Vurugu zilizosababishwa na Polisi katika Jiji la Arusha tarehe 5 Januari, 2011, kwa kweli zimeleta athari katika biashara ya utalii.
Inawezekana alipohamishwa Arusha hakupata maelekezo ya...
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, amesema ametishwa na hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Kibiashara (ICC), iliyoipa ushindi Kampuni ya Dowans...
ndugu hali ni mbaya sana mount meru hospitali kwani wamelazwa watu 42 ambao walipigwa risasi na polisi na huenda vifo vikaongezeka wakati wowote.Nawaambia ukifika hospitali utalia kwani wengine...
Kwa kamanda wa polisi kukiri kuwa maandamano ya Chadema Arusha yaliruhusiwa.
Nakwasababu nyepesi nyepesi eti chadema hawakuconfirm njia watakazo piata ni ujinga na aibu kwa hiki chombo.
Karne...
wandugu natafakari kama TZ inastahili kuitwa a peaceful country kama ilivyokuwa hapo awali. Kwanini tunaiita nchi ya amani wakati damu za watu wasio na hatia ikiendelea kumwagika?tumesikia Arusha...
Ndugu wana JF,
Tangu Raia wema wa Arusha waanze kudai haki yao jana asubuhi na kupelekea viongozi kadhaa wa juu wa chama hicho kuswekwa ndani sijamsikia Zitto Kabwe akiongea chochote, je yuko...
Nahodha: Vurugu ArushaKatika hatua nyingine Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha amesema vurugu zilizotokea Arusha juzi ni tatizo la kisiasa ambalo pia litapaswa kushughulikiwa kisiasa...
Ninayoheshima kubwa kwa marehemu waliouwawa na Jeshi la CCM kwa lengo la kumlinda kiongozi dhaifu. Damu yao na iwe chachu na izae matunda yatakayoleta Uhuru kamili. Tuwaenzi kwa kuendeleza...
Katika mahojiano yaliyofanyika leo na Magic Fm, Kamanda wa polisi arusha amekiri kuwa maanadamo yaliruhusiwa na walikaa kikao na viongozi wa CDM kupanga njia yatakayopitia.
Anasema kasoro ni...
Nimem-miss sana.
Ni nadra sana kuona Mtanzania mwenye asili ya Asia akikemea ufisadi katika taifa hili la Tanzania linalonuka uozo wa rushwa kila kona.
Yuko wapi?
Nimepata habari ambazo sio za kudhibitisha ya kuwa mmoja wa wapambanaji mahiri wa Chadema Waitara ni miongoni ya waliopoteza maisha. Tunaomba wenye habari zaidi watueleze. Cha kushangaza niliona...
Sioni Haja ya kuwa na Rais asiyekuwa na Busara wala hekima katika maamuzi yake kama JK na viongozi wenzie waiosi na hekima kama yeye JK. Hivi kwa staili hii ndio mnasema kuwa kutakuwa na maendeleo...
Wananchi Tukumbuke Kwamba Jk na Viongozi Wake Wote Aliowateua Wanataka Kubaki Maofisini Milele. Kitu Kilicho Mfanya JK Kumweleza Mwema Awapige Wananchi Risasi ni Nini? Hao Vijana Wakiandamana na...
Serikali imetaja wamiliki wa Dowans na kisha kufafanua namna mgawo wao wa fedha utakavyokuwa. Kwa taarifa zaidi subiri magazeti ama nenda THE GUARDIAN WEBSITE
Wananchi Mpaka Sasa Tumeona Jinsi Gani CCM Wanaogopa Maandamano na Mikutano ya Sisi Wananchi. Kuna Vitu Vingi Sana Vinawasumbua CCM kwa Sasa na Moja Wapo ni Tishio Kubwa "MAANDAMANO" Viongozi wa...
Ndugu wana Jamii, nilikua na waza kidogo ni nani wa kuwajibika hususani mauaji yaliyofanyika Arusha. Nimegundua IGP mwema ndio mtuhumiwa namba moja wa mauaji ya Arusha pamoja na majeruhi. Hii ni...
Thursday, 06 January 2011 20:55
Source Mwananchi
Waandishi Wetu
UMATI wa wakazi wa mkoa wa Arusha na maeneo ya jirani, jana ulifurika katika Viwanja vya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.