Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tendwa: Vurugu na mauaji ya Arusha Chadema hawawezi kukwepa lawama Send to a friend Tuesday, 11 January 2011 20:22 Na Joyce Mmasi “KILA chama cha...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Haya nimeyasikia kwenye sherehe za mapinduzi; Mh.rais wa serikali ya mapinduzi zanzibar. Mh rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania... Hivi ni kweli rais wa jamhuri akienda zanzibar anakuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Maelfu ya wakazi wa Arusha,tangu asubuhi asubuhi wamejazana uwanja wa NMC tayari kuwaaga MASHUJAA waliouwawa na vibaraka askari wa Chama cha mafisadi(Ccm).
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1).Matatizo Zaidi 2).Amri zaidi 3).Inteligensia ZAIDI 4).Maguvu zaidi.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mpendwa Dr. Mwakyembe, Umekuwa rafiki wa watanzania wa vyama vyote na wa kila mahali. Ushujaa wako ulitokana na yanayoendelea sasa ambayo kama mashujaa hawatasimama basi mafisadi ( Dowans)...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
SERIKALI imetoa pole kwa familia za watu watatu waliouawa katika vurugu za kisiasa mkoani Arusha, wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kilipolazimisha kufanya maandamano bila kibali...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Kuna tetesi kuwa Abdiel Mengi, yule mtoto wa Reginald Mengi amebambwa na polisi akiwa na mzingo wa madawa ya kulevya. waliokaribu na 'cycles' na kwamba tayari yuko mikononi mwa vyombo vya dola...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Ngoma CCM, CHADEMA Arusha bado mbichi *Mbunge kutoka Tanga ashiriki tena uchaguzi *CHADEMA waususia, wasema hawashiriki uhuni Na Glory Mhiliwa, Arusha MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jamani ni TV gani au hata Radio gani inarusha live mazishi ya kishujaa Arusha, naomba taarifa tuweze kutune.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya nimeyasikia kwenye sherehe za mapinduzi; Mh.rais wa serikali ya mapinduzi zanzibar. Mh rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania... Hivi ni kweli rais wa jamhuri akienda zanzibar anakuwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nadhani huu ndio muda muafaka kwako jk kuicheza karata yako dume mapema kuimarisha ngome yako kwa kutekeleza sasa ahadi zako kama vile mameli, machinga complex, viwanja vya ndege, madaraja, reli...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Leo jioni kwenye taarifa ya habari ya saa moja usiku channel Ten wanaharakari wamehoji ushirikishwaji wa Bunge na wananchi katika kesi iliyoendeshwa kimyakimya kwa msuluhishi huko Ulaya na...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
NADHARIA hii imeandikwa baada ya kutafakari matukio mbalimbali duniani yaliyotokea katika vipindi mbalimbali vya historia. Nadharia hii inajaribu kuchambua ufisadi pamoja na athari zake na namna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanafunzi wa MLIMANI wamelaani mauai ya raia mkoani Arusha yaliyofanywa na Polisi na kuitaka serikali kufikisha polisi hao katika vyombo vya sheria. ITV HABARI-20:00
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimejaribu kupitia maelezo ya Mh. Mwakyembe, na hasa alipodai kesi ya Dowans kwa serikali hata angepewa mwanafunzi wa first year law angeshinda nikamfikiria Mwanasheria mkuu, alipoishauri serikali...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
UVCCM Arusha kesho wameandaa sherehe ya kumpongeza 'Meya' kwa kuchaguliwa kwake. Sishangai kwa 'vijana taifa la kesho' kufanya sherehe ya kumpongeza Meya wakati tuna msiba kwa sababu hayo ndio...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa taarifa nilizopata ni kuwa raisi jakaya kikwete na waziri mkuu pinda watahudhuria mazishi ya kesho kwenye viwanja vya nmc arusha.na hii imetokana na msukumo wa kimataifa kwani taarifa zinasema...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
NA KHATIB SULEIMAN, ZANZBAR MAPINDUZI Matukufu ya zanziba ya Januari 12, 1964 yalihitimisha utawala wa Sultan uliodumu kwa takriban karne moja. Ni mapinduzi ambayo yalikuwa na lengo la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vurugu kubwa zimeubuka eneo la Mbagala Kiburugwa, jijini Dar es Salaam, baada ya wananchi wenye hasira kuvamia jengo la ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kubomoa ukuta wa uzio. Vurugu hizo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Yaani kwa uadilifu aliokuwa nao Waziri Mkuu Pinda na imani ya Wananchi juu yake kwa sasa iko mashakani. Maana yeye kwa uadilifu wake akianzisha kitu anategemea watamuunga mkono kumbe loh! inakuja...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom