Wadau kuna habari nimeipata jana kutoka kwenye mkutano wa CDM wilayani bunda kuwa aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la bunda kupitia CDM Ndg Elias Kajeli Maarugu amefukuzwa na wafuasi wenye hasira...
katika Gazeti la Tanzania Daima tarehe 28 February 2011kuna taarifa kuwa viongozi wa serikali ngazi ya wilaya na mkoa wamesusia halfa iliyoandaliwa na Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CDM kwa...
Hali ya kisiasa katika halmashauri ya manispaa ya Arusha inazidi kuwa tete,baada ya madiwani wa chadema kuendelea na msimamo wao wa kutomtambua meya
itakumbukwa tarehe 10 madiwani walisusia kikao...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akitoa salamu za chama hicho kwa Familia ya Mwalimu Nyerere, wakati vongozi mbali mbali na wabunge wa chama hicho, walipomtembela Mama...
Wakuu.
Leo tulitembelea Kaburi la Hayati Baba wa taifa na kufanikiwa kukutana na Mama Maria pamoja na watoto wake wawili,Magige na Makongoro. Walitupokea vizuri sana.Pamoja na mambo yote...
Slaa, Mbowe wamkaanga JK
Wamshangaa kwenda nje wakati wa matatizo
na Mwandishi wetu
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa chama...
Mabomu yamelipuka katika maeneo ya kizumbi lakini hayakusababisha maafa.Mabomu hayo yaleta hofu kwa wakazi wa mjini Shinyanga. Source:kidau.blogspot.com
Hivi vinaumiza vichwa kwamba hawa watoto wa mafisadi wanataka kututawala. Ni hatari sana kuona wanatumia "the same play book za Baba Zao Kuingia Kwenye Politics na Utajiri-Ufisadism"...
Ijumaa nilisikitishwa na taarifa ya Radio One kuwa serikali imezionya halmashauri za wilaya ambazo hazitajumuisha ununuzi wa matrekta kwenye bajeti zake za 2011/2012 kuwa bajeti zake...
Nimesikia clouds wanadai gazeti dira ya mtanzania toleo la leo limezuiliwa!, hawasemi kisa ni nini ila wanasisitiza nchi ina wenyewe hii! Kuna mwenye habari kamili atusaidie?
Ndugu zangu wa TZ tukiwa bado tunasubiri ndoto za mchana za JK kutimia hebu tukumbushane ndoto hizo na sehemu alikoziotea
Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa -...
Nimetoka kwa mzee wangu kumsalimia maeneo ya Tandika na ni mwaccm damu. Nikamuuliza vipi mwendo wa nchi kwa sasa. Akasema Duh huyu kijana naona nchi ishamshinda tayari hali ni mbaya ya kimaisha...
nimekuwa nikiona post nyingi za watu kipindi hichi wakipost chini utakuta namuunga mkono freeman aikael mbowe agombee urais 2015 hivi kweli chadema yeye ndio chaguo sahihi? Tuangalie tusije kizika...
WanaJF,
Mnakumbuka ile kauli maarufu ya jk kwamba hafahamu kwa nini nchi yake ni maskini?!? Kwa mawazo yangu watanzania tungekuwa makini angalau kidogo, kauli hii ingem-disqualify kikwete...
Mgomo ndio umeanza madai ni mengi sana lakini chanzo kikuu ilikuwa ni baada ya wanafunzi wengi kucheleweshewa na wengine kunyimwa kabisa ID mtihani uaonza leo kwa sababu tu hawajafikisha 70% ya...
Wajameni tuwe wakweli,
Hivi kuna rais gani wa Afrika ukiondoa wale wa kiaarabu ambaye hana raha na kiti chake kama kikwete?? Mimi nahisi kama hana raha manake duu alivyopauka usoni, inatia hata...
Achezea kusi kwa tanga bovu
Mseto waelekea kumsonga
Na: Malik Nabwa
Msanii maarufu, machachari, na mwenye vituko vya wali maji nchini Uingereza Sir. Elton John aliwahi kuimba wimbo siku ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.