Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
serikali imeonyesha hofu tayari,inataka malipo ya kampuni la kitapeli la dowans yafanyike haraka na tena ikiwezekana kabla ya bunge la february,waziri ngeleja anasisitiza ni lazima malipo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Zamani nilijivunia kuwa Mtanzania, lakini sasa navumilia kuwa Mtanzania. Kila kukicha, aheri ya jana. Mkombozi wa taifa hili atatoka wapi? Yuko wapi mkombozi.....aliye tayari kusulubiwa kwa ajili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hali ya mtafaruku niliouona Jana Arusha kwa macho yangu huku waathirika wa mabomu ya kutoa machozi wakishindwa kuhimili kasheshe hiyo, wakati umefika kwa viongozi wa CDM kutuma ujumbe maalum huko...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi ni mdau mkubwa wa gazeti la Mwananchi. Gazeti hili limetokea kupendwa sana kutokana na kuandika habari zinazoigusa serikali moja kwa moja. Ninadiriki kusema kuwa wanaharibu kwani wanatoa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mchana huu RPC wa Arusha, Naibu DCI na Kamishna wa operation wameongea na waandishi wa habari na kusema hawakukosea kuvuruga maandamano ya CHADEMA eti kwa sababu kama yangeachwa yangeleta maafa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwema ametumika kisiasa-Lipumba Na Rabia Bakari Majira Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba ambaye alisema kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Jenerali...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kutangazwa kwa majina ya wamiliki wa Dowans na Waziri wa Nishati na Madini ambapo majina hayo yanajumuisha wafanyabiashara kutoka Singapore, India na UAE ni ushahidi tosha kuwa safari ya Rostam...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
MAPAMBANO makali kati ya Polisi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yaliyotokea juzi na jana mkoani Arusha yameleta mshtuko mkubwa kitaifa, hata kuilazimisha serikali...
0 Reactions
48 Replies
8K Views
Hainiingii akili kwa hali niliyoiona na kusikia yaliyotokea Arusha mpaka damu imemwagika ntashangaa kumsikia mtu akizungumzia POLICE JAMII.Je hao police wanaotaka kushirikiana na Jamii ni jamii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeangalia TV na picha mbali mbali hapa JF na nimegundua katika purukushani ya Polisi na wananchi waliokuwa wakiandamana kwa amani Arusha, polisi walikuwa na zana za kivita wakati hakuna wananchi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
niliona video footage ya tukio la arusha ambapo anaonekana askari akitumia kirungu kuvunja kioo cha gari kwa kukipiga si mara moja, bali mara mbili, tatu na zaidi mpaka dereva alipoamua kuondosha...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kesi ya Mpesya dhidi ya `Sugu` kusikilizwa Januari 19 Wanasheria naomba mtusaidie, maana kwa hoja hizo tatu na eti ndiyo kuu kuna kesi hapa???? Mahakama Kuu ya Tanzania...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
source:bofya hapa, World News Australia - 2 dead after police fire on Tanzania march
0 Reactions
4 Replies
1K Views
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi everyone; I'm back, wounded and limping but still kicking LOL. Numerous trips I have made since I reported to you about the then pending ITV saga. With some of my "little ones" we were able to...
0 Reactions
149 Replies
17K Views
Wana JF, yaliyotokea juzi huko Arusha yanasikitisha, kuuzunisha na kutia uchungu sana; ikiwezekana volunteering lawyers yeyote au chadema lawyers basi mu-seek attention ya haya mauaji ya wananchi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mipango ya kuuliwa Watanzania wafuasi wa Chadema ilikuwa nimipango malumu ya Serekali ya Kikwete kupitia ilani ya chama chake wasema Chadema. Viongozi wa ngazi za juu za chadema wamenukuliwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani na Usalama wa Raia Mh. Shamsi Vuai Nahodha akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao Mkuu ya Wizara hiyo jijini Dar es salaam mchana huu kuhusiana na vurugu...
0 Reactions
133 Replies
12K Views
Inasikitisha kuona mahakama ya kimataifa(icc) kutotoa tamko lolote ktk mauaji ya arusha wakati damu imemwagika
0 Reactions
0 Replies
1K Views
To all real freedom fighters, haya yanayotokea Arusha ni ushahidi tosha kuwa mabadiloko yanakuja nchi kwetu, True freedom real Independence is coming. Tukirejea historia inaonyesha kuwa kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom