Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ninavyofahamu mimi, gazeti la kila wiki la Changamoto linamilikiwa na shushushu mmoja wa ngazi ya juu mstaafu (jina nafunika kwanza kwa sababu hawa huwa hawastaafu) hivyo habri zinazoandikwa humo...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Leo tunapoadhimisha kumbukumbu ya mapinduzi ya zanzibar ya tarehe 12 january 1964 kuna haja ya dhati kabisa kujihoji usahihi wa historia ya mapinduzi hayo kwa maana ya nani alihusika, nani alikuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Pamoja na yote ambayo chama tawala na jeshi la polisi wanasema kuhusiana na vifo vya ndugu zetu pale arusha, nafsi yangu inawatambua watu hawa kama mashujaa wa kweli katika ukombozi wa KWELI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vizazi Vingi Vimeteseka na Umaskini Ulioletwa na Chama Kimoja Tu "Sisiem" Wenyewe Wanajisifu Sana kwa Maendeleo na Huduma Nzuri Walizozileta Tanzania, Hivi CCM ni Binadamu Kweli Au? Tukizunguka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyie mnaojidai wasomi wa kujificha nyuma ya komputa, muda umefika kwetu sisi kuvaa uwanaume dhidi ya Dikteta Jakaya Kikwete. Tumewaomba msaini petitsheni lakini mnabisha mnaleta kujua. Hivi ndivyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
University students from Tarime District have vowed to take their case to the streets if a major mining firm will continue to refuse paying their school fees. According to a statement issued...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
napenda kuwaomba wapendwa na wanawema wa tanganyika kua sasa jamii imechoka na kwa heshima mwenykititi akiwa hapa atauongoza kutoa heshima za mwisho kwa ndugu zetu hapa arusha nao ni mashujaaa wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna mdau kanitmia hii habari nami nimeona si vibaya ku-share nanyi Mtazamo Wangu: Saleh J...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huyu mama kwanza alinyamaza baada ya tuhuma za AVALON CINEMA kuelekzwa kwake kuwa ana double standards...baadae akapiga mkwara kuwa angevunja na ile shopping mall jirani na Shoppers plaza...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mozambique denies India 5 more coal concessions By: Reuters 10th January 2011 MAPUTO - Mozambique on Monday turned down a request by the Indian government for five coal concessions...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Meya wa Arusha anazidi kupata wakati mgumu. Wale wapagani wasioamini dini yeyote wameweka wazi nia yao, Mzee Ole Ngoyai akiongea na wenzake maeneo ya kona ya Illboru karibu na Masai Pub ameeleza...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Toka 2005 bado Holaa! Ubunge kwake mpaka Yesu arudi
0 Reactions
9 Replies
2K Views
UKOMBOZI NI MUHIMU NA NI LAZIMA TUJITOE MHANGA. HACHENI MAMBO YA KINAFIKI NA UPUMBAVU. TUNAOMBA NGUVU YA UMMA, KU SIGN HII PETITION ILI TUUNGANE NGUVU KUPINGA UDHALIMU NA UDIKTETA WA KIKWETE...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
CHAMA cha Mapinduzi kimemshukia katibu wake wa Mkoa wa Arusha Mary Chatanda kwa kauli yake iliyotafsiriwa juzi na Kada wa chama hicho John Malecela kuwa ni utovu wa nidhamu kwa maaskodu...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Wilaya wa CHADEMA Arusha ni kwamba polisi 'wamekubali' ibada pamoja na duwa kuwaaga mashujaa waliofariki kwa kupigwa risasi na polisi tarehe 5-01-2011 ifanyike...
0 Reactions
95 Replies
8K Views
Guys! In 2011,May you be prosperous like CHADEMA, Blessed like SLAA, Courageous like BAREGU , Successful like MBOWE, Talented like MNYIKA, Smart like LISU, Famous like ZITTO, Fortunate like...
0 Reactions
1 Replies
761 Views
Leo kwenye taarifa ya saa moja usiku katika Channel ten... Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha ameomba Waziri Mkuu kuingilia kati sakata la Umeya wa Arusha kwa kutoa ufafanuzi kama Katibu wa Mkoa...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Tangu asasambuliwe kwenye mdahalo na mwenyekiti wangu (FM), bwana huyu aliyejibatiza kisifa cha mwanasiasa mkongwe sijamsikia tena. tatizo la kurudi ccm ndo hilo. ukihama ccm, siku moja ukarogwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natangaza kuwa nitafanya maandamano ya amani siku ya jumanne tarehe11.1.11 kuanzia saa nane mchana kupinga serikali kuilipa Dowaans mabilioni ya fedha ambazo ni za udanganyifu! sihitaji kibali cha...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu Tanzania wa Oktoba 2010, tumeshuhudia pepo kubwa sana zikivuma kwa kasi kutoka pande zote za nchi yetu. Ni pepo za mabadiliko. Wananchi wanataka madadiliko ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom