Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
WAFANYAKAZI WASEMA HAUJAREJESHWA SERIKALINI WAFANYAKAZI wa mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira wilayani Kyela, mkoani Mbeya, wametoboa siri kwa kueleza kuwa mgodi huo haujarudishwa serikalini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dereva tax anayejulikana kwa Jina la HIJA MAGOMA,Amemgonga mfanya biashara maarufu kama muuza genge,baada ya kufanya ajari hy ikasadikika dereva hyo wa tax no T901ANL alikua amelewa.Sasa wakati...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, amewahimiza wananchi wa jimbo hilo na Watanzania kwa ujumla kununua bidhaa zinazozalishwa nchini ili kulinda uchumi wa nchi na kuongeza ajira kwa Watanzania hasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi karibuni nilienda karagwe ambayo ni moja ya wilaya hapa tanzania haijawahi kupata chakula cha msaada kutokana na kuwa na migomba mingi mizuri ,hari ya nzuri ya ikweta , udongo wenye rutuba na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nyerere alisema upinzani wa kweli utatoka ccm. Kauli za makamba tangia kura za maoni ccm umesaidia sana wanaccm kukimbia chama chao na kwenda upinzani na watu hao wamegombea kupitia upinzani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huyu mama hana hofu ya mungu,hana uzalendo,hana staha kw watanzania na viongozi wetu wa dini,anasema wavue majoho yao,anataka wavue ili aone nini? Anatoa wapi kiburi hiki,anapaswa kutengwa ktk...
0 Reactions
107 Replies
11K Views
Anderew Chale TAMKO LAO;CHAMA CHA WANASHERIA WA TANZANIA BARA TAMKO 9 January, 2011 Na Chama cha Wanasheria wa Tanzania Bara (kwa kifupi ‘CHAMA’) ni Jumuiya ya Kitaifa ...ya Wanasheria wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani nauliza huu ukimya wa kaka yangu malafyale kuhusu kuwalipa au kutowalipa dowans hana comments au zile kelele zimezimwa na cheo coz by time he used to be hot ila sa ivi ni unpredictable hebu...
0 Reactions
0 Replies
961 Views
Taarifa za siri kutoka ndani ya TAKUKURU zinasema kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dr. Edward gamaya Hoseah aliondoka nchini Tanzania tarehe 29 Oktoba 2010 kuelekea nchini CHINA kwa mapumziko...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna mtu yeyote ambaye ana taarifa za Marehemu Jaji Mwakasendo? Kazi yake ilikuwaje na utata wa kifo chake?
0 Reactions
19 Replies
4K Views
WAZIRI Mkuu wa zamani, John Malecela, amesema kuwa CCM imewakosea adabu maaskofu hivyo inapaswa kukutana nao na kuwaomba radhi.Akizungumza na Mwananchi jana, Malecela alisema kitendo cha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimeshuhudia Viongozi wengi duniani wanapimwa uwezo wa kuwajali wananchi kwa kuwa makini kushughulikia kero mbalimbali za dharura kama mafuriko kama yaliyotokea Kilosa na kwengineko, mauaji Arusha...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nashangaa sana kuona hata kile kidogo kinachotolewa kwa ajili ya wakulima kama ruzuku kwenye mbolea tayari mafisadi wameshaingia huko! Huku Iringa kuna kata ya Mgama watu wanalalamika bei ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pamoja na umuhimu wake na nafasi zao katika jamii nasikitika kuona kuwa mpaka sasa Si UDASA au KIGODA CHA MWALIMU NYERERE wala Wanafunzi wa Vyuo Vikuu hawajatoa tamko lolote lile kulaani mauaji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
... compare the tilte with this: OBAMA TO LEAD MOMENT OF SILENCE AFTER SHOOTING WASHINGTON – When President Barack Obama steps out on the South Lawn of the White House Monday morning, the...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Mara nyingi wananchi wa Tanzania wamekuwa na hofu kila wanapomuona polisi. Tumekuwa tukishawishiwa kwamba polisi ni rafiki wa raia na kwamba hatuna haja ya kuwaogopa bali kushirikiana nao katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kitendo kilichojitokeza katika jiji la Arusha kuchafuka kutokana na vurugu za kisiasa kati ya wananchi na polisi yote haya ni kulazimisha ushindi usiokubalika na wananchi wa leo Tanzania kutokana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CDM taifa Freeman Mbowe ameongea na waandishi wa habari leo na kutoa uthibitisho,miongoni mwao mmoja ni raia wa kenya aliyekuwa nchini kwa biashara zake,maiti 2 zilifikishwa KCMC na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya kuona evidence za hii issue inayotugusa wote zimetapakaa jamvini kote naona bora nianzishe hii topic ili evidence zote tuziweke humu, kuanzia zile za kina Mwanakijiji, Rutaba..... na...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
CCM: Maaskofu vueni majoho Imeandikwa na Mwandishi Wetu, Arusha; Tarehe: 8th January 2011...
0 Reactions
79 Replies
7K Views
Back
Top Bottom