Tusipoangalia vizuri na kwa jicho la pekee na kama watu wenye akili zuri na upendo na nchi hii hawatajitokeza na kuweka mambo sawa, nadiriki kusema nchi hii si muda mrefu itaingia kwenye...
FOR a country and people used to uninterrupted peace and tranquility, the events in Arusha on Wednesday in which police had to use force to disperse an illegal demonstration staged by a section of...
"kabla ya migogoro haijatatuliwa ni lazima wahusika wakuu waamini kuwa kuna mgogo"
"itiini mamlaka iliyowazidi nguvu, hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu..."
Baada ya wananchi zaidi ya wanne...
Makamba atumia Biblia kuwalaani Chadema
Thursday, 06 January 2011
Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba amekilaumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo...
Hivi hawa waliompa mkwere nafasi ya kumi kwa utendaji Africa,wanamjua kama sisi watanzania tunavyomjua na tunavyoona mambo yanavyoendeshwa nchi hii?na kama wanadanganywa tatizo ni...
wanandugu.nimekua nikifatilia kauli za watu mbali mbali kuhusiana na mauaji ya arusha.jambo moja linakera.watu wengi hachambui hoja bali mtu aliyetoa hoja na kwa msingi ya dini.je watanzania wengi...
Ni kujisahau, kujiamini au nini? Hivi polisi wamezionyesha silaha walizokutwa nazo waanadamanaji wa Chadema kusapoti uhalali wao (wa polisi) kutumia risasi za moto dhidi yao?
Polisi wetu...
Huku akizungumza kwa lugha ya upole na umakini mkubwa Mwnykt. wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe alilaaani vikali vitendo vya polisi kuvamia na kuuua waandamanaji.. Huku akikana taarifa ya polisi kuwa...
Wapendwa wangu Great Thinkers...mimi katika kufuatilia sana utendaji wa hawa wawili, nimegundua kwamba Mh. Makamba ni kiongozi ambae maneno yake huwa yanamashaka sana. Kwa mfano:
Kuna kipindi...
Makamu wa mwenyekiti wa CCM Taifa komredi Msekwa amesema Rais JK amesononeshwa sana na kilichotokea Arusha na amesema Kamati kuu kujadili suala hilo. Wakati huo huo Makamba ambaye ni katibu mkuu...
CHADEMA imeshinda kiti cha Mwenyekiti wa Halmasahuri Wilaya ya Hai. Hatimaye CCM wamesalimu amri baada ya CHADEMA kukinyakua kiti hicho. Wilaya ya Hai ilikuwa ni mojawapo ya maeneo ambayo kulikuwa...
A nationalist is a person who advocates that the interests of the nation or country are primary and deserving preference over other individual interests.
A nationalist is concerned mainly with...
CCM imezoea miaka yote kubebwa na vyombo vyote nchini na hali kadhalika kubebana wao kwa wao. Sasa mfumo wa demokrasi wa vyama vingi unaposhika kasi ya enzi za utandawazi CCM bado hawajaamka kwani...
Gazeti la Mwananchi la leo linatuhabarisha ya kuwa mkongwe wa siasa nchini ametofautiana na akina Makamba na vigogo wengineo ndani ya CCM kwa kubainisha ya kuwa CCM Arusha ndiyo imewakosea...
"Leo wakati nikitafakari deni letu kwa Dowans nimemkumbuka Mwalimu. Angekuwepo Mwalimu Nyerere hakika asingetafuna maneno katika hili la Dowans. Angesema neno moja tu; HATULIPI!"
Global...
Kwa vile hawa (Katibu wa CCM wilaya ya arusha, Mary Chitanda na Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Arusha ambaye ndie msimamizi wa uchaguzi) walikuwa vyanzo za vurugu za uchaguzi wa meya yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.