Kwa mawazo yangu imefika wakati wa viongozi wa Tanzania wa CCM na wapinzani kuanza kuwahusisha Watanzania wanaoishi nje kwenye agenda za maendeleo ya nchi. Ingawa Watanzania sio wengi kama...
Imeandikwa na Mwandishi Wetu, Arusha; Tarehe: 19th April 2011
Habari Leo
FEDHA za ubani kutokana na kifo cha aliyakuwa mfuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ismail Omari...
Ajari ya mabasi mawili ya abiria imetokea leo asubuhi katika daraja la Igombe mkoani Tabora, ajari hiyo imeyahusisha mabasi ya Muro na Sia Bus.
Mashuhuda waliopo eneo la Tukio wanasema kuwa mabasi...
Centrist(mlengo wa kati) parties are vague and ill defined.They are characterized by what they lack in terms of ideological groundings and political principles as by what they...
Mwaura Kimani
Nairobi - East African presidents watching Ugandan protesters clash with security forces last week over the skyrocketing prices of fuel must have been wary of a spillover into their...
baaa ya rais aliedumu muda mrefu kuandamwa kila pembe ya dunia baaae chama tawala kilichodumu miaka mingi?jee watz badoo tutakuwa nyuma na mabadilko hayo? kulinda mani, utulivu na umoja?njaa...
Nampa hongera nyingi Dk. Chegeni kwa kuweza kuwatumia Police vizuri hadi kuokoa maisha yake. Nampa POLE "yatima" Dk. Mwakyembe ambaye kila njama dhidi yake haifanyiwikazi na Polisi badala yake...
Hivi watu wa Tanzania mbona hamna shukurani? CCM imekutoeni mbali, kumbukeni CCM imezaliwa na TANU na ASP, kwa hiyo Bila CCM watu wa bara na visiwani msingepata uhuru.
Mazuri yote mnayoyaona...
By Makwaia wa Kuhenga
'The Western media is awash with the huge war effort to tame Colonel Gaddafi as if he were some invincible force. Those of us who witnessed his troops being mowed down are...
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya mkoani Geita ambaye pia ni Diwani wa Nzera kwa tiketi ya CCM, Joseph Musukuma, anawahamasisha wananchi kufanya maandamano na kulala barabarani kuanzia tarehe 29...
Wakuu, ningependa kufahamu kama kuna utofauti kati ya halmashauri zinazoongozwa na upinzani (specifically CHADEMA) na zile zinazoongozwa na CCM kwenye taarifa ya kamati ya Hesabu za Serikali za...
Umakini unaonekana kwa vitendo, na kazi ya mtu au kikundi chochote inaonekana kwa mafanikio na matukio. Chama cha Demokrasia na maendeleo kimekuwa mstari wa Mbele kutetea wanyonge, kufichua maovu...
Tuesday, 19 April 2011
Gazeti la Chama Cha CCM - UHURU
* Siasa chafu zamweka mtegoni
* Rage, Munde wamzodoa Tabora
Na Waandishi Wetu
VIONGOZI wa vyama siasa nchini wametakiwa kuacha...
Ni hali ambayo imemuacha kila mtu domo likiwa wazi baada ya kugundua kwamba CCM ilipandikiza wagombea wake 4 ambao katika hao wawili ndio wamefanikiwa kupitishwa na screening commette ambayo nayo...
*Kamati yaundwa kubuni utaratibu mpya wagombea urais
*Yaelezwa wa sasa umejaa rushwa, chanzo cha mgawanyiko
Na John Daniel
KATIKA mkakati wake wa kujisafisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza...
Hii sinema inaelekea episode za mwisho mwisho. Na utabiri wangu ni kuwa pamoja na harufu za damu za wenye kuhisi kumiliki chama; pia CDM itakumbwa na mtikisiko mwingine mkubwa kupiti viongozi wake...
Nimekua nikufuatilia kwa makini tangu wiki iliyo pita baada ya kile kilicho elezwa nkuwa ni kujivua gamba kwa CCM ssa ni dhahili kila mtanzania ameanza kuimba wimbo wao wa kujivua gamba iwe ni kwa...
Gazeti la NIPASHE, leo Tar 18, ukurasa wa 14 lina habari inayosema;
"Chadema yaapa kula sahani moja na Profesa Mwandosya"
Ni maelezo jinsi Mwandosya anavyokihujumu chama hicho kwa kuwarubuni...
JK ameshindwa kunusuru chama chake
Na Saed Kubenea - Imechapwa 13 April 2011
RAIS Jakaya Kikwete ameshindwa kukiokoa chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka katika tope la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.