Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wadadisi wengi wa habari niliozungumza nao, wanatafsiri kitendo cha baadhi ya viongozi waandamizi serikalini, kutamka wazi hata kabla ya mahakama kuu kuridhia, kwamba serikali haina budi kuilipa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeikumbuka hadithi hii niliyosoma utotoni na somehow najikuta namfananisha huyu mfalme na mkulu wetu... Ni mawazo yangu tu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama inavyoonekana kwenye mwananchi.co.tz Je umelipenda Baraza jipya la Mawaziri? Sijalipenda kabisa! 1962 37.1% Nimelipenda kwa kiasi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Serikali yajiandaa kuilipa Dowans Monday, 03 January 2011 20:05 Elizabeth Ernest na Hassan Mohamed SERIKALI imeanza mchakato wa kuilipa Kampuni ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
CCM ikubali kushindwa TANGU kumalizika kwa uchaguzi mkuu nchini matukio mengi yametokea ikiwa ni mwendelezo na utamaduni uliozoeleka kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamini katika mabavu. Kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mojawapo wa suala nililo liona lina mapungufu katika hotuba ya kumaliza mwaka 2010 na kukaribisha mwaka 2011, swala la umeme na utatuzi wake. moja ya mapungufu aliye ongelea yeye mwenyewe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
JAMANI KWA WALE TUNAOFUATILIA HISTORIA YA TANZANIA TUNAFAHAMU ZANZIBAR ILIPATA UHURU MWAKA 1963 CHINI YA WAZIRI MKUU MOHAMED SHAMTE SASA IWEJE LEO HII TUMSAHAU SHAMTE KIRAHISI TU WAKATI YEYE NDIYE...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Nchi inaendelea kuuzwa. Video - Breaking News Videos from CNN.com Swali langu ni kwamba, kwanini kulima bonde la mto rufiji lazima waje wageni kutufundisha kulima? Hivi kwanini tuna chuo kama...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
MBUNGE wa Bumbuli, January Makamba, ameguswa na hotuba ya Rais Kikwete ya Mwaka Mpya na kumpongeza kwa kuunda Tume ya Maalumu ya Katiba, huku akisema wanaodai mfumo wa kuunda Tume kukusanya...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Rais wa Malawi, Bingu Mutharika, Ijumaa iliyopita alizindua kaburi la kifahari la aina ya jumba la taj Mahal lililopo India. Sherehe hizo zilisusiwa na Makamu wa Raisi wa nchi, Speaker...
0 Reactions
77 Replies
11K Views
Hii imenipa moyo kwamba sasa Chadema imeanza kuelewa siasa ,kwani siasa sio vita ni mbinu na mikakati iliyokomaa kimipango,hili la kutoelekea mahakamani ni mwanzo wa kuonyesha kutokuwa na imani na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tanesco kampa talaka Dowans (mama wa kambo? ) naye kadai fidia ya kuachwa solemba, sasa watoto tunalala njaa? No power...no development!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wht comment do u have about these stastitics, analysis and information reagrding Tanzania Profile. Nimekutana nazo hapa Tanzania Information and Online Map - Map Town Ltd. Background...
0 Reactions
3 Replies
893 Views
Farm located at Kigamboni Potea 52 Km from Ferry. Not affected by Kigamboni master plan i.e the last expected developed area is Kimbiji which is 16 Km from the farm location. Farm size is 26...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nchi yetu yenu utajiri wa kila aina ilianza kupoteza mwelekeo kipindi cha mwinyi kukubali wahindi wengi kuwekeza tz'rushwa ilitawala sana kipindi hiko'swali mke wa mwingne wa mwinyi yuko wapi eti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MBUNGE wa Viti Maalumu wa CUF, Clara Mwatuka, amejitolea kusomesha kidato cha kwanza hadi cha nne watoto 20 kutoka kata 34 za wilayani hapa kuanzia mwaka huu. Kwa kata hizo 34 za wilaya ya...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
SIKU chache baada ya kupiga marufuku ujenzi eneo la Mombasa kwa Mchina nje kidogo ya Mji wa Zanzibar, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetoa amri ya kuvunjwa nyumba zote zilizojengwa eneo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nikiwa katika kipindi hiki cha Noeli kama wengine wasemavbyo nilibahatika kupita katika jiji la Mbeya, nilivutiwa kutembelea jiji hili kwani niliwahi kuishi huko miaka ya 80. Kubwa lililonitatiza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
POLITICAL CONDITIONS Tanzania held its fourth multi-party general elections on October 31, 2010. The ruling CCM party faced its most serious competition in the multi-party era. President Kikwete...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sisi wakazi wa Bunju beach maeneo yaliyopimwa na Serikali Mradi wa Viwanja Elfu Ishirini(20,000.00) tulipokuwa tunachukua form pale Mwananyamala tuliambiwa kuwa kuanza Mradi wa Viwanja vipya vya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom