Waliigawa na kugawana Loliondo, kisha Serengeti, Ngorongoro,....then Selous baada ya Katavi lakini kabla ya Ruaha.
Ni kwanini wagawane kwa kasi sana ktk kipindi hiki cha miaka 3.
Kwanini...
Nimekwenda na kurudi Mtwara katika wiki moja iliyopita.
Magufuli alikuwa sahihi katika kuhamasisha kuvunjwa nyumba zilizojengwa katika hifadhi ya jamii.
Namuomba Mh.Pinda aende Mkuranga ajionee...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa tamko kikitaka serikali kuitisha uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya Arusha ndani ya siku 21, vinginevyo nguvu ya umma itatumika. Tamko hilo...
Hawa CCM na UVCCM wanashangaza sana,huyu Bashe si ndo Makamba na Chilagati walimtangaza sio Raia, si ndo aliyeshinda kura za maoni jimbo la Nzega CCM wakasema si Raia, Si ndo huyu mwenyekiti wa...
WanaJF Nauliza: Hivi Kiongozi Mkuu (Mwenyekiti) wa CUF alishawahi kupata position ya kuchaguliwa (elective post) kitaifa? Alishawahi, kwa mfano, kuchaguliwa kuwa Mbunge? Sikumbuki sawasawa...
(1)GREAT MINDS DISCUSS IDEAS
(2)AVERAGE MINDS DISCUSS EVENTS
(3)SMALL MINDS DISCUSS PEOPLE
Watu wa aina zote zilizopo hapo juu wapo kwenye jamii na humu jamvini. Mimi ningependa wote tuwe...
Wanajamvi: Stori hii kutoka MwanaHalisi ya leo inatisha. Lakini nadhani ndiyo maana CCM huwa haipendi wabunge wapinzani watoke maeneo ya migodi.
Halafu chama kama Chadema kikielezea kitu hiki...
Its no secret that Libyan dictator Moammar Gadhafi is one wealthy despot, but when it comes to his African neighbors, hes also a generous one. CNN examines how the rulers generosity and...
Nina ushauri ufuatao kwa Rais Jakaya Kikwete:
1. Rais Jakaya Kikwete unaonekana kukerwa sana na baadhi ya watendaji, ambao hawajawajibika kiasi cha kutosha na kusababisha 'poor service...
Huku tukifahamu matatizo mengi yanayomwandama mtanzania leo na hali mbaya zaidi ambayo kama mambo yasipobadilika, atakuwa nayo kesho. Na huku tukifahamu kuwa ujinga - ambaye wakati mmoja tulimwita...
Na Jacqueline Massano
23rd March 2011
Msomi mmoja amekosoa hoja za Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) na kudai kuwa hoja walizozitoa kwenye kikao chao mwishoni mwa wiki zina...
kwa wale wapenzi wasoka kama waliangalia mechi ya Manchester United na ---- last week watakubaliana na mimi kwamba Rooney alionyesha kiwango cha juu sana cha uchezaji wa kiteam. Japo hii ni...
Ufisadi nchini, umepandwa, ukamwagiliwa maji, ukang'olewa magugu na ukapaliliwa na CCM. Ni vigumu sana kutofautisha ufisadi na CCM hivi sasa kwa sababu key players wengi wa ufisadi ni watu...
Tangu serikali ya awamu ya nne iingie madarakani, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi kuhusu utendaji wa JK kama kiongozi mkuu na serikali yak. Lakini kila ninapomtizama kiongozi...
Atamka serikali 3 ndio suluhiso.
Katiba ya tanganyika ndio itakidhi maslahi ya watanganyika.
Na zanzibar watapata maslahi yao.
Serikali ya muungano itaikisoa hizi mbili katika uwajibikaji wake...
Speeding is said to have caused the accident in which 13 members of the Five Stars Modern Taarab Group were killed and nine others injured in Mikumi area, Morogoro Region on Monday night...
Novemba 7, 1988, Jakaya Mrisho Kikwete alipewa Ubunge wa kuteuliwa na Rais Ali Hassan Mwinyi na kufanywa Naibu Waziri wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini, nafasi aliyoishika hadi mwaka 1990...
Leo katika Kipindi cha Tuongee Asubuhi cha Star TV nimemuona Bw. Eric Shingongo akitangaza Tamasha la Wasanii Lenye Kuitwa "TAMASHA LA UZALENGO TANZANIA KWANZA" Katika maelezo yake lengo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.