NIMESOMA KATUNI YA KWENYE MAJIRA LA LEO IMENIFURAHISHA SANA,ETI ALI ADAWI ANAITWA ALLY HADAIWI NA AMEWAFUNGA WAANDISHI WETU MACHO NA WANASEMA HATA UNGESEMA TUYAACHE PALE GETINI TUKO TAYARI MKUU...
While the protests convulsing Bahrain and Libya this past week occurred in vastly different contexts - and will likely produce very different results - both were met with conspicuously swift...
Wakuu,
Nimekutana na Toyota Coaster imebeba wabunge wa kamati ya Nishati na madini akiwemo January hapa maeneo ya upanga wakiwa wanaelekea Morogoro road. Inasemekana wapo katika jitihada za...
ATCL kwaendelea kufuka moshi Send to a friend Wednesday, 23 February 2011 19:46 0diggsdigg
Gedius Rwiza
WAFANYAKAZI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), wametishia kugoma wakishinikiza uongozi...
Kada wa CCM Violet Mzindakaya asema ''NINGEKUWA MIMI NINGEJIUZULU'' kwenye ukuta wake wa facebook
MH mwinyi kujiuzulu kwako si kwamba ndo kutakushusha hadhi ila kutakujengea imani zaidi siku za...
Mkuu wetu ALI-HADAIWI
Masharti yako ni magumu sana .JAMIIFORUMS hawako tayari kwa masharti yako...
Wahukumiwe kwa hizo bahasha za kaki...
wahukumiwe kwa njaa zao
Tutarusha mahojiano na Brig. Gen Al Adawi kuanzia saa sita mchana EST sawa na saa moja za jioni East African time leo hii. Katika sehemu hii ya kwanza Generali wetu anasema kimsingi haijui...
Haina ubishi kuwa kundi la kigaidi la al-qaeda bado lipo na huenda
labda linazidi kujihimalisha siku hadi siku. Lakini je, bossi wao
Osama bin Ladeni kwa sasa yuko wapi? mbona yu kimya sana...
Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda akiwa na huzuni wakati Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick anamsomea taarifa kuhusu milipuko ya mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi...
mi nina shangaa sana niliposikia eti mheshimiwa na kamati yake wanataka kuziadhibu hospitali binafsi kwa kushindwa toa msaada wakati wa mabomu kule G'mboto,inakuaje serikali inataka hisani kwa...
The 83-year-old academic who inspired the Egyptians
Gene Sharps how-to guide on non-violent revolution helped boot out Mubarak
By David Cairns
LAST UPDATED 11:58 AM, FEBRUARY 20, 2011...
Wakuu,
Kuna taarifa kuwa mtambo mwingine wa kuzalisha umeme wa kampuni ya Songas wenye uwezo wa kufua umeme kiasi cha 20MW upo down tangu asubuhi hii. Sababu za kuzimwa mtambo huo bado...
Ndugu wana jamii
Katika pita pita zangu kushangaa ulimwengu, nimekutana na ujumbe mahsusi katika wall ya Dr Hamis Kigwangala (mb) Nzega. (kwenye facebook)
Ukisomeka hivi::
Kuhamasisha na au hata...
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya...
Wapendwa nawaandikia ili msidanganyike. Sulaiman Mohammed Yahya Al Adawi hajawahi kuwa na si mmiliki wa Dowans. Ujio wake ni simema iliyopangwa kwa ustadi mkubwa ili kutuhadaa na hatimaye tuingie...
Kuna haya maneno yenye nguvu "Let My People Go" Tumeteseka vya Kutosha na sasa maombi yamefika. Ujumbe ndio huu Kikwete "Hatukuwachagua" Tunataka kujenga Taifa letu na umekuwa kipingamizi mkubwa...
Hii ndio statement imetolewa na UN Kuhusu "Haki ya Kupinga Utawala"
The members of the Security Council expressed grave concern at the situation in Libya. They condemned the violence and use of...
Kuna kitu kinaharibu Taifa hili. Tumeona ujamaa, wizi, ufisadi, utawala wa nguvu, EPA, Richmond na sasa tupo hatua ya Dowans. Dharau gani na utumwa gani tunataka ili tuonekane tunamchukia Kikwete...
Mheshimiwa waziri Mkuu swali la nyongeza:
uliweza kuchukua Mchuchuma kwa huyu Jamaa hapa mpaka sakata likatulizwa?
Naimekuwaje umeshindwa kwa hawa hapa chini kuwanyang'a Dowans yetu, maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.