mfano mbunge wa tarime kapanga na makazi yake yako dar es salaam je inakuaje muda wake wote ameishi dar alafu apate ubunge tarime, ni kitu gani huwa kinatokea kwa wananchi wanao amua kumpa kura...
Living in the era of chronic graft and unaccountability; a COUP is a fair Option
I woke up this morning to hear a very depressing and demoralizing news that the highly known clique of...
MPIGAPICHA wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Josias Charanga ameshambuliwa na kuporwa kamera yake na Ofisa Usalama wa Taifa wakati akipiga picha maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha...
Haya tuliyashuhudia wakati wa utawala wa Makaburu wa Afrika Kusini. Je, Kikwete anataka kuvunja rekodi ya kaburu Voster ? Ataua wangapi to quench his thirst for Tanzanian blood ?
Ndugu Wazalendo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Nimesikitishwa sana na Tukio la Arusha , Ambapo Polisi wa Kutuliza Ghasia walitumia Nguvu Kujaribu kuwaondosha Wananchi wa Arusha waliokuwa...
Ni bahati mbaya sana kuwa viongozi wetu wa jeshi la polisi pengine wakiagizwa na wakuu wa dola wamekuwa na mtazamo finyu na wa kidikteta katika kushughulikia maswala ya usalma wa wananchi...
Taarifa za wabunge wa chadema kutoka nje wakati rais wa Jamhuri alivyoanza kuhutubia, siku ile alipofungua bunge, zilisambaa kwa kasi dunia nzima kwasababu siku ile katika ukumbi wa mbunge...
Matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa 2010 (ya Rais) bado hajaainishwa na NEC katika tuvuti yao miezi miwili tangu uchaguzi uishe. Sababu? Mara mtandao wa computer hauna uwezo, mara sikuku hizi, mara...
waziri wa ujenzi dr.pombe magufuli amepiga marufuku uwekaji wa matuta katika barabara kuu.amesema kwamba katika sheria ameapa kuzitumia hajaona mahali palipoandikwa kwamba wakandarasi waweke...
Bango lililoshikwa na waandamanaji limeandikwa kwa maandishi makubwa kabisa
KWA AMANI na wakati huo polisi wakitumia silaha kali kuzima haki ya wananchi kidemokrasia ni ushahidi wazi wa jinsi...
Nimeangalia taarifa zote za habari kuanzia TBC1, ITV na CHANNEL 10 picha za maandamano ya wanachama na wafuasi wa CHADEMA zimenisikitisha sana hasa baada ya kutafakari, iwapo wangeachwa waandamane...
Ndugu Wazalendo,
Kwa mara ya kwanza nilimuona Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, JK, nchi Marekani miaka mitano iliyopita katika mkutano wa waTanzania waishio Marekani ya kaskazini...
Wednesday, 05 January 2011 21:55 dig
By Zephania Ubwani
The Citizen Bureau Chief
Arusha.
The Leader of the Official Opposition in Parliament, Mr Freeman Mbowe, was among four Chadema...
Wanasiasa wachache wenye maslahi yao wataendelea kuwatumia wapumbavu wachache ili kutimiza malengo yao ya kijinga, ninawaambia pamoja na kujiambia mwenyewe hapa ndugu zangu:
TUSIMWAMINI...
Naomba kuwasilisha kwanza article hii:
The International Chamber of Commerce (ICC) has ordered Tanzania Electricity Supply Company (Tanesco) to pay Dowans Holdings SA and Dowans Tanzania Limited...
Ndugu Watanzania, kama mnakumbuka CHADEMA walitaka kuandamana siku fulani huko nyuma baada ya uchaguzi wa meya wa Arusha wakidai kuwa uchaguzi ule haukuwa halali!
Kwa mtu mwenye kufuatilia mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.