Govt: No Dowans-Tanesco deal
2008-10-18
By Rose Mwalongo
The Government and the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) have categorically refuted claims of a move to buy power generators...
VIONGOZI wa juu na wabunge wa Chadema jana walitawanyika katika wilaya mbalimbali za mkoa wa Mwanza na kufanya mikutano ya hadhara kuendelea kupinga kupanda kwa gharama za maisha, malipo kwa...
Ndugu wana Jf
Leo ntachambua kidogo kuhusu utalii hapa kwetu Tanzania,ni ukweli kuwa utalii ni moja ya vyanzo nyeti vya mapato hapa nchini,lakini pia umechangia kukuza ajira kwa watanzania...
Nani alaumiwe kwa matokeo mabovu mwaka huu? Hapa nina hoja kuu tatu. 1. Serikali kuingiza siasa kwenye elimu,mfano, sera nikuwa watoto wote wanao maliza darasa la saba pia wamalize kidato cha nne...
Ice Cream zitokanazo na maziwa ya Mama zauzwa 25/02/2011
Mgahawa mmoja mjini London nchini Uingereza kwa jina, Convent Garden, umeanza kuuza 'ice cream' zilizotengenezwa kwa maziwa ya...
Nimesoma post moja yenye heading KIKWETE ALIVYOONDOKA MONDULI CHUO CHA JESHI KWA MSUKOSUKO. Kama yaliyoandikwa ni kweli, basi post hiyo nimeipenda sana na ninashauri kila mtu aisome.
Mara kwa...
Katika mkutano huo Kiwia(Chadema-Ilemela) alifuatana na wabunge wa viti maalum wa Chadema Raya Ibrahim (Pemba) na Chiku Abwao (Iringa).
Hongera Chadema polepole vunja ngome ambayo CCM...
Mahakama: Rostam anakamatika
Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 16 February 2011
SIRI kuhusu ushiriki wa Rostam Aziz, mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mbunge wa...
Mawaziri na Manaibu Mawaziri Vivuli
OFISI/WIZARA
WAZIRI KIVULI
NAIBU WAZIRI KIVULI
Ofisi ya Waziri MkuuWaziri Mkuu na TAMISEMI
Freeman Aikaeli Mbowe
Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Silinde David...
Demokrasia ni nini hasa katika nchi za kiafrika! Toka huu mwaka uanze tumeshuhudia viongozi wakiondolewa madarakani ,mapinduzi hayo yalianzia Tunisia yakaelekea Misri na sasa Libya. Tukirudi nyuma...
KESI ya pili ya kupokea rushwa kwenye mchakato wa kura ya maoni ndani ya CCM iliyokuwa ikimkabili Frederick Mwakalebela (41), imeondolewa mahakamani na mshtakiwa kuachiwa huru.
Kuondolewa kwa...
Friday, 25 February 2011 21:22
Tumaini Msowoya, Iringa
KESI ya pili ya kupokea rushwa kwenye mchakato wa kura ya maoni ndani ya CCM iliyokuwa ikimkabili Frederick Mwakalebela (41), imeondolewa...
VIONGOZI wa juu na wabunge wa Chadema jana walitawanyika katika wilaya mbalimbali za mkoa wa Mwanza na kufanya mikutano ya hadhara kuendelea kupinga kupanda kwa gharama za maisha, malipo kwa...
Jamani nilikuwa najua watu wanaompinga kikwete na utawala wake ni wasomi wengi wao kumbe hata watu wa kawaida wanaona hali ya hewa ilivyo na wamesoma alama za nyakati. Nilikwenda kumchukua wife...
WAFANYABIASHARA wa nchi sita wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki, sasa wako huru kuvuka mipaka na kuuza bidhaa zao bila kulipa ushuru wa forodha katika eneo hilo linalokadiriwa kuwa na zaidi...
BAADHI ya washtakiwa katika kesi ya uvuvi haramu katika Bahari Kuu ya Tanzania, jana walimwaga machozi mahakamani wakililia dhamana.Hatua hiyo ilikuja baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya...
Nimekuwa nikimuangalia jk kwenye mikutano ya kimataifa anaonekana kama mtu ambaye haelewi yanayozungumzwa kiasi kwamba lazima akae na mtu karibu ili kudesa(kuigilizia au kutafsiliwa). Mfano ni...
Ndugu Wana JF,
Napenda kutoa mwanga na historia ya waziri wa Nishati na madini Bwana William Ngeleja na mtandao wa kifisadi wa Rostam Aziz na Pius Mswekwa. Bwana Ngeleja aliwekwa na mafisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.