Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wazee, yanayotokea mitaa ya mji wa Arusha yalitabiriwa wiki iliyopita katika gazeti la Rais Mwema. Ebu tembelea hapa: Ubabe ukizoeleka utazaa usugu wa Taifa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je hawa ipp hawajui kuwa huyu Bwana alijiuzuru sio kustaafu na Hapo chini pekundu huyu jamaa alikuwa ana maanisha nini? Madiwani, wabunge badilisheni maisha ya wananchi-Lowassa Na Cynthia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninaliita wimbi la ukombozi. Wimbi litakaloleta uhuru wa kweli Tanzania kutoka kwa ukoloni mambo-leo unaoongozwa na wakoloni weusi a.k.a. mafisadi, walafi, wezi, ma$%^&***(!!! Bravo Chadema!!!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Frederick Werema ametetea kauli yake ya hivi karibuni iliyotaka Katiba iliyopo ifanyiwe marekebisho badala ya kuandikwa upya na kusema, yalikuwa ni maoni yake binafsi...
0 Reactions
77 Replies
5K Views
Jaman leo km cjakosea kulikuwa na uchaguzi wa meya wa jiji la mwanza mwenye Taarifa rasmi atujuze wkati tunapooza machungu ya Arusha.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jk alitumia tuu umafia kuwatawala waTZ au ana sifa za uongozi? Mbona hana umakini ktk mambo mengi?je yupo kwa ajili ya wa tz wote au kwa maslahi ya mafisadi?je ana huruma kweli na maskini?mbona...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Mussa Mwangoka, Sumbawanga Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ameliangukia Kanisa Katoliki nchini, akiomba radhi kutokana kashfa zilizotolewa kwa kanisa hilo wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna tetesi kwamba Diwani wa CCM machachari wa Kata Sombetini - Jijini Arusha leo amejiunga na CHADEMA! Mlio huko uwanja wa NMC mtuhabarishe.
0 Reactions
24 Replies
4K Views
kwa mtizamo wangu ingetokea tindu lisu ndy mwanasheria mkuu sidhani kama angeweza tamka maneno aliyotamka mwanasheria mkuu mura werema kuhusu katiba
0 Reactions
32 Replies
13K Views
Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Tanzania, aka mtoto wa mkulima huko Sumbawanga alipokuwa analiomba radhi kanisa kuhusu kashfa ya udhalilishaji wa imani, ametamka wazi kuwa kugawa kanga kipindi cha...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Uvumi toka jikoni unasema kwamba Kigogo anayetaka kiti 2015 (Simtajia) anataka kuimarisha nguvu zake ndani ya chama kupitia UVCCM. Na kitu cha maana na cha kwanza ni kuwa nguvu ndani ya Kamati kuu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Doing Business 2010: A record in business regulation reform Since 2004 Doing Business has been tracking regulatory reforms aimed at improving the ease of doing business. Despite the challenges...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
wana JF natumaini nyie ni wazima wa afya na wenye uchungu na nchi yenu dhidi ya mkoloni mweusi. Wana JF swala sio ni nani atayetakiwa kulipwa hizo mabilion ila cha muhimu tunachotakiwa ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimejaribu kupata maoni ya ya wadau, wapenda nchi hasa Vijana wazalendo wa nchi hii wametoa kauli kuwa 2015 wataiondoa CCM kwa kutumia njia ambazo viongozi na mafisadi wengi wa nchi hii wanaitumia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
inasemekana jimbo la tarime liliuzwa kwa shilingi milioni tano na aliye pewa rushwa hyo alikuwa ni wakala wa chadema ambaye mke wake alipigwa chini kwenye kura za maoni ubunge viti maalumu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Watanzania! 1992 watu walitoka UT na kuanzisha vyama vya siasa ili kukidhi matakwa ya wafadhili. Na baadhi wakatoka TANU nope CCM kuanzisha ama kujiunga na vyama hivyo. Kikubwa hapa ni kwamba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello Wakati mapambano ya kudai uhuru wa kweli yakiendelea katika namna tofauti tofauti, hasa ukizingatia kwamba leo kule Arusha Chadema wameamua kuchukua hatua nyingine zaidi katika mapambano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hebu tutengeneze list firms with unsolved crimes hapa: 1. Kagoda 2. Meremeta 3. Dowans. 4. 5.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
...Mwalimu Julius K. Nyerere aliwahi kusema kwamba, "IKULU NI MAHALA PATAKATIFU". Wapo watu walimuona Mwalimu Nyerere kama amekosea kusema vile...nadhani ilikuwapo haja ya kujiuliza: KWA NINI...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama mnakumbuka vizur wakati wa campain moja ya mambo aliyokua akitaka kuyafanya Dr endapo angechaguliwa kuwa Rais ni kufanya mchakato wa kuandika katiba mpya ndani ya siku 100 ambao sasa ingawa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom