Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
In 1971 and 1972 the late Iddi Amin conducted a nationalisation of the commercial assets of Uganda's mostly ASIAN merchants and enteprenuers.this was followed by ASIAN EXODUS from Uganda to...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
RAIS Jakaya Kikwete ni wa 10 kati ya viongozi 52 wa Afrika kwa kuchapa kazi katika mwaka 2010 kwa mujibu wa jarida la East African. Katika toleo lake la Desemba 27, 2010 hadi Januari 2...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Send to a friend WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wamesema shirika hilo halitaweza kwenda mbele iwapo serikali haitaliondoa kwenye vitanzi vya mikataba ya kifisadi. Walitoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Honeni mwandishi wa spichi wa Rais anavyo haribu lugha ya watu. Kumbe ndo maana spichi za Kikwete zilikuwaga mbovu. Hii ni aibu kwa taifa la Tanzania. Huyu ndo january makamba kwa maneno yake...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Zipo tofauti za kimsingi ambazo zinabainisha kwa nini serikali hii ya kifisadi inakimbilia kuwalipa DOWANS na kukwepa kuwalipa wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki yaani EAC...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Majeruhi maandamano Arusha wadai wana risasi mwilini Imeandikwa na John Mhala, Arusha; Tarehe: 8th January 2011 @ 23:30 BAADHI ya majeruhi waliojeruhiwa wakati wa vurugu zilizotokea katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mh. Prof lipumba kajieleza vizuri sana kuhusu mauaji ya arusha. Kama viongozi wa siasa wote watakua na umoja kama huu lazima mabadiliko yatapatikana tu. source; Nukuu just kipengele. Hivi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kawenye kaburi la aliyekuwa Waziri mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Marehemu Salum Juma Othman wakati wa mazishi yake yaliyofanyika huko Unguja...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Mi nilikuwa nafikiria kuwa mtaji mkubwa kwa chadema/nccr/cuf/tlp kushinda uchaguzi mkuu 2015 ni kuanza kuwaandaa watoto wa shule za sekondari za kata kwa ajili ya kuwaandaa kisaikolojia kutafuta...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
"We are brave leaders, we will keep fighting for our rights without fear, we will not be afraid to suffer or get injured while defending our nation and we are requesting the youth, women and...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Rais Kikwete leo ametoa tamko lake huku akisikitishwa na tukio la Arusha lililosababisha mauaji ya raia wawili na kuacha mali za mamilioni ya shilingi zikiharibiwa. Kikwete ameonesha ukomavu...
0 Reactions
145 Replies
14K Views
Katibu mkuu wa CCM Mkoa wa Arusha, amelaani maandamano ya CHADEMA huko Arusha na kusababisha vifo vya watu wasio na hatia. Amesema kama kisa cha maandamano ni kwa sababu ya umeya, ni kuwa uchaguzi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa hakika nimefanya tathmini ndogo ya effects ndani y takriban siku tano ambapo nchi yetu imepitia matukio makubwa mawili..., kwanza ni uamuzi wa ICC na tamko la serikali kuridhia kuilipa kampuni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
WanaJF, Tukio la Arusha limeendelea kudhihirisha utashi wa jk katika suala zima la kudumisha amani nchini iliyojengwa na Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Nyerere. Ukweli ni kwamba jk hana utashi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kila Waziri na kila mkurugenzi katika idara za serikali ya Kikwete anasema kitu chake kinachopingana na mwingine katika jambo hilo hilo. Maafa yaliyotokea Arusha hakuna kiongozi ye yote wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimetoka Police Mess Jana usiku hapa Arusha nilishuhudia FFU zaidi ya 45 wanakula kuku baada ya 'kazi nzurì' ya kuua wana wa nchi waliokuwa wanaonesha hisia zao juu ya demokrasi mbovu inayofanyika...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
JK apigilia msumari wa mwisho Dowans Rais Jakaya Kikwete amewataka wanasiasa kuacha malumbano kuhusu ununuzi wa mitambo ya Kampuni ya kufua umeme ya Dowans Limited. Alitoa mwito huo jana katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom