Kama kweli unaipenda nchi yako basi utatoa maoni yako ya chanya na si hasi
sababu za ccm kufika ukoomo wa kuongoza nchi ni:-
a) mosi ccm kama chama kiweruhusu na kuwakumbatia viongozi ambao...
hapa na copy kauli ya nape kwenye wall page- face book
"WalIodai barua za watuhumiwa wa afisadi zisingetoka...... Aibu kwao sasa.... Ooh hawawezi kutoa....haya sasa"
source: Face book...
NAPE niamfananisha na mtetea ambaye anajaribu kushindana na jogoo(Dr.) kupaza sauti.Kwa mtazamo wangu mtetea hawezi kushinda hata akipanda juu ya paa la nyumba ya mfugaji wake.
Uwezo na ufahamu wa...
Barrick kuanzisha mgodi mpya Mwakitolyo Send to a friend Wednesday, 11 May 2011 20:13
Zulfa Mfinanga,
Shinyanga
KAMPUNI ya African Barrick Gold Mine, ina mpango wa kuanzisha mgodi mwingine wa...
Nasikitikia wakazi wa Ukonga hasa wanaopitia barabara inayoanzia Mombasa kuelekea moshi bar hadi kwa Mkolemba maana barabara ni mbovu sijawahi ona pamoja na kuwa serikari imekuwa ikivuna kodi...
wanamaendeleo nawasalim,
jamani 2015 sio mbli hata kidogo.hvi kuna mikakati gani ya kuhakikisha chadema tunachukua nchi.
nazungumzia kichama. achaa na mabadiliko ya katiba tunayopigania, na...
Wabunge Chadema wageuka mbogo Send to a friend Wednesday, 11 May 2011 21:27
Boniface Meena, Kwela
WABUNGE wawili wa Chadema jana walikuwa mbogo baada ya kufanya ziara katika Kijiji cha Lusaka...
Dr slaa ameibua ufisadi ktk shule za msingi akihutubia katika mkutano wake mkoani Ruvuma jana alidai kuwa michango ya madawati inachangishwa kila mwaka kwa wanafunzi je ni lini madawati...
Sijuti kugombea kiti cha urais Tanzania, Bali namshukuru Mungu kuniwezesha kufanya hivyo. Mungu ni HAKI tupu na ndani yake hakuna hata chembe ya udhalimu. Hatuwezi kudai...
Bado na jiuliza hivi huyu mwanasiasa Nape Nnauye ni mahiri kuliko wakongwe aliowakuta ccm??Hivi nikisa gani leo atakuja nacho chakumlipua Dr (Phd) W.Slaa??Dr Slaa nikashifa zipi anazo zitakazo...
Nikitambo sana tangu kuandika hapa kwenye JF, the reason behind is the forum became sold out.However, leo nimeamua kuandika kwa nini Kinondoni wamchague Mpoki Mwambulukutu.
Kwanza compare na...
Wakuu wanaJF,
Salaamz,
Najua tumeshasema sana kuhusiana na utendaji kazi mbaya wa rais wetu, lakini kwa mambo anayoendelea kufanya (pamoja na kusemwa sana) naanza kuhisi ana matatizo makubwa zaidi...
Zanzibar wameanza maandalizi ya kutoa mchango, na watafutwe wanasheria wakubwa wawatetee Wazanzibari waliowachomea maduka na nyumba zao na mabanda ya kulala Watanganyika.
Kwani hili...
na Asha Bani
MHADHIRI mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustine, Profesa Mwesiga Baregu, na wanaharakati wengine wamemjia juu Rais Jakaya Kikwete wakimtaka kujiuzulu kutokana na kushindwa...
Sita mahakamani kwa kuharibu mali
Posted on May 11, 2011 by zanzibaryetu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein serikali yake inakabiliwa na changamoto...
Hapa jamvini na hata mitaani kuna watu wameonyesha kukerwa na hatua ya Kikwete kuandaa semina elekezi hivi karibuni pale Dodoma ilihali ni juzi tuu ametoka kutembelea kila wizara kwa masuala haya...
VYAMA vya siasa nchini vimeshauriwa viwaachie uhuru wanafunzi wa vyuo vikuu wachague vyama wanavyovitaka kwa utashi wao na si kwa kulazimishwa.
Kauli hiyo ilitolewa jana na aliyekuwa mgombea...
Dk Slaa achafua hewa kwa Pinda Tuesday, 10 May 2011 21:36
Edwin Mjwahuzi, Mpanda na Boniface Meena Sumbawanga
Mwananchi
KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Willibroad Slaa amechafua hali ya hewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.