Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Marais wa Tanzania wamekuwa na kawaida ya kuhubiri mapinduzi kulindwa kwa hali yoyote ile ,kauli kama hiyo ndiyo aliyonayo Gadaffi kwa raia wake na ulimwengu kwa ujumla kama ilivyo Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumeibuka wimbi la viongozi wa serikalini kulia na kuonyesha machungu ya wananchi kana kwamba hawajui matatizo yetu, wanalia bila ya aibu au ninaweza kusema wanaigiza bila ya aibu na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Opposition groups in Cameroon are planning "Egypt-like" protests Wednesday to call for the president's ouster after almost three decades in power. President Paul Biya is running for re-election...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema aliingia matatani baada ya kuomba muongozo kwa spika akitaka aelezwa ni hatua zipi zinaweza kuchukuliwa endapo itabainika waziri mkuu analidaganya bunge na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakati wa kuomba kura nilikuja kwenu katika ukumbi huu kuwaomba mniunge mkono, kati ya ahadi nilizotoa wakati huo ni kuchukua maoni yenu na kuyawasilisha bungeni. Naomba kwa leo niwape mrejesho...
0 Reactions
74 Replies
7K Views
Hivi ni vijisent tu vilivyobakia nyumbani kwa alokuwa Rais wa Tunisia,sijuwi ma-bank ya njee ana ngapi? na sijuwi Kikwete na Amani nawao vipi? YouTube - ‫
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msemaj wa jwtz anasema kuwa jwtz ndo jesh lenye nidhamu afrika,ameyasema hayo ktk dira ya dunia ya bibisi,huyo ni luten kanali mgawe
0 Reactions
10 Replies
2K Views
watanzania ni sisi tu tumebaki. Naomba sana tazama hizo picha toka lybia Source: Protester removes Libyan flag - Yahoo! News Photos
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inashangaza sana hakuna tamko lolote nirisubiria tunisia nikaona serikali ya kishikaji imekaa kmya ikaja mirsi wakaziba pamba masikino'sasa libya wamefungulia muziki wanacheza hawana habari au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matukio haya mawili yaliotokea zenj yanatoa maswala mengi kuliko majibu ya cuf 1)Ukimya wao juu ya kupigwa kwa mwandishi wa channel TEN labda kwa kuwa sio Mpemba? 2)Kutiwa Tindikali kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wasomi wa SAUT mwanza leo wamevaa magwanda kuhamasisha maandamano kesho.Source:kidau.blogspot.com
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nguvu ya uma haichezewi,nguvu ya uma haina msomi,nguvu ya uma haiogopi vyombo vya dola nguvu ya uma ni Ishala kwamba ya umoja na si unafiki DONT PLAY WITH PEOLES POWER.:second::second::second:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kanuni za Sheria ya barabara namba 13 ya 2007, zilizopitishwa kupitia Tangazo la Serikali namba 21 la Tar 23 Januari 2009 katika Ibara ya 9 (1-10) inaipa TANROAD mamlaka ya kuondosha magari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania(TANESCO),William Mhando(Kulia) akizungumza na waandishi wa habari,leo katika Ofisi Ndogo za Bunge,Dar es Salaam,ambapo akanusha habari kuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kipindi cha kampeni hadi kipindi cha kupiga kura ambapo zoezi la uchaguzi lilikamilika, kulikuwa na wapiganaji wa CCM wakitetea chama chao hata ktk mambo yasiyostahili utetezi, kiasi watu wakawa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Yaani bomu zima-zima liruke hewani lenyewe? Likatue chini ndo lilipuke? Kutoka Goms hadi Ubungo? Lenyewe tu kavukavu linaamua 'sasa naruka zangu from here to kinyerezi then nikifika huko...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Muswada wa Katiba mpya kutua Bungeni Aprili Dodoma,8 February 2011 SERIKALI katika kudhihirisha azma yake ya kuitikia mwito wa wananchi wa kuundwa kwa Katiba mpya, imetangaza kuwa itawasilisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
watanzania tuamke, tuache ubinafsi,, kuiondoa CCM lazma tuwe na muungano wa vyama vyote vyenye nguvu kama CUF, CHADEMA, NCCR, TLP na UDP. Hii ndiyo silaha pekee ya kuachana na unyonge
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mh!!!!!!!! nisameheni leo niandike kwa herufi za kupiga kelele HIVI KWELI KATIKA VIWANGO VYOVYOTE VYA KIMAADILI, KUNA HAJA GANI YA KUWA NA MAZUNGUMZO NA EL- ADAWI AU KUFIKIRIA HATA KUTUMIA HIYO...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ULE MDAHALO ULIOKUW UFANYIKE JANA KUHUSU DOWANS UTAFANYIKA LEO SAA tatu usiku WADAU MSIKOSE sourse ITV
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom