Katika Tanzania chama pekee cha siasa ambacho kina uwakilishi wa kuchaguliwa na wananchi sehemu zote za Muungano ni CUF. Pamoja na kuwa na wabunge wachache tofauti na CCM au CDM, CUF ni chama...
Kikao cha bunge cha mwezi Februari 2011 kimedhihirishia Watanzania kwamba spika Anna Makinda na wabunge wake wa sisiemu wana dhamira ya kukandamiza kwa lengo la kuua nguvu bungeni ya upinzani wa...
Ndg zangu wanaJF,
Kwa nini Chadema na Dr. Slaa (PhD) wao wanaonekana kuwa ni wadini lakini Mch. Mtikila ambaye jina lake halitajwi bila cheo cha Mch. lakini sijawahi kusikia Mzee Mtikila...
Asubuhi nilisikiliza sehemu ya kipindi cha baragumu cha channel 10. Alikuwepo kaimu mkuu wa mkoa wa Dar, bw, Said Mecky Sadiq na waandishi wa habari wawili, pamoja na mwandishi aliyekuwa...
na Mwandishi wetu
YAMEZUKA mapigano kati ya Waislam na Wakristo katika mji mdogo wa Mto wa Mbu wilayani Monduli, mkoani Arusha, na kusababisha wachungaji wawili kujeruhiwa vibaya na...
Ndugu wana JF.
Najua mengi yamejadilliwa juu ya milipuko ya mabomu Gongolamboto. Jambo moja linanipa shida ni pale Rais J. M. Kikwete katika kauli yake kuonesha masikitiko makubwa sana kwa kile...
Hello guys,
Attached is a picture scanned from Daily News paper shows fake notes collected from one of the biggest and reputable bank in Tanzania.
It has been noted that fake notes has landed...
Nawaomba wana ccm wote wenye roho ngumu kama ya paka ni wakati muafaka sasa wahamasishe wanachama na wapenzi wao kwa lengo la kuipinga CDM TENA ASP.
Na mabango yaseme hivi;
1 Maisha MAZURI KWA...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitatizwa sana na vyombo vya habari kumwita sheikh Yahaya kuwa mtabiri maarufu wa Afrika Mashariki na kati. Utabiri wake mwingi naona unatokana na hali halisi ya maisha...
Wana JF, nimetafakari juu ya matukio mbali mbali yanayolikumba taifa letu baada ya uchaguzi wa 2010 ambayo yana athari kubwa kiuchumi na kijamii, mfano mabomu GLM, mgao wa umeme, DOWANS, kupanda...
Ukiangalia media zetu zinamfanya kila mtu eti kama vile mjinga...walichukuzana wakaenda kumwona Al Adawi, Al Adawi akasema msinipige picha! nao wakakubali! wakamsikiliza hawakumpiga picha!
Siku...
Wakuu, kila siku huwa napishana na makinda asubuhi akienda ofisini Dar. Huwa anakuwa kwenye Benz au sahangingi bila msafara wa polisi.
Leo jioni nimepishana na msafara wa pikipiki ya polisi na...
Ngd. wana JF, nimekuwa nikisikia kuwa malipo ya LUKU yanabadirika badirika kila mara. Nimefanya ufatiliaji na kugundua ni kweli. Kuna siku unaweza kupewa units nyingi na wakati mwingine ukapewa...
Hivi nikweli kwamba utawala bora na wa haki unapatikana Tanzania? Hivi ni kweli waliopewa zamana ya kuhakikisha utawala wa sheria na haki unafuatwa wanatekeleza majukumu yao?
Nakumbuka siku...
Shivji: Nchi inaporwa na walanguzi wanaojiita wawekezaji wa kigeni Send to a friend Thursday, 24 February 2011 21:23 0diggsdigg
Elias Msuya
PROFESA wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere wa Chuo Kikuu...
Ni vigumu kuangalia picha na kujua nini mkakati wa maandamano ya Chadema. Wanaoandama hawajui lengo kuu la kuandamana kwao, kwa sababu hakuna kauli mbiu. Wakifika uwanjani kuna msururu wa hotuba...
Bush alipoulizwa mwaka 2001 kwamba "Je Saddam Hussein anahusika vipi na 9/11?" Alijibu "Tunakwenda Iraq kwa sababu ni mafuta ya Iraq ndiyo yatakayolipa gharama za vita vya Afghanistan."
Bush...
UDHAIFU WA MUUNGANO HAUJALETWA NA MABADILIKO YA 10 YA KATIBA YA ZANZIBAR
Makala hii imeandikwa na Wakili Maarufu hapa Zanzibar Bwana Awadh Ali SaidMakala iliyoandikwa na Mhe. Tundu Lissu, yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.