OMBI KWA VIONGZOZI WA CHADEMA AMBAO HAMJAKAMATWA, WANANCHI TUNASUBIRI NINI TUFANYE
Wananchi tulio wengi tunasubiria angalizo la nini tufanye ili kuionyesha CCM na Vibaraka wao kuwa tunauchungu...
Kama kuna mtu ameliona Gazeti la the Citizen leo kuna picha inaonyesha jinsi fiancee wa Dk Slaa soaking in blood baada ya kupigwa na polisi najiuliza huyu mama naye kakosa nini kiasi cha kupigwa...
Nimekuwa nikifuatilia yaliyotokea katika Uchaguzi mkuu uliofanyika 2010 na muendelezo wa mambo au vituko vinavyoendelea baada ya Uchaguzi, baada ya tukio la Jana Arusha nimejikuta nikijikumbusha...
Kilio nalia mbele ya watz wenzangu kukuambia wewe ambaye ni rais wangu afu ni baba yangu hivi kwa nini husikii watu wakiishauri familia yetu na taifa letu kwa ujumla kwa nini wewe baba unakaa...
Nimekuwa kwa muda mrefu sasa mpenzi wa Jamiiforums na kujifunza mengi katika jukwaa hili. Hivyo nimeamua kujiunga rasmi ili niweza kujifunza na kushiriki katika mambo mbalimbali yanayojadiliwa...
Watanzania tunajuta kwa vile tuliyataka wenyewe! Sasa dawa iliyopo ambayo haihitaji polisi kupiga watu risasi ni migomo ya nchi nzima. Wafanyakazi mko wapi? Wanafunzi wa vyuo mko wapi? AMKENI...
YouTube - Price of water in Dar es Salaam
Wakati mwingine ni vema kutoa compliments kwa waliofanya utafiti kuhusu bei ya maji, kuliko kuibeba kama ajenda binafsi. Tatizo ambalo Mnyika analiibua...
Wakuu,
Kinachoendelea Mjini Arusha kinatia uchungu na simanzi kubwa. Pamoja na mapungufu yake makubwa, katiba yetu ipo wazi kuhusu haki ya wananchi ya kuonyesha hisia zao kwa uhuru bila...
Send to a friend
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema
Hassan Mohamed
WAHENGA walisema aliyeumwa na nyoka huogopa hata mjusi. Siku chache baada ya Serikali kutoa agizo kwa Mamlaka...
Jana moto uliwaka mjini arusha baada ya polisi kuvamia maandamano ya chadema na kutumia nguvu katika kuzuia maandamano hayo. Kilicho nishangaza ni kitendo cha polisi kupiga hadi watu waliokua...
From heavsdrops,media n the individuals,I hereby call upon mr Ocampo to get airticket to Tanzania so as to collect more job deals of his business. What goes on in Arusha seem to employ you more...
Mi nashangaa sana jamaa kachakachua, vitu ambavyo havichakachuliki, wananchi wenyewe wamesema hawamtaki, sasa yeye atashirikiana nanani? mbona anakuwa kama chizi, wewe kama unataka kuwatumikia...
Mimi hoja yangu je Said Mwema baada ya kutoa tamko alitoa barua ya maandishi kupinga na kama hakuna na tayari chadema walikuwa na barua kulingana na maelezo ya Dr Slaa.
Kulikuwa na haja ya Askari...
"Dr Magufuli aagiza makandarasi kukamatwa
Na John Maduhu
Mwanza
Waziri wa Ujenzi,Dr John Magufuli ameagiza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya kuwaweka ndani mkandarasi wazembe wanaopewa kazi na...
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amesema gharama kubwa ya ujenzi wa barabara ya lami kwa kilometa moja ni changamoto kwa serikali kwani inazidi hata viwango vya Jumuiya ya Afrika Mashariki...
The whole government of the United Republic of Tanzania to resign with immediate effect. We cannot wait untill 2015, we the employers of the current government.
The current government, at all...
Kwanza kabisa nawapa pole wale wote wanaopigania haki,mimi najiuliza huyu mtu anayejiita ni Rais wetu haoni yote haya?kwanini anakuwa akifungia macho mambo makubwa hivi,tafsiri ni nini!!je yeye...
Rais kwa kawaida ndiye kiongozi hasa anayetazamwa kudumisha amani katika nchi yoyote ile. Kwa Bahati mbaya rais kikwete na CCM wanaonekana kuwa ndio watakuwa wakwanza kuvuruga amani nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.