10th December 2010
A US firm, Celtic Capital Air Corporation has threatened to sue Air Tanzania Company Limited (ATCL) for breach of contract covering the lease of a Boeing 737 aircraft...
MILIPUKO ya mabomu kambi la Jeshi la Wananchi Gongo la Mboto ni moja ya matukio yaliyoshtua Watanzania na hata nchi jirani. Wenye machozi ya haraka mpaka sasa wanaendelea kulia.
Yapo matukio...
JOHN JOHN MNYIKA
MBUNGE UBUNGO
Tamko langu la awali kuhusu kuwekwa X katika majengo ya pembeni ya Barabara ya Morogoro
Katika kipindi cha wiki moja mfululizo kuanzia tarehe 11 mpaka 17 Februari...
Hapa naomba nitumie mfano wa kimichezo. Kwenye timu yoyote mchezaji muhimu si yule tu ambae akiwa uwanjani timu huchezi vizuri bali pia ni yula ambae kama asipo kuwa dimbani unaona timu haichezi...
Mmoja atoe maelezo ya kuhusika kwake na wizi wa EPA na Dowans (kabla sijaamua kujitolea kumsaidia kurahisisha kutiwa pingu kwake ) na tena aeleze kwanini ya Al-Adawi walibuni hii mbinu ya kufungua...
Kwa taarifa ya Radio Tumaini, leo asubuhi saa 3, Dowans wamekubali kusamehe shirika la TANESCO deni la Bil 94. Hii naona ni habari njema. Kitu ninachojiuliza ni sababu ipi iliyopelekea hatua hiyo...
CHADEMA inatisha
Wafanya maandamano makubwa ya kihistoria jijini Mwanza
na Sitta Tumma, Mwanza
MAELFU ya wakazi wa jiji la Mwanza na viunga vyake, jana walilazimika kusimamisha shughuli...
Wakati fulani kabla ya uchaguzi wa Tanzania Sheikh Yahya Huussain kwa kutumia ujuzi alionao, alitabiri matukio fulani yaliohusu uchaguzi.
Kilichotokea ni kua watu wengi walilipokea swala hilo...
wajameni tuandamaneni hadi serikali iondoke madarakani,serikali imejisahau sana na hakuna utendaji kazi na wala hakuna uwajibikaji, mabomu ya mbagala yalilipuka na wala hakuna mtu aliyewajibishwa...
Rais Kikwete na ujumbe wake wako Dubai wakiwa njiani kurudi nyumbani kutoka mkutano wake na Waziri Mkuu wa Uingereza huko London siku chache tu zilizopita. Vyanzo vyetu vya uhakika vinadokeza kuwa...
Ufisadi mpya wawashtua wabunge
Wabaini ulaji kwenye mikataba ya nishati ya umeme
KAMATI ya Nishati na Madini imedai kupatiwa mikataba yote iliyoingiwa na serikali na kampuni zinazozalisha...
Jeshi la Polisi wilayani Arumeru, mkoa wa Arusha jana lililazimika kufyatua mabomu ya machozi na kurusha risasi hewani kuwatawanya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Arusha, baada ya kufunga barabara...
Mwakalebela Aachiwa Huru..........
Frederick Mwakalebela (kushoto) akitoka mahakamani leo baada ya kuachiwa huru na mahakama ya hakimu mkazi Iringa chini ya hakimu wake Mheshimiwa Festo Lwila...
A tribal priest blesses Hindu women prostrating themselves in prayers for fertility during the 'Peddagattu Jathara' festival at a temple in the Nalgonda district, India. The festival, where...
Viongozi wa Chadema bado waendelea kushughulikiwa. Ya Baregu. Dr. Kitila naye yupo njiani kutimuliwa UDSM kwa kujihusisha na harakati za chadema.
na Grace Macha, Arusha.
CHUO Kikuu cha...
Sikilizeni WADANGANYIKA wenzangu. January Makamba ni wakala wa mafisadi. Amepewa ubunge na Rostam Aziz na Edward Lowassa ili wamtoe William Shellukindo aliyetoa uamuzi kamati ya ubunge ichunguze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.