Hivi kuna mwana jf yeyote ambaye anaweza akawa na picha zinazoto sura walau hata ya askari mmoja tu wa Kikwete pindi alipokua akitekeleza amri ya kuwanyunyizia Wa-Tanzania wenzake risasi kama...
Malipo ya Dowans yamechukuwa nafasi kubwa katika habari nchini mwetu. Kuna kila sababu ya kuchukuwa hiyo nafasi kutokana na upuuzi unaofanywa na serikali inayoongozwa na Jakaya Kikwete kukimbilia...
Nimesikia katika vichwa vya habari kwenye mojawapo ya magezeti yaliyosomwa leo redioni kwamba Hazina (Treasury -- i.e. Wizara ya Fedha) imesema haina hela sasa hivi kuilipa Dowans mabilioni hayo...
HAPA CHINI NI MANENO ALIYO SEMA MKUU WA WILAYA YA MASASI KWENYE FACEBOOK;
Nape Nnauye
YAMETIMIA YALIYOTABIRIWA NA MABADILIKO YA BENDERA YA CHADEMA KUONGEZA RANGI NYEKUNDU KATI YA ZINGINE,KUMBE...
KOMBOLELA SHOW JUMAMOSI HII January 8, 2011 @ 01:00pm - 02:00pm EST, 9:00pm -10:00pm East African Time
Kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo ya kisiasa, mojawapo wa mambo yametokea siku za...
Kweli waziri mkuu pinda amekuwa akitumiwa
Kama fimbo ya kupigia wanyonge na
na kuwalazimisha watanz wakubali
matakwa ya watawala hata Kama yanasababisha
maumivu kwa taifa , Kama sio yeye...
WANANCHI wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamefanya maandamano hadi ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo kulaani kitendo cha askari polisi kumuua raia mmoja kwa kukutumia risasi.
Mbali na hilo wananchi...
Maaskofu licha ya kulaani nguvu kubwa iliyotumika na polisi arusha, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Arusha Joseph Lebulu amesema Polisi walitumia nguvu kubwa kuua inzi, ni usemi wa kifasafa kwa...
Napenda kutoa onyo kwa Chadema ,msijaribu kabisa kuiga mambu ya CUF ,na ikiwa mnataka kufanya wayafanyayo CUF basi tafuteni ushauri kutoka kwao ,CUF walipoamua kufanya mambu hayo ilikuwa hakuna...
VURUGU NA MAUAJI YA ARUSHA
IGP Mwema, busara za Uchaguzi Mkuu umemuuzia nani?
Tarehe 5 Januari mwaka huu 2011 Watanzania, hususani wakazi wa Arusha hawataisahau. Haitasahaulika kama haitatokea...
Watanzania tuamue sasa, tumenyonywa vya kutosha na tumenyanyaswa vya kutosha.
EPA,MEREMETA,KAGODA,ATCL,RELI, IPTL N.K
Akina mama wajawazito na watoto wengi wamekufa kwa sababu ya kukosa...
President Kikwete while addressing members of diplomatic corps yesterday, cited the killing of innocent civilians at Arusha to be an isolated case which would not be repeated. To my knowledge, in...
ndg zangu wana jamvi salaamu kwenu,
sio siri, kwa matukio aliyoyafanya huyu mzee hapo nyuma huwa simpendi yeye na wenzake wote waliohusika kutuletea mazingaobwe ya hasara kwa nchi yetu, weather...
Kwangu mimi moja ya sasabu kuu ya kumfanya Kikwete akubali suala la kuwa na katiba mpya ni fedheha ya kusubiri kupewa maelekezo na Bunge nini Serikali inapasa kufanya kuhusu suala la kuwa na...
Licha ya onyo lililotolewa na mh Rais katika salaam zake za mwaka mpya kwa vyama vya siasa kuacha kuendelea na Kampeni, halikusikika kwa viongozi wa CHADEMA. Na jaribio kubwa lilikuwa ni kuwamwaga...
Nijuavyo mimi, TANESCO kama shirika la umma, ina bodi yake ya wakurugenzi; na ni bodi hiyo ambayo ilistahiri kushughulikia hili suala la malipo ya Dowans. Serikali ilitakiwa kukaa kando mpaka...
Kauli ya Nahodha yamgeukia kaa la moto
Friday, 07 January 2011 20:13
Hussein Issa na Hassan Mohamed
WASOMI wamekosoa kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani...
Ndugu zanguni kwanza niwasalimu mlioko huku jamvini.asalaam aleikum
Naomba nichukue fursa hii nieleze kwa masikitiko jinsi Polisi wa Arusha walivyoutumia mwanya wa vurugu za tarehe 5 januari...
Taifa linaomboleza yeye kapata wapi
ujasiri wa kufanya sherehe ikulu?
Ameshindwa hata kuja eneo la tukio
hivi hata hao mabalozi nao kwanini
wanakubali kuburutwa na mtu katili
namna hii...
Ukimsikiliza kila mtu hapa Arusha siku tatu baada ya polisi kuua raia utamsikia akiongea kwa uchungu mkubwa juu ya yaliyotokea.
Wengi wameshauri kama kuna jinsi ya kufanya nao polisi wapate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.