Wakuu Salaam!!!
Yale maandamano ya Kanda ya Ziwa leo yanahamia Mkoa wa Mara baada ya jana kuingia Geita, Sengerema, Misungwi, Kwimba na Ukerewe. Maandamano yatakuwa Musoma kuanzia Viwanja vya...
Quote "Ni vyema kabla ya kuanza kushabikia au kufurahia huruma hii ya Dowans tukajiuliza ni kwa nini imekuja hivi sasa? Kwanini baadhi ya viongozi hasa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na...
Ndugu wanaJF, ningependa kutoa maoni yangu kuhusu katiba iliyopo. Tunajua ya kuwa baadhi yetu sisi watanzania wengi katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania hatuijui pamoja na kwamba kuna...
Hii ni interview iliyofanyika kipindi cha uchaguzi miezi 2 iliyopita,nilikuwa nasoma ile thread ya Lyatonga kuvuliwa kofia,sasa na huyu nae ni wa kumvalia kufia kofia kabisaaaa,nimefanikiwa...
kumekuwa na ongezeko la watu wanaona suport maandamano inchini. Binafisi sijui kama maandanamo wanayofikiri yakoje. Cjui wanamanisha maandamano kama ya libya? Nijuovyo maandamano ni mapinduzi ya...
Jana nilikuwa ktk kiji-function fulani ya ambapo tulikutana watu mbalimbali(wanasiasa na watendaji serikalini). Kama mnavyojua sifa moja ya maongezi yasiyo rasmi(informal) ni kuwa huwa hakuna mada...
Katika kile ambacho viongozi wa CHADEMA wanahaha kukitafuta hata kwa gharama ya kuhatarisha maisha ya wananchi (mfano mauaji ya arusha) na maandamano mbali mbali ya visingizo kibao (mfano...
Historia inayo mifano mingi inayothihirisha kwamba mtawala nayehuma na kupuliza hudumaza jitihada za kujikomboa;hivyo ndivyo ilivyokuwa wakati wa bunge lililopita. Bunge hilo chini ya uongozi wa...
Nipo hapa stand ya mabasi ngudu-kwimba,kuna mkutano wa chadema,unaöngozwa na Wenje,letisia nyerere,na mtoto wa mashishanga yule mkuu wa mkoa wa zaman wa mwanza,watu wanaipenda chadema hadi noma
HII si mara yangu ya kwanza kuyakariri na kuyarudia maneno ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, anayoyatumia mara kadhaa kuhoji umaskini wa Watanzania umetokana na nini huku tukiwa na rasilimali tele...
They backed an arms embargo and asset freeze while referring Col Gaddafi to the International Criminal Court for alleged crimes against humanity.
Source:BBC News - Libya: UN Security Council...
MAAFA YA GONGO LA MBOTO: WAZIRI WA ULINZI NA MKUU WA MAJESHI WAJIBIKE!
TAARIFA KWA UMMA
DODOMA, FEBRUARI 17, 2011
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inayoongozwa na Chama cha Demokrasia na...
Mfumko wa bei za bidhaa-Hatari!!!
Habari wanajamii
Nimeona nishee dukuduku langu pamoja nanyi wanajamii, ingawa ninafahamu kuwa si wote wanaoathirika na hali hii kutokana na utofauti wa vipato...
Nawasifu sana CDM kwa kutoa elimu ya uraiya kupitia maandamano ya kanda ya ziwa.Ila kikubwa ninachowashauri wasisahau kugawa kadi za uanachama wa chadema.Huu ni wakati wa kupata wanachama wengi...
Kutoka Tanzania Daima
KWA takriban miaka mitatu sasa sinema ya mitambo ya kampuni ya kuzalisha umeme wa dharuFra ya Dowans imezidi kushika kasi kwenye macho,vichwa na masikio ya kila mwenye kiu...
Ni kuhusu sakata la ujenzi wa barabara haribifu inayopita serengeti.
Kwamba inajengwa kusaidia raia wa maeneo hayo na si kwa sababu ya vitegauchumi vya mahoteli ya kifisadi yanayojengwa huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.