Oktoba 31 2010 ulichaguliwa kuwa rais wa Tanzania. Tunajua uliupata kwa njia ya uchakachuaji. Hata hivyo tumekubali yaishe kwa sababu katiba yetu ndiyo iliyokubeba. Tumeamua tukuache uendelee na...
Ndugu wana JF, salaam aleikum ...
Leo nimejiuliza swali nikaona niwashirikishe na wengine ili nipatae msaada. Kuna mfululizo wa matukio yamekuwa yakitokea nchini mwetu na kuzifanya siasa za nchi...
katika hafla ya kumsimika askofu mpya wa jimbo la mwanza, waziri wasiri ameshindwa kusoma salamu za Rais na badala yake akakabidhi bahasha yenye hizo salamu kwa mhusika.
kwa hakika hii ni stali...
Source:Gazeti la Habari leo(January 8,2011)
ASKARI Polisi wameiomba Serikali kuangalia jinsi ya kuboresha nyumba wanazoishi walinzi hao wa Usalama wa raia kutokana na kile walichodai zimechakaa...
katika kile cha sintaamini masikio yango mbunge wa monduli anasema na kuwasa viongozi kua wawe waadilifu na wasie mafisadi na wawatumikie wananchi ama kweli sina la kusema
Is Chenge qualified to be elected MP?
By Joseph Mchekadona
Two Dar es Salaambased lawyers have given differing views concerning the eligibility of Baridi West Member of Parliament Andrew...
BY LUSEKELO PHILEMON
9th January 2011
The death toll from Wednesday's bloody clashes in Arusha between Chadema supporters and police has now climbed to six, a special committee formed by the...
-Nani atasema enough is enough?Meremeta,BoT,Tanesco/IPTL/Dowans,Kiwira.
-Nani atahakikisha kuwa 4 lives lost huko Arusha haitatokea tena?Kwa ajili ya peaceful demonstrations?????
-Nani ataleta...
Mwaka 2001 baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, chama cha CUF kilifanya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu kule Zanzibar, kwa bahati mbaya jeshi la polisi kupitia amri za wakuu wao...
haya kama kuna jinamizi linakuja ni hilo kwani meya lyimo hatki kujiuzulu mbona naibu wake kajiuzulu na hakuna matata na mbona diwani wa c.cm alikuja kwenye mkutano wa cdm na alipokewa kwa nini...
Wala siyo siri. Serikali ya JK ikijilipia kupitia Dowans na hela zetu za kodi, watambue wazi kabisa kwamba tunaingia porini, au tunaanza vita. Tumechoka kudhulumiwa
Diwani wa Kata ya Sombetini, Alfonce Mawazo katangaza kujiondoa katika chama chake Jumatano wiki hii na kujiunga na Chadema akidai kuwa amechoshwa na ukatili wa CCM.
Mawazo ambaye alihamia CCM...
Mkakati wa Kusaidia WanaArusha .
Tunapenda kuwafahamisha kwamba FOS Imeanzisha Mkakati wa Kuchangia WanaArusha waliopata Shida kwenye Maandamano ya Wafuasi wa CHADEMA na Viongozi wao ...
Makamba uko wapi? Uko enzi gani -- enzi za Mchonga? Huoni kabisa CCM yako inapukutika kutokana na udhalimu, ufisadi na kukiuka haki?
Au utasema mlisahau kumhonga huyo Diwani abakie CCM? Speak up...
Minister for Eeast African Cooperation Hon. MP Samwel Sitta said the decison to pay DOWANS has not gone through the cabinet
Mr. Sitta Said he would seek explanations over the matter when the...
salaam ndg zangu,
nataka tuchambue kwa pamoja bila kujali itikadi zetu za kichama, mapenzi ya siasa au mtu. na tuchangie kwa vigezo na hoja nzuri swali hili.
mwaka 2001, nakumbuka kule zanzibar...
Tunaona Jinsi Gani Vyombo vya Usalama na Ulinzi Tanzania Vinatumia Nguvu Zote Kutafuta Any Kind of Intelijensia Chadema Wakati Hizo Skills za Intelijensia Zingetumika Kujua Nani Alifanikisha...
Wakubwa,
Nimeona ni bora nianzishe thread maalumu kwa ajili ya namba za simu za CHADEMA ili kila mwenye mapenzi mema nao awajulishe kama si kwa kupiga basi walau kuwatumia message tu...
CCM: Maaskofu vueni majoho
Imeandikwa na Mwandishi Wetu, Arusha; Tarehe: 8th January 2011 @ 23:50 Imesomwa na watu: 74; Jumla ya maoni: 0
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Arusha kimewataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.