Wana jf hivi hawa mgambo wa ccm tukisema walitaka kupora hili gari tunakosea. Mwangalia huyo mmoja alivyokuwa anapiga kioo kwa kiganja. Pakilipuka hapa hawa ndiyo wa kuanza nao
Deaths in Tanzania opposition rally - Africa - Al Jazeera English
Two dead in Tanzania opposition march: Police | The Asian Age>
Tanzanian police kill two rioters, seize leaders | Top News |...
Nimefuatilia ujumbe mfupi ambao wasikilizaji walituma BBC leo saa 12:30 jioni. Sikuhesabu idadi lakini takribani ujumbe 15 zilizohusu Chadema, ni ujumbe 2 tu ziliunga mkono maandano ya Chadema...
Jamani ukiwa kwenye harakati, jaribu kumuweka misus sehemu salama na kama ni mama; basi muweke bamsap sehemu tulivu maana baana ya kasheshe ndiye wa kukutuliza. Hawa polisi walivyomfakamia...
Yalo semwa na mkulu, nimeamini alikuwa ana manisha,
wa TZ Ha2na budi kushukuru kwa wenzetu kufanywa mbuzi wa kafara.
Mwenyezi mungu azilaze mahali pema roho za walio katishwa uhai wao Arusha.
Habari zilizotufikia hivi punde viongozi wa chadema wameachiwa na wafuasi wote wa chadema waliokuwa wameshikiliwa pia. Source nimewasiliana na mbunge Grace kiwelu
Mkakati wa Kusaidia WanaArusha .
Tunapenda kuwafahamisha kwamba FOS Imeanzisha Mkakati wa Kuchangia WanaArusha waliopata Shida kwenye Maandamano ya Wafuasi wa CHADEMA na Viongozi wao ...
Kwa mujibu wa matangazo ya RFA hivi punde... mgombea wa Chadema amepata kura 17 wakati wa CCM amepata kura 15 (sikuweza kuyakariri majina yao haraklaharaka) sasa hivi wanachagua naibu meya
Inakuwaje mtunga sheria ambaye ni muhimili wa nguzo ya serikali anawekwa kolokoloni.
Kitendo cha kuwaweka wabunge kolokoloni ni lazima kilaaniwe na hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa...
Ndugu zangu wanaJF,
Naomba wanasheria mtuelimishe na naomba sana tena sana muache ushabiki katika jambo hili. Hivi chama cha siasa au wananchi wanapotaka kuandamana, wanaenda polisi kuomba kibali...
msikilize Dr. Slaa katika matangazo haya Jioni 01/05/2011. Ingia hapa
Swahili Main media player | Sauti | Swahili
Utakapo click hiyo tarehe unasikia anazungumzia kuhusu makubaliano ya CHADEMA na...
Nimeangalia kwenye habari ya itv usiku huu,waziri ngeleja amesema selikali itawalipa dowans hela wanayotudai. Na pia kataja wanashare wa dowans tz ltd na pia majina ya wakurugenzi wa dowans ambao...
Nazani Kama Hatuna macho ya kuona au kama Hatuna masikio ya kusikia, Basi Tutazame Historia, Tuone Historia inatukumbusha nini?
Daima Tukiangalia Historia tutaona kwamba UDHALIMU au NGUVU au...
Tangu Nyerere aondoke madarakani, viongozi wetu waliomfuata wamekuwa hawana uchungu na nchi yao. Mwinyi alifungua kopo kwa kusema kila mtu ruksa kula mezani kwake. Baad ya mwinyi akaja mkapa na...
*Asisitiza anahusika na Dowans, aahidi kutoboa siri
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa, sasa amekuja na hoja mpya ya kumtaka Rais Jakaya Kikwete...
Kitendo cha IGP Said Mwema kuruhusu matumizi makubwa ya nguvu zidi ya maandamano ya amani mjini Arusha hakiwezi kupita bila kulaaniwa na sisi wanamageuzi. CHADEMA alikuwa na kibali cha kufanya...
ni uhuni wa serikali.ukosefu wa utu,haiwajali tena raia,imepoteza mwelekeo,inatumia nguvu hata pasipostahili,hivi huyo kikwete yupo mafichoni wapi?hayo yote ina maana anajifanya hayasikiii?damn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.