J K Wacha utani nisiifuate CMD Kwa lipi nalopata kwako waambie kina EL, RA, Wavuta Unga unaowalinda hotuba yako ya leo kichefuchefu tupu sijui kwa nini nimeiskiliza kha!! eleza ukweri nchi...
NIONAVYO MIMI KAMA MTANZANIA HOTUBA YA KIKWETE NAWEZA KUISSUMARIZE KAMA IFUATAVYO;
1) KUJIHAMI KWA YALE YALIYOTOKEA KWA MAPRESIDENT WENZAKE WA TUNISIA,EGYPT NA LIBYA YASIZUKE BONGO
2)KUJENGA...
Waungwana jamvini mu hali gani?
Hapa nilipo kibamba dar es salaam,umeme umekatika tangu asubuhi.
Nikakumbuka namna kampuni ya kisanii dowans ilivyolipwa mara mbili gharama ya kusafirisha mitambo...
Daima mtu aliyechoka na maisha ata umwambie nini hata kusikiliza kamwe kwani yupo tayari kufa baada ya kujichokea na kukata tamaa na maisha.
JK anatakiwa alitambue hilo na sio kujifananisha na...
mwenye taarifa niambieni mbeya tutaandamana lini? halafu kama wenzangu tunakitaka kitengo cha information chadema kiwe kinatoa taarifa mapema. kinatakiwa kiwajulishe wanahabari ratiba mapema watu...
Wana JF Sisi walimu tunapata shida sana mpaka leo mshahara hakuna. Kweli Serikali ya Tz ipo kweli mbona Wabunge mishahara yao na posho zao ni hapo hapo kweli tutafika. Kwa nini Walimu tusitoroke...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu watano wapya na kuwahamisha wengine wanne kutoka wizara moja kwenda nyingine. Uteuzi na...
MBUNGE wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Mr.II (CHADEMA) amewataka Watanzania kuwahukumu wasanii wa miziki hapa nchini ambao wamekuwa wakikipigia debe Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa...
Taarifa ya Bashe Ktk Ukuta wake ktk Facebook
OMBI KWA KATIBU MKUU UVCCM
by Hussein Bashe Bashe on Monday, 28 February 2011 at 07:58
OMBI KWA KATIBU MKUU UVCCM
Ndg yangu Shigela Umewadia...
Wanajamvi na greath thinkers wote
Kipimo cha umasikini wa mtanzania ni nini?
Kipimo cha utajiri wa mtanzania nini ?
Je kuna Uhusiano wa maendeleo ya kuchumi na utajiri au umaskini wa...
Ndugu wanaJF
Naomba tuchekeche hili pengine mimi ndio sijui sheria za TZ(source:mwananchi)
Sunday, 27 February 2011 20:49 0diggsdigg
Hussein Issa
BAADA ya askari wa Jeshi la Wananchi wa...
Mwanzo spika wa bunge letu Tanzania alisema majibu ama maelezo ya mheshimiwa mbunge wa Arusha Godbless Lema hatayatoa hadharani kwa sababu anatakiwa ayalete kwa maandishi ko zitakaa kamati zao...
CHADEMA WAVAA MAGWANDA DARASANI.
Wanachama sugu na viongozi wa chadema tawi la Chuo kikuu cha Mt.Augustine(SAUT) Mwanza leo wametinga madarasani kuhudhuria mihadhara(lectures) wakiwa...
• Mama Maria aongoza sala
na Sitta Tumma na Janeth Josiah, Musoma
FAMILIA ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, imekitabiria Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
INASHANGAZA, tumepewa shilingi milioni 90 za magari kwa wabunge wote, huku bungeni tunajadili Bajaj kuwa ambulance (gari ya kubebea wagonjwa). Ni kauli ya Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya...
Hakuna sehemu nchini humu ambapo wananchi wanafurahia maisha. Leo hii mtu angeangalia channel 10 hadi mda huu zinaoneshwa picha za walioumia kutokana na maji yalichafuliwa na Mgodi wa Mara...
Inashangaa kuona sasa ze orijinal komedi ndio wanaoifagilia serikali. Tembelea hii Youtube video wakati huo ambapo walikua hawako kwenye himaya ya CCM
YouTube - Ze Comedy Ajali Za Tanzania...
Tumepoteza mali, makazi, wapendwa wetu na wengine tumekuwa na vilema vya maisha. Jana umekuja na mizaha yako badala ya kutafuta suluhisho unauza meno yako. Hizi ni picha zitakazo dumu kwenye kumbu...
Kwa muda sasa watanzania wamekuwa wakimungunya mungunya maneno kuwa wanakandamizwa eti hali yao mbaya, ukienda mtaani vijiweni utakuta wanaongelea dowans, kupanda kwa maisha, IPTL , EPA, kagoda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.