Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
KWAKUWA GAMBA LA CCM NI MAKAMBA NA MAFISADI. NA TAYARI WAMESHALIVUWA, BASI GAMBA LA WATANZANIA NI CCM YENYEWE, TUNA KILA SABABU YA KULIVUA. WATANZANI HAWATAKUWA SALAMA BILA KILIVUA KAMA LILIVYO...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Wana JF Mimi ni mmoja wa watu wanao amini kuwa CHADEMA ni chama makini hata zaidi ya chama chochote kwa sasa hapa Tanzania. Lakini kwa hili mlilolifanya la kutaja list nyingine hapa mmeingia...
2 Reactions
44 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa tovuti ya CCM hadi hii leo majina ya wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM ni haya yafuatayo:- WAJUMBE WA KAMATI KUU MPYA YA CCM KWA MUJIBU WA TOVUTI YA CCM. 1. Ndugu Kakaya Mrisho...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Anthony Kayanda 20 April 2011 Kigoma — Chama cha Mapinduzi (CCM) in Kigoma Urban District has asked the Kigoma Ujiji mayor to step down for alleged fraud. The CCM district leadership is...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Zifatazo ni sifa za wabunge (characteristics)wetu 1; Wapo kwa maslahi yao bnafsi na ya chama chao. 2; Hawana uwezo wa kujenga hoja zaid ya kupiga makofi. 3; Hawana uchungu na nchi + wananchi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Imeelezwa kuwa siasa nchini inaendeshwa katika mfumo ambao ni wakupakana matope baina ya kundi fulani la viongozi kwa lengo la kuchafua sifa za viongozi wa kundi jingine ili kulifanya lionekane...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Alawi Masare Dar Es Salaam — Zanzibar current account balance registered a deficit of $1 million (Sh1.4 billion) during the year ending February 2011 compared to a surplus of $5.4 million...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF wenzangu licha ya kejeli zinazoelekezwa kwa JF kutoka CCM hususan Makamu Mwenyekiti wake Ndg Pius Msekwa, JF kama chpmbo cha habari kimetimiza jukumu lake kilipoisadia CCM kurekebisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
How could you not distinguish between informal language, official language and national language? Unataka wawakilishi wawe wanatembea na mashine za kutafsiri lugha na dictionary? I have...
0 Reactions
135 Replies
12K Views
"SUMU YA NYOKA IKO NDANI YAKE, KUJIVUA GAMBA HAISAIDII." Anonymous
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Baada ya anguko kuu la Makamba na sekretariet yake kama ilivyokuwa ikitarajiwa na wengi hususan wapiga debe mahiri ndani ya UV-CCM wakiongozwa na RZ1, sasa kinachofuatia ni mapinduzi kamili kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tumeshuhudia kujivua magamba kusiko kwenyewe, kama wanataka lakini kama hawawezi ama hawataki. CCM wanasukumwa na ukelele wa jamii hasa wanapokumbuka matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Balaa lingine limemwangukia katibu mkuu wa chama cha CHADEMA,baada ya kutuhumiwa na chama cha mapinduzi kuwa anatumika na mafisadi,hii inaweza chukuliwa kirahisi lakini ni swala nyeti ikizingatiwa...
0 Reactions
107 Replies
9K Views
CHADEMA sasa ndicho chama ‘tawala’ Martin Kaswahili TANGU kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge, na madiwani mwezi Oktoba mwaka jana, nchi yetu imeshuhudia matukio...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimesoma makala ya Mwandishi Lula Wandali wa Raia Mwema na niegundua kuwa CCM inakakati wa kutumia majarida yanayoaminiwa sana na Wananchi kumaliza CHADEMA. Kwenye makala yake yenye kichwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wanamshangaa kwa jinsi anavyoliongoza bunge, hawajui wasifu wake. wanapandwa jazba kwa kudhani anakosea sheria, hawajasoma wasifu wake. wanaacha kufuatilia kinachoendelea ndani ya vikao vya bunge...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kila leo tunasikia serikali inaboresha mazingira ya wawekezaji wan je, japo serikali hii pia inajitahidi kwa mwendo wa kujikongoja kutimiza matakwa ya msingi (basic), jitihada ambazo haziridhishi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna wanaobeza ccm kujivua gamba na kubakia na sumu. Gamba si silaha ya nyoka bali sumu yake. Gamba ni ujana tu. Sumu ya nyoka kichama iko katika muundo wa uongozi wa chama, sera zake, uwezo wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kutoka Igunga alipokuwa jana, kamanda lema leo atakuwa jimboni kwake kwenye chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) akiwa na rafikiye wa karibu aliyekuwa mgombea ubunge Arumeru Mash. kamanda...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Serikali ya Kenya imeshusha ushuru kwenye bei ya mafuta baada ya wananchi kuanza kuandama (lita moja walikuwa wanalipa KShs19 na ushee ambayo ni sawa na kama 342) sisi tunalipa zaidi ya Tshs 540...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom