Ninakwazwa na Waandishi kama hawa wa MWANANCHI wanaoandika mambo tete kwa jamii kwa fikra zao bila ya kuwa na ushahidi bila ya kujali taathira za vitendo vyao. Waandishi wa nama hii wanafaa...
With commercialisation of blogs, same diseases that have been eating our mainstream media threaten the social media as well (including blogs).
Check the leading blogs like Michuzi, Haki Ngowi...
Ndugu Wananchi wote - TUNAMBA MICHANGO YENU YA HALI NA MALI KWA WAHANGA WA MAAFA KATIKA MAANDAMANO YA AMANI ARUSHA. TUMA MACHANGO WAKO KWA
M-PESA: 0753444443
ZAP: 0688111161
TIGO PESA...
Wanajamvi kumekuwepo na taarifa ya kukanganya toka kwa tambwe Hiza!
Na John Daniel
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimedai kuna taarifa za uongo zinazosambazwa kuhusu idadi ya madiwani wake katika...
Rais Jakaya Kikwete (wa saba kulia) akipozi katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (kushoto kwa Rais) katika hafla ya kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake. Wengine ni...
If you go through Mr. Tice's resume provided in one of the threads, you will notice that at one time he was overseing the trust and fiduciary business of Deutsche Bank in Africa and Middle East...
Nimemsikiliza mwisho mwisho Tambwe Hizza katika bulletin ya Ch 10 usiku huu akitoa ufafanuzi kuhusu uchaguzi wa Meya Arusha kuwa ulifanyika kihalali na nonsense nyingine kuhusu yule Mbunge wa viti...
Wandugu wanaJF,
Kuna tabia imeanza kushamiri humu janvini ya kuchangia hoja kwa mtazamo wa kidini badala ya ku-focus kwenye hoja yenyewe. Mfano mzuri ni hoja ambayo bado ni 'moto' ya unyanyasaji...
Makamba amesema chama chake hakistahili kutupiwa lawama kutokana na matokeo ya uchaguzi wa meya wa Arusha, kwani mchakato mzima wa uchaguzi huo ulisimamiwa na msimamizi ambaye ni mkurugenzi wa...
Source: Gazeti la Tanzania daima la leo, January,10, 2011 www.freemedia.co.tz
Aidha, wiki moja baada ya machafuko ya kisiasa jijini Arusha, jeshi hilo mkoani Kilimanjaro limefuta mikutano...
Ndugu Zangu,
Leo wakati nikitafakari deni letu kwa Dowans nimemkumbuka Mwalimu. Angekuwepo Mwalimu Nyerere hakika asingetafuna maneno katika hili la Dowans. Angesema neno moja tu; HATULIPI...
By The Citizen Reporter
Jan 9, 2011
The long running, controversial Tanesco emergency power generating saga involving Richmond Development Company (RDEVCO) and Dowans Holdings SA, has now...
Mimi nilishiriki katika kuwashawishi Dowans kuja nchini. Nitaendelea kushawishi wawekezaji waje nchini ili nchi iendelee, ajira ipatikane na kodi ziongezeke.
Juzi tu nimetoka Singapore...
Prof. Shivji alisema "vyama vya upinzani na wanaharakati madai yao ya mabadiliko
ya katiba yanalenga zaidi maslahi ya viongozi kama nafasi za ubunge,
udiwani etc kuliko maslahi ya mlalahoi...
Kama tumeamua kupambana na CCM na utawala wake basi tujipange kwa kutegemea vyama vya siasa tu.
Mambo haya ambayo naona ni mchezo unaopangwa na CCM na serikali yake ni kutumia vyombo hivi katika...
Wana JF nimejaribu Kufikiria ni maandamano ya aina gani yaliyowahi kupewa baraka na serikali yetu kwa miaka ya hivi karibuni nimekosa jibu, pengine tukumbushane tu!
Naona sasa maandamano...
Mmiliki wa gazeti la Rai; Rostam Aziz, ambaye ndiye wengi tunaamini ni mwakilishi wa JK kwenye kashfa ya DOWANS ambayo isipovaliwa njuga italigharimu taifa zaidi ya bilioni 100 ametumia nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.