Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa kweli nimesikitika kusikia chama kipya cha CUM kikiundwa nyuma ya mlango na ikiwa na malengo ya kuunda chama kabisa kule zannzibar... CUM==Chama cha Udini na Majungu(CUF & CCM).. Sio mbaya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM wakati wa kampeni zake aliwahi kusema maneno haya baada ya kuulizwa swali na mtanzania mmoja Je Mheshimiwa JK watanzania wakukumbuke kwa lipi katika uongozi wako...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF, Nilipata tetesi toka Arusha kuwa JK alikuwepo hapo tokea majuzi na kulikuwa na vikao vya EAC na pamoja na kualikwa kwa wageni wengi cha ajabu mbunge wa jimbo hilo Mr. G. Lema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nafamu Kikwete ana watu wake anaowapenda.... na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia.... but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde kwa maslahi...
0 Reactions
60 Replies
10K Views
sCWHH8Sssuw]http://www.youtube.com/watch?v=sCWHH8Sssuw Enjoy ur weekend guyz! - http://www.youtube.com/watch?v=sCWHH8Sssuw
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Vigogo waongo, Waziri aagiza wabanwe Imeandikwa na Namsembaeli Mduma; Tarehe: 4th December 2010 WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Mathias Chikawe ameishukia Sekretarieti ya Tume ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, amepanga kufanya ziara nchi nzima kuwafunda madiwani wa chama hicho. Mwaka huu, CHADEMA kimeshinda halmashauri 12...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
na Ratifa Baranyikwa MKAKATI wa kukiengua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kushika nafasi za uongozi katika kamati za bunge unaandaliwa, imefahamika. Inadaiwa kuwa baadhi ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Vitendo vya wabunge wa CCM kuhamisha samani na vitu vingine kwenye ofisi za wabunge majimboni,jana liliibukia Iringa mjini ambako mbunge mpya kwa tiketi ya chama cha Chadema,Peter Msigwa kukuta...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Hii ni kwa maoni yangu. Chama cha wananchi CUF kina mizizi tosha kule Zanzibar na CHADEMA kina Mizizi ya kutosha Bara. CUF wapo katika umoja na CCM na wachambuzi wnakifafanisha CUF na sehemu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nimesikitishwa sana na habari niliyoipata kuwa kuna wabunge wa viti maalumu wa chadema waligoma kukubaliana na uamuzi wa chama wa kutoka nje wakati jk anahutubia sasa sipati logic kwa kuwa mtu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wandugu, sifahamu hasa wamiliki wa JF na kwamba waliazisha wakikusudia nini. Kwangu mimi ni dhairi kwamba JF imechangia sana katika kukuza demokrasia katika siasa na sera za Tz. Pia katika...
0 Reactions
68 Replies
5K Views
CCM Temeke wachongeana kwa JK Thursday, 02 December 2010 21:36 Geofrey Nyang’oro MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ameandikiwa barua inayowataja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kweli hili sio deal la serikali kununua Dowans! Waliokuwa vinara wa kuipinga Dowans (Sitta na Mwakyembe) wameingizwa serikalini, so hawawezi kusema chochote now kwa mujibu wa kiapo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Siri ya kuachwa Chiligati yatajwa. *Makamba upepo si mzuri ndani ya CCM. *Kamati kuu kukutana D'Salaam kesho. *Msekwa naye atoboa, ajenda ni moja. Na John Daniel. HATIMAYE siri ya...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Tumaini Msowoya, Iringa VITENDO vya wabunge wa CCM kuhamisha samani na vitu vingine kwenye ofisi za wabunge majimboni, jana liliibukia Iringa Mjini ambako mbunge mpya kwa tiketi ya Chadema...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Hivi kwa kuwaza hii pact iliyopo sasa hivi baina ya cuf na ccm ni ya maslahi ya nani?kwa sababu kama ni maslahi ya mtu au kundi la watu na siyo wanachama wa Tanzania inabidi tuseme na tuseme kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
..CUF lazima waelewe kwamba wamekalia "mgodi wa almasi" wa mtaji wa kisiasa. ..kwa muda mrefu sana wamekuwa wana-guarantee ya kushinda majimbo yote ya Pemba. ..Prof.Lipumba na CUF...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ziondoshwe mbao kuukuu na mpya zitiwe... wenye fikra mgando na ung'ang'anizi wa madaraka waondolewe, wenye fikra pevu na uwezo mkubwa wa maamuzi waingie madarakani. wenye jazba na kukosa uvumilivu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom