa na hili shirika la mwanga. Mchezo wa mgao wenye wimbo wa dharura kila siku. Lakini nawasihi angalieni huo mdahalo msikie hizo sababu wanazotoa.
Kuna taarifa kua Nape nnnayuye atatoa list ya mafisadi ndani ya chadema,..
naomba mwenye updates atupatie huko aliko,...
update:
inasemekana kumbe alicho ongelea chenyewe ni kile kile cha siku...
Imeandikwa na Samson Chacha, Tarime; Tarehe: 12th May 2011
KATIBU wa Wilaya wa Chama cha Wananchi (CUF) Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Jeremia Mgunda (37), amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.