Neno kambi rasmi liliwekwa ndani ya kanuni za sasa kwa shinikizo la Hamad rashid wakati wa kuunda kanuni hizi mpya za bunge.Alifanya hivyo ili kuzuia wenzake kutoka nje ya kambi rasmi kuongoza...
Huwa nawaza why after the general election why all these are happening and these my findings.
watu hawajaridhika na matokeo ya urais na wengi wa waelewa wa mambo waliyempigia kura hakupita either...
Ndugu wanaJF,
Sasa imedhihirika waziwazi kuwa adui namba moja anayeifilisi nchi hii ni ccm. Chama hiki ndiyo kimekuwa mwavuli wa kufunika uovu na waovu wote wanaoifilisi nchi yetu na kusababisha...
Wanazuoni wa chuo kikuu cha dar es salaam leo mchana walikuwa na panel discussion kuhusu DOWANS na masuala mengine mtambuka yanayolikumba taifa letu, iliyoandaliwa na UDASA. Baadhi ya mambo...
An Extract from Tanzania Daima of Today!
Katika hatua inayoashiria kuzidi kuungwa mkono kwa CHADEMA na viongozi wake, jana Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe alikuwa kivutio katika...
Na Ramadhan Semtawa
WABUNGE sasa watakuwa na makazi yao maalumu mjini Dodoma maarufu kama Bunge Estate, sawa na ilivyo kwa mawaziri jijini Dar es Salaam na Dodoma, baada ya Spika wa Bunge, Anne...
Maandamano UVCCM yashtukiwa
*Ni yale ya kutaka bodi ya mikopo ivunjwe
*Yahojiwa mbona hawakuwatetea kupiga kura
Na Tumaini Makene
MAANDAMANO yaliyoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha...
Baada ya noti mpyam mbaya na zisizo na ubora kuchakachuliwa....kubwa jinga Ndulu litaongea na waandishi wa haabri leo.....nchi hii inakera sana.....majuzi mtu kapigwa kwa kuzaniwa ana noti...
Kwa karibu miongo miwili na nusu sasa, serikali imekuwa ikitekeleza mpango wa uboreshaji wa utendaji kazi katika utumishi wa umma. Mpango huo, unahusisha serikali kuu na serikali za mitaa. Jambo...
Wakati Chama cha mapinduzi wakizindua maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho kongwe kejeli dhidi ya vyama vya upinzani ndizo zilizotanda na hasa madongo kwa chadema.Hakukuwa na lingine la...
TBC walichakachua wakatangaza kuwa matokeo ya form iv ni mazuri kuliko ya mwaka jana. Ukwli ni huu hapo chini..Je TBC mnawaambia nini walipa kodi? Je habari zote mnazotangani walipa kodi...
na Mwandishi wetu, Tanzania Daima
ASKARI wa Jeshi la Polisi, Koplo Ali Khamis Haji (40), amefariki dunia baada ya kugongwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa SMZ, Ramadhan Abdallah...
Wengi tumesikia CUF wanaandamana Jumatatu, Feb. 7, 2011. Kushangaza ni kwamba wengi wanachama wa Chadema hatujui kuna hili tukio muhimu kwa nchi. Malengo ni makubwa hapa na hasa hii siku ili...
Sijui kama umepata kusoma hotuba ya Kikwete African Union. Soma hapa chini na tutachambua huu utumbo na maana ya demokrasia kwa upande wa CCM.
JK decries trend of poll-result disputes in African...
Ukisoma hali halisi inavyokwenda, jinsi viongozi na wenye dhamana ya kumtaja rasmi mmiliki halali wa Dowans, inaonyesha dalili ya kiwingu kinachowatia ububu huo. Angekuwa ni kigogo mdogo tu na...
Wakati dunia nzima ikifuatilia matukio na ghasia za kisiasa zilizoanzia Tunisia na sasa Misri, inashangaza kuona magazeti Tanzania yasivyotoa kipaumbele kwa habari za matukio ya kisiasa...
Siku chache zilizopita, kuna mwana great thinker mmoja hapa jf alikuja na habari aliyojinasibu kuwa ni kutoka ktk chanzo kinachoaminika kwamba Hazina imekauka kiasi ya kuja kushindwa kulipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.