Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Jamani tuache blablaa..................Kikwete ndiyo chimbuko la ufisadi hapa nchini na ushahidi upo wa wazi kabisa..........Hivyo haiwezekani kila siku ni wadogo zake tu ndiyo wanawajibika na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau hebu anglieni hii kesi ya Kina dowans, kutokea hapa itakuwa rahisi ku-access file za kesi hii na kujua wamiliki halali wa dowans... mwenye data zaidi weka hapa Dowans Holdings S.A. et al...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Like many other fellow citizens,I received a string of sms on my mobile in the last week of the ended campaign, such as follows; 1)."Slaa ni mropokaji na mgomvi anatukana vyombo vya ulinzi na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema ametangaza kusitisha maandamano ya amani ya Chama cha Demokrasia na Maendelieo CHADEMA yaliyokua yaongozwe na FREEMAN MBOWE na DR WILBROAD SLAA kwa kile...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Kariakoo Kaskazini, Kata ya Kariakoo, kimeandaa sherehe ya kumpongeza Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba kwa uongozi wake uliotukuka ndani ya chama hicho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hatujachagua meya Arusha - CHADEMA na Halfani Lihundi, Arusha CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
According to East Africa la leo ambalo lina kichwa cha habari kinachosema hivi: Some two years ago, Tanzanian investors interested in buying into the massive initial public offering of Kenya's...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wadau, sina taarifa za ndani sana kuhusiana na uchunguzi au uhakiki wa misimamo/mitazamo au imani binafsi za walinzi mbalimbali wa viongozi wetu, whether toka TISS or wherever.....historia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Rais Ben Mkapa huwaita "hawa wote kokoto tu". (namsamehe kwa kuwa alikuwa amekula Valuu). Lakini kama CCM watasimamisha mgombea Mkristo 2015, isitarajie kushinda maana Waislamu kupitia nyumba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Closed
unajisikiaje mfanyakazi wa selikali, awe rais, waziri, mbunge, mwenyekiti etc, anaposimama kwenye kadamnasi kuhutubia wananchi wenye dini tofautitofauti, akasalimia "salamaleko", wakati pale kuna...
0 Reactions
43 Replies
9K Views
Jaji anayeusika na idara hiyo amekiri mbele ya waandishi wa habari leo kuwa ofisi yake haina uwezo wa kumshitaki kiongozi yeyetoe mwenye mali lukuki kwa njiya zisizojulikana. SASA huyu jaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani katika hali ya kushangaza leo nimeota ndoto dr slaa kawa rais 2015 afu kamteua rev mtikila kuwa waziri mkuu, afu mwakyembe waziri wa sheria, magufuli waziri wa maadili na utawala bora...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimefatilia kwa makini hotuba ya Mh Kikwete kwenye salaam za mwaka mpya, dhahiri suala la katiba mpya si suala la serikali wala chama anachokiongoza. Nimemuona akitamka bila kuwa na hisia toka...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Na Sammy Kisika, Sumbawanga WAZIRI Mkuu, Bw. Mizengo Pinda amewaomba radhi viongozi wa dini hasa Kanisa Katoliki kutokana na kitendo cha baadhi ya wafuasi na wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Wakati Hoseah anaogopa vigogo, TAKUKURU ya Kenya yaburuza mawaziri kortini Hapa Tanzania, mawaziri wa Kikwete wanalazimishwa kwa mbinde kujiuzulu kwa tuhuma za ufisadi (eg Edward Lowassa, Andrew...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Umeme ni independent function. Ukipandisha bei ya umeme kama serikali yetu ya kifisadi ilivyofanya yafuatayo hayaepukiki: Wenye vituo vya mafuta wanatoa huduma kwa kutumia vifaa kwa umeme...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Maana kwa jinsi mentality za JF zilivyo basi huyu naye ataonekana ni ********* na anauhusiano wa karibu na ROSTAM na tatu he's another Johny Foreigner sasa kwa kawaida bila ya haya ushaidi ana fit...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
..... Wale wanaojaribu kukwepa mjadala wa kina juu ya muundo wa Muungano siku zote hutumia hoja kwamba eti hakuna Serikali ya Tanganyika na hivyo isingewezekana kufanya mazungumzo kati ya Serikali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekaa chini nikawaza na kutafakari kwa kina siasa za Tanzania nikagundua kitu kimoja.Nchini Tanzania kuna wanasiasa vijana wanaokuja juu sana,nyota zao zinaanza kung'ara na naamini wataikomboa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Tangu Nyerere aondoke madarakani, viongozi wetu waliomfuata wamekuwa hawana uchungu na nchi yao. Mwinyi alifungua kopo kwa kusema kila mtu ruksa kula mezani kwake. Baad ya mwinyi akaja mkapa na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom