...Uongozi ni uoni wenye muelekeo wa utendaji wenye saada na si kuona kibubusa! Kiongozi ni yule anayeona shida, taabu na dhiki za watu wake kisha akatumia falsafa ya tatizo-tatuzi-tatuo na kupata...
Nilisikiliza hotuba ya Kikwete jana katika TV katika utaratibu wake wa kuhutubia wananchi kila mwisho wa mwezi. Kwa maoni yangu kwa muda wote wa hotuba yangu sikuona jambo jipya alilozungumza na...
Katika kupitia habari katika magazeti yenye hotuba ya Kikwete,amesema sasa hivi watu wengi wana hofu juu ya usalama wa nchi yao ambayo ni ngeni Tanzania,yakuwa CDM wana dhamira ya kuvunja amani
Je...
Mi nimeamua kutoa hii rai kwani utafaikiri tumesahau ahadi motomoto ambazo Mkwere alizitoa alipokuwa akiomba kurudi ikulu..aliahidi
¤Vivuko karibu kila mkoa ambao ulikuwa una uo uhitaji wa aina...
Habari za uhakika na kuaminika -tanesco imejilipa bilion 6 kama bonus, swali la msingi ni kwa mafanikio yapi? Tanesco inastahili kujilipa bonus ya bilion 6? Imeruhusu makamba jr na ngeleja...
Siku za nyuma niliwahi kuweka makala hapa niliyokuwa najadili kuwa "Failures will always find an excuse for their misfortunes" na nikamhusisha Rais wetu katika kundi hili, niliongeza pia kuwa...
I feel bad in Tanzania kila kukicha kero kila idara. Huduma za serikali ni mbaya ile mbaya at least NGO, Mambo hayaendi kabisa migomo ili hali wao wamesoma bure. Serikali haina kabisa mbinu za...
Huyu Brigedia Kakimbia Oman Sababu ya Machafuko ya kutaka Usawa?
Soma habari Chini....
Middle East Oman shuffles cabinet amid protests Sultan reshuffles cabinet and boosts student allowances as...
jana majira ya saa nne kuelekea saa tano,kituo cha habari cha chanel ten kilikuwa na kipindi ambacho kilinisikitisha sana....
Shekhe mmoja alikuwa akizungumzia kuhusu "nguvu ya umma" cha...
Nimekuwa nikijiuliza siku nyingi watu tunaposema ukoloni tunamaanisha nini? Je ni watu wanaotawala au ni mfumo wa utawala?
Kama ukoloni una maana ya watawala waliopo madarakani bila kujali mfumo...
Hali ya Usalama Nchini
Ndugu Wananchi;
Hivi karibuni wananchi wengi wameingiwa na hofu kubwa kuhusu usalama wa nchi yetu. Ni mara ya kwanza Watanzania wamekuwa hivyo. Hofu hiyo...
Heshima zenu,
Mimi nipo huku kwa mjaluo(Obama),ni mbeba maboksi mashuhuri.Swali langu kwa wanajamii ni hili,"kwa nini tulivunja mkataba na Dowans?je,walileta mashine?ziliwaka?mliwalipa hela...
Hivi ni kiongozi wa familia gani? Sasa hivi yupo ziarani Ivory Coast na kuonana na madikteta wenzake? Ametatua mgogoro Ivory Coast? au Bado anatembelea historic sites Abidjan? Akirudi tumwone...
Tarehe 15 Februari, 2011, Baraza la Mawaziri lilijadili na kuidhinisha mpango wa dharura wa TANESCO wa kukodi mitambo ya kuzalisha MW 260 za umeme. Baraza limeitaka Bodi na Menejimenti ya TANESCO...
Wakati Waziri Mkuu wa Uingereza wakati akifanya kampeni za uchaguzi wa Uingereza uliopita (mwaka jana) na hata siku ya matokeo ya awali ya ubunge yalipotoka, alisema (na alikuwa akisema kwa...
Nampongeza Mh. L.Nyalandu katika kueleza (kupitia television kipindi cha dakika 45 cha kijana Selemani) mambo mengi ya makusudi na mikakati ya kuelekea Mapinduzi ya Viwanda. Aidha nampa big up pia...
katika kuhakikisha ku kuna kila sababu ya kutaka mabadiliko tayari yule walie dai si raia wa TANZANIA HUSSEIN bashe amemtak katibu wake mkuu kuitisha kikako cha kamati kuu ili kujadili mwenendo wa...
Baada ya kusoma majibu ya MH Lema. Ninamuomba Waziri mkuu ailinde heshima yake na heshima ya Bungre kwa kuomba msamaha juu ya kusema uongo.
Katika mambo yote 10 sioni ni namna gani hata mtoto wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.