Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Baghdad (CNN) -- Two people were killed after clashes erupted between demonstrators and security forces in at least two Iraqi cities Friday, police said. A teenage boy was killed and eight people...
0 Reactions
1 Replies
910 Views
Wamchangia Mpendazoe kuendesha kesi yake Send to a friend Thursday, 24 February 2011 21:22 0diggsdigg James Magai ALIYEKUWA mgombea ubunge katika Jimbo la Segerea kwa tiketi ya Chadema, Fredy...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
NDIO COMRADE Muammar Gaddafi ANA MAKOSA sana KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE LAKINI TUANGALIE NA HUU UCHOCHEZI WA MATAIFA YA MAGHARIBI, TUNAUNGALIA KWA KINA AU NDO USHABIKI TU. KWA KWELI POLITICALLY I...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kupata majibu tafadhali, maana siku za hivi karibuni nimekuwa nikishuhudia msafara wa mwenye-kaya ukiwa na ambulance kila aendapo. Watu tunajiuliza sana kwani Huu utamaduni mpya..mmmh..!
0 Reactions
21 Replies
6K Views
ndugu wana JF katika tovuti ya waziri mkuu ipo link hii: The United Republic Of Tanzania -Prime Minister's Office |News |Muswada wa Katiba mpya kutua Bungeni Aprili. katika link hii Serikali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KAMATI ya Nishati na Madini imedai kupitiwa mikataba yote iliyoingiwa na serikali na kampuni zinazozalisha nishati ya gesi baada ya kubaini kuwapo kwa mapungufu makubwa kwenye mkataba mmoja ambao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Aliwahi kukaririwa na vyombo vya habari hapa Tanzania(Tanzania daima) akisema kuwa Dowans inamilikiwa na JK. Leo hii akiwa Mwanza ktk mkutano wa hadhara baada ya maandamano amesikika akimtaja Al...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Ndugu Zangu, Niliwaahidi kuwaletea tafsiri yangu ya kilichotokea Gongo La Mboto. Nilishindwa juzi ile kwa vile nilikuwa na tui jikoni. Jamani, tui halijakatika, linachemka kweli na chumvi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ama kweli hatuna serikali,tumeona jinsi nchi mbalimbali zinavyohangaika kuwatoa raia wake Libya,kenya wametuma hadi ndege!Tanzania ni kimya!ina maana hakuna wtz huko??au mtz hana thamani hata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
YouTube - habari za kitaifa toka ITV(24-02-2011)
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunaomba mwenye taarifa nini kinaendelea libya tupashane. Nasikia anaua kwa kwenda mbele, ni kweli
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waungwana mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe. Nimefuatilia maandamano ya leo kwa umakini mkubwa lakini hasa nikijaribu kudadisi nafasi ya jeshi la polisi katika kusababisha au kuzuia...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kutakuwa na kongamano kubwa la kujadili mustakabali wa siasa za nchi hii toka harakati za kudai uhuru hadi leo. Kongamano litakuwa live kupitia radio IMAAN Kuanzia saa tatu asubuhi. Sikiliza upate...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo,baada ya kuulizwa na Mh. Mbowe juu ya mgogoro wa Jimbo la Arusha.Pinda alianza kwa kuelezea ni jinsi gani Mh.Godbless Lema kuwa chanzo cha...
0 Reactions
68 Replies
6K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamepanga kuandamana tarehe 24 Februari, 2011. Maandamano hayo yanayotarajiwa kua ufuasi mkubwa sikuhiyo kutokana na chama hicho kuwa na wafuasi na...
0 Reactions
507 Replies
38K Views
kuna bomu limelipuka katika kiwanda cha kuyeyusha chuma chakavu (scrapers) Iron steel kilichopo jirani kabisa na MMI STEEL,.INAASEMAKANA WATU ZAIDI YA WATATU WAMEFARIKI..↲ MLIPUKO HUO...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Uhasama dhidi ya raia wa kigeni waibuka nchini Libya, kuna ripoti za wahamiaji wa kiafrika kushambuliwa Source : BBC swahili 24.02.2011
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nikijaribu kuwaza naona kama wana jamii ni wengi sana lakini pia hatutofautiani sana kimawazo na kimsimamo. Hivi mnaonaje kama siku moja tuandae mkutano wa wanajamii, lengo la mkutano liwe...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jana jioni (kwenye saa 11 hivi) nilikuwa nikisikiliza Radio One. Nilimsikia Mh. Jery Slaa akipinga kwa nguvu zote amri ya Dr. Magufuli ya kuondoa mabango kwenye hifadhi za bara bara. Sababu kuu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
JINAMIZI la taasisi za serikali kushtakiwa nje ya nchi na kudaiwa mabilioni ya shilingi, limehamia Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), ambalo limeburuzwa kortini na Kampuni ya Celtic Capital...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom